1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Jana si umeona nlikuwa na furaha tele, hadi nilimuweka whatsup status, ila huyu simweki status,hahaha Mimi nasevu comment zako
Mi nawasi wasi na ukuta wetu tuJana si umeona nlikuwa na furaha tele, hadi nikmuweka whatsup status, ila huyu simweki status,
Huwezi amini nime download vitu vya Msudani lakini huyu hata siangaiki,,
Mkuu nadhani tutaendelea kukutana ktk vilinge vyetu hivi hivi, tutakuwa tunasema hapa
Huyu jamaa statistics zake haziridhishi kabisa kacheza Serie D lakini anagoli 4 tu official tangu 2014 Hadi 2019
Sidhani kocha Aussems anaweza pendekeza mchezaji wa hivi akafanye makubwa klabu bingwa Africa
Inaonekana Simba Kuna shida sehemu Walter Bwalya ilikuwa tunapanda treni tu Hadi Zambia kumchuaView attachment 1133416
Mkuu na mm nmemchek you tube,, huyu jamaa anasifa ya ushambuliaji wala si kiungo mshambuliaji,, uwezo wake ni wakawaida sanaa,, kwa hapa simba tumetetereka aisehh,, huyu ataanzia bench hawez kuwa chaguo la kwanza,,
Narudia tena kwa usajili wa Msudan pale tulilenga ila kwa huyu hata kwa MK 14 anasubiri aiseeeh, youtube haidanganyi,,
Huwa nikiona mbrazil anakuja bongo hata siwaamini sana,,
Watani wetu si mliwaona akija jaja, cotinno,, hamna kitu
Huyu hafikii uwezo wa okwi hata robo,, tutakuja kumlaum kocha bure kuwa hampangi,,
Huyu hata ktk Taifa stars ya misri angeachwa tu,
Tangu 2012/13 hajafunga Tena goli zaidi ya 4 Hadi Leo 2019
Hapa sio kupigwa Bali Ni kupasuka kabisa
Haya ndio ukisikia maoni ya watu wa mpira ndio haya , nimependa maoni na uchambuzi wenu wadauMkuu labda ungefatilia commentz zangu za jana kuhusu ELDIN yule Msudan, pale tulilenga ila kwa huyu hapana,, kwenye ukweli tuongee tu na kwenye mashaka tuongee kweli,,
Ukuta bado hatujafanya usajili, na ndo tatizo kubwaMi nawasi wasi na ukuta wetu tu
Una maanisha hapo hesabu zimeenda wrong kdgMkuu usimayo kweli lakini si kwa huyu,
Akiwekwa benchi tusimlaum kocha kwa nn hampangi wakati uwezo wake hata kwa kagere hagusi
Kocha anataka miili jumba kama yeye mwenyewe alivyo''Ninadhani'' tunayo recruitment team ambayo inapitia mahitaji ya mwalimu katika idara zote za timu yake. Lakini pia sina mashaka kwamba kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho juu ya usajili mwalimu nayeye ana kauli yake.
Ni vigumu mwalimu wakati wote kutaja wachezaji specific anaowataka, kuna wakati anataja 'aina' ya wachezaji anaowataka na kamati ya usajili inafanyia kazi mapendekezo yake kulingana pia na bajeti ya timu.
Kama ukiangalia vizuri aina ya wachezaji wanaotangazwa na Simba msimu wana miili mikubwa (physical presence) hii itatusaidia kuwa washindani wazuri zaidi kwenye mechi za Afrika. Miongoni mwa changamoto zilizotukumba mwaka jana ni udogo wa maumbo ya baadhi ya wachezaji wetu hivyo kutokua washindani mahiri kwenye mipira ya 50/50.
Mwakani tutakuja na uwezo zaidi na tutakua washindani zaidi ya mwaka huu, na kama tutakutana na Mazembe basi 'we promise a much better war'....
Nashukuru kwa kunikaribisha mitaa ya Lubumbashi na viunga vyake, inshaallah Mungu akipenda nitatembelea hapo.
Kule mtu tuliye naye ni nyoni tuUkuta bado hatujafanya usajili, na ndo tatizo kubwa
Mkuu nafurai kuona unaujua kuufatilia mpira pengine kuliko hata mm!! Mm nimesusa kufatilia usajili Man utd ni vituko kule,, tutapata shida mwakani Epl,,Haya ndio ukisikia maoni ya watu wa mpira ndio haya , nimependa maoni na uchambuzi wenu wadau
Km wengi wetu humu tungechangia hivi ,nadhani ule ushabiki maandazi ungepungua km sio kuisha Kabisa
Ligi yetu inazidi kukuahivi inakuwaje mchezaji anatoka brazil anakuja tanzania? ni dalili ya kukata tamaa kabisa au amekosa timu ya kuchezea huko kabisa. ni sawa na mwanafunzi wa form six arudi chekechea
Mkuu hapa tulivaa miwani, hadi nna wasiwasi nani kampitisha?Toka mwaka 2015 amefunga magoli manne tu
Cheki hapo kwenye redView attachment 1133431
Mkuu mie mpira naufuatilia vzr mno hasa huu wa Africa na Tanzania, Nina historia nao mpira sana tu ,si uwanjani wala nje ya uwanja ndio maana MTU akiongea facts juu ya mpira nampa pongezi ,akienda tofauti nitampa nachojua muhimu tufike mahali tu sawaMkuu nafurai kuona unaujua kuufatilia mpira pengine kuliko hata mm!! Mm nimesusa kufatilia usajili Man utd ni vituko kule,, tutapata shida mwakani Epl,,
Ila kwa Simba bado mapungufu ya namba 5,4,3,6
Kabisa mkuu,, tufike mahala tuongee ukweli tuache ushabiki wa simba na yanga,,Mkuu mie mpira naufuatilia vzr mno hasa huu wa Africa na Tanzania, Nina historia nao mpira sana tu ,si uwanjani wala nje ya uwanja ndio maana MTU akiongea facts juu ya mpira nampa pongezi ,akienda tofauti nitampa nachojua muhimu tufike mahali tu sawa
Ingawa kupishana mawazo ni kawaida kwa binadamu
Tangu 2012/13 hajafunga Tena goli zaidi ya 4 Hadi Leo 2019
Hapa sio kupigwa Bali Ni kupasuka kabisa