Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule ni kipenyo full stop wala usihangaike kumfuatiliaNdugu zangu Watanzania,
Katika mabadiliko ya kawaida ya Baraza la Mawaziri yameshuhudia Mheshimiwa Innocent Bashungwa akihamishwa kutoka wizara ya Ujenzi kwenda wizara ya mambo ya ndani.
Hii na hatua hiyo ya kupata uteuzi mpya imemfanya kujiwekea rekodi yake binafsi na kuwa kati ya mawaziri wachache waliopita na kuhudumu katika wizara nyingi zaidi kuliko mtu yeyote yule .
Amebakiza wizara chache sana kuweka rekodi ya Nchi ya kuhudumu kama waziri katika wizara zote hapa Nchini. Sasa anakwenda kuwa waziri katika wizara ambayo imekuwa na mambo mbalimbali ambayo walau ukisikiliza katika vyombo vya habari utaona ikiguswa kila siku.
Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Hii ni kwa kuwa wizara hiyo ya mambo ya ndani inagusa maisha ya watu kila siku katika masuala ya haki.huu ni mtihani mpya kwake na ambao anatakiwa aubebe kwa hekima,busara na utulivu wa hali ya juu sana.
Ni wizara ambayo inataka kabla ya kutamka au kutoa tamko hadharani ufikirie kwanza na kuwa na taarifa za kutosha na zote kiganjani pako.ni wizara ambayo inahitaji kujiridhisha kwa mambo mengi sana Kabla ya kuchukua hatua na maamuzi. Ni wizara inayohitaji sikio la usikivu muda wote pamoja na macho makali ya matukio mbalimbali.
Ni wizara inayohitaji matumizi ya akili nyingi sana kuliko nguvu.inahitaji umakini wa hali ya juu sana kwa kuwa ni wizara ambayo usipokaa sawa unaweza kujikuta unachafuka ,unachukiwa na watu na kuanza kuitwa kila aina ya majina mabaya .inahitaji ngozi ngumu, unyenyekevu na kuondoa kabisa jazba ,hasira na hata haraka ya Mambo.
Hii Ni wizara Mtambuka na inagusa watu moja kwa moja katika masuala mbalimbali.
Swali langu ni kuwa unafikiri ni kwanini Mheshimiwa Innocent Bashungwa amepata Neema ,bahati na kibali mbele ya mamlaka za uteuzi cha kuaminiwa kuhudumu katika wizara mbalimbali? Unafikiri ni kwanini anaendelea kuwekwa kwenye wizara tofauti tofauti na kwa nyakati tofauti tofauti?
Ngoja niweke kalamu yangu chini mara moja . Lakini nawakumbusha kwa uchache tu kuwa miongoni mwa Wizara alizopita kama waziri kamili kati ya nyingi ni Wizara ya viwanda na Biashara,Wizara ya ulinzi,wizara ya habari , utamaduni michezo na sanaa,wizara ya ujenzi ,wizara ya TAMISEMI na sasa wizara ya mambo ya ndani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huyu ndiye anafaa kuwa Rais 2025Kama ile Rushwa aliyotegewa na Jiwe kujaribiwa aliikataa kwa utashi wake. sio taarifa kuwa Compromised .Basi Innocent anafaa sana, bado tatizo liwe CCM tu
Magufuli alikuwa wa wawapi?Haitatokea Muhaya/munyambo kuwa president wa nchi hii.
🤣🤣 Tumpe mudaHuyu ndiye anafaa kuwa Rais 2025
Anaandaliwa 2030, ajipange tu kukwepa vipande vya waganga wa kienyeji na ajali za kutengenezwaNdugu zangu Watanzania,
Katika mabadiliko ya kawaida ya Baraza la Mawaziri yameshuhudia Mheshimiwa Innocent Bashungwa akihamishwa kutoka wizara ya Ujenzi kwenda wizara ya mambo ya ndani.
Hii na hatua hiyo ya kupata uteuzi mpya imemfanya kujiwekea rekodi yake binafsi na kuwa kati ya mawaziri wachache waliopita na kuhudumu katika wizara nyingi zaidi kuliko mtu yeyote yule .
Amebakiza wizara chache sana kuweka rekodi ya Nchi ya kuhudumu kama waziri katika wizara zote hapa Nchini. Sasa anakwenda kuwa waziri katika wizara ambayo imekuwa na mambo mbalimbali ambayo walau ukisikiliza katika vyombo vya habari utaona ikiguswa kila siku.
Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Hii ni kwa kuwa wizara hiyo ya mambo ya ndani inagusa maisha ya watu kila siku katika masuala ya haki.huu ni mtihani mpya kwake na ambao anatakiwa aubebe kwa hekima,busara na utulivu wa hali ya juu sana.
Ni wizara ambayo inataka kabla ya kutamka au kutoa tamko hadharani ufikirie kwanza na kuwa na taarifa za kutosha na zote kiganjani pako.ni wizara ambayo inahitaji kujiridhisha kwa mambo mengi sana Kabla ya kuchukua hatua na maamuzi. Ni wizara inayohitaji sikio la usikivu muda wote pamoja na macho makali ya matukio mbalimbali.
Ni wizara inayohitaji matumizi ya akili nyingi sana kuliko nguvu.inahitaji umakini wa hali ya juu sana kwa kuwa ni wizara ambayo usipokaa sawa unaweza kujikuta unachafuka ,unachukiwa na watu na kuanza kuitwa kila aina ya majina mabaya .inahitaji ngozi ngumu, unyenyekevu na kuondoa kabisa jazba ,hasira na hata haraka ya Mambo.
Hii Ni wizara Mtambuka na inagusa watu moja kwa moja katika masuala mbalimbali.
Swali langu ni kuwa unafikiri ni kwanini Mheshimiwa Innocent Bashungwa amepata Neema ,bahati na kibali mbele ya mamlaka za uteuzi cha kuaminiwa kuhudumu katika wizara mbalimbali? Unafikiri ni kwanini anaendelea kuwekwa kwenye wizara tofauti tofauti na kwa nyakati tofauti tofauti?
Ngoja niweke kalamu yangu chini mara moja . Lakini nawakumbusha kwa uchache tu kuwa miongoni mwa Wizara alizopita kama waziri kamili kati ya nyingi ni Wizara ya viwanda na Biashara,Wizara ya ulinzi,wizara ya habari , utamaduni michezo na sanaa,wizara ya ujenzi ,wizara ya TAMISEMI na sasa wizara ya mambo ya ndani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Vitafikia kikomo tu pale kama wanaoteka ni Polisi, kitu ambacho sio kweliKijana anajitahidi sana kuwa na ile hofu ya Mungu (hata kwa muonekano wake tu) ukimlinganisha na binadamu wengine. Na kwa huo uteuzi wake, naamini vitendo vya kuteka watu hovyo vitafikia kikomo.
Hiyo haiwezekani kwa Mwakani.Huyu ndiye anafaa kuwa Rais 2025
Kwani kuna ubaya gani ukitokea mpakani.Anatokea mpakani
Kwani kipenyo ni yeye peke yake nchi hii.Yule ni kipenyo full stop wala usihangaike kumfuatilia
Msukuma wa Chato mkoani Geita.Magufuli alikuwa wa wawapi?
Wewe ndio mpanga safu ya marais..inakusaidia nini kufanya kejeli km hizi, watz mna matatizo kichwani.Anaandaliwa 2030, ajipange tu kukwepa vipande vya waganga wa kienyeji na ajali za kutengenezwa
Acha ukabila wa kipumbavu, mbona jiwe na mother wanafanya mengi ya upendeleo lakini husemi. Utendaji wa mtu hauhusiani na kabila lake we bwegeTatizo Muhaya /munyambo akipewa uongozi mkuu wa nchi hii ndani ya miaka miwili sekta zote muhimu za kiserikali zitashikwa na watu wa kabila lake na akiulizwa atasema wahaya/ wanyambo wamesoma sana na Wana akili sana sababu wanakula senene wana protin nyingi.
Nye nashoma , nye ndi na amagezi gengi hao jamaa hawafai kupewa nchi.
Hata huko kubadilishwa wizara mara kwa mara ukute ni kuepusha asije kujaza watu wa kabila lake katika sekta zilizopo chini ya wizara yake endapo atakaa kwenye wizara hiyo kwa muda mrefu.
Uwaziri Tanzania ni sawa na siti ya daladala. Anakalia yeyote!Ndugu zangu Watanzania,
Katika mabadiliko ya kawaida ya Baraza la Mawaziri yameshuhudia Mheshimiwa Innocent Bashungwa akihamishwa kutoka wizara ya Ujenzi kwenda wizara ya mambo ya ndani.
Hii na hatua hiyo ya kupata uteuzi mpya imemfanya kujiwekea rekodi yake binafsi na kuwa kati ya mawaziri wachache waliopita na kuhudumu katika wizara nyingi zaidi kuliko mtu yeyote yule .
Amebakiza wizara chache sana kuweka rekodi ya Nchi ya kuhudumu kama waziri katika wizara zote hapa Nchini. Sasa anakwenda kuwa waziri katika wizara ambayo imekuwa na mambo mbalimbali ambayo walau ukisikiliza katika vyombo vya habari utaona ikiguswa kila siku.
Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Hii ni kwa kuwa wizara hiyo ya mambo ya ndani inagusa maisha ya watu kila siku katika masuala ya haki.huu ni mtihani mpya kwake na ambao anatakiwa aubebe kwa hekima,busara na utulivu wa hali ya juu sana.
Ni wizara ambayo inataka kabla ya kutamka au kutoa tamko hadharani ufikirie kwanza na kuwa na taarifa za kutosha na zote kiganjani pako.ni wizara ambayo inahitaji kujiridhisha kwa mambo mengi sana Kabla ya kuchukua hatua na maamuzi. Ni wizara inayohitaji sikio la usikivu muda wote pamoja na macho makali ya matukio mbalimbali.
Ni wizara inayohitaji matumizi ya akili nyingi sana kuliko nguvu.inahitaji umakini wa hali ya juu sana kwa kuwa ni wizara ambayo usipokaa sawa unaweza kujikuta unachafuka ,unachukiwa na watu na kuanza kuitwa kila aina ya majina mabaya .inahitaji ngozi ngumu, unyenyekevu na kuondoa kabisa jazba ,hasira na hata haraka ya Mambo.
Hii Ni wizara Mtambuka na inagusa watu moja kwa moja katika masuala mbalimbali.
Swali langu ni kuwa unafikiri ni kwanini Mheshimiwa Innocent Bashungwa amepata Neema ,bahati na kibali mbele ya mamlaka za uteuzi cha kuaminiwa kuhudumu katika wizara mbalimbali? Unafikiri ni kwanini anaendelea kuwekwa kwenye wizara tofauti tofauti na kwa nyakati tofauti tofauti?
Ngoja niweke kalamu yangu chini mara moja . Lakini nawakumbusha kwa uchache tu kuwa miongoni mwa Wizara alizopita kama waziri kamili kati ya nyingi ni Wizara ya viwanda na Biashara,Wizara ya ulinzi,wizara ya habari , utamaduni michezo na sanaa,wizara ya ujenzi ,wizara ya TAMISEMI na sasa wizara ya mambo ya ndani.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Labda ni kushindwa. Anahamishwa kutafutiwa anakofaa.Ebu tuseme kwa pamoja huyu Innocent Bashungwa ana upekee wa aina gani hadi awe yeye tu ndio Kinyara kwenye teuzi, amekuwq waziri katika wizara 7 ndani ya miaka 5.
Ana Maajabu gani hasa, je, ni mamluki kuna nguvu ina msogeza sehemu nyeti kwa dhamira ya kimkakati au ni nini hasa kuhusu Bashungwa?
Karibuni nyote
Pang Fung Mi
Nyota yake iling'ara ghafla kwa kitendo cha muda mfupi alichokifanya yeye bila kujua kwa kukataa burungutu la mamillioni ya dollar kipindi cha utawala wa Magufuli.Ebu tuseme kwa pamoja huyu Innocent Bashungwa ana upekee wa aina gani hadi awe yeye tu ndio Kinyara kwenye teuzi, amekuwq waziri katika wizara 7 ndani ya miaka 5.
Ana Maajabu gani hasa, je, ni mamluki kuna nguvu ina msogeza sehemu nyeti kwa dhamira ya kimkakati au ni nini hasa kuhusu Bashungwa?
Karibuni nyote
Pang Fung Mi