Innocent Bashungwa amejiwekea rekodi ya kupita na kufanya kazi Wizara nyingi sana.Unafikiri sababu ni nini?

Innocent Bashungwa amejiwekea rekodi ya kupita na kufanya kazi Wizara nyingi sana.Unafikiri sababu ni nini?

Ebu tuseme kwa pamoja huyu Innocent Bashungwa ana upekee wa aina gani hadi awe yeye tu ndio Kinyara kwenye teuzi, amekuwq waziri katika wizara 7 ndani ya miaka 5.

Ana Maajabu gani hasa, je, ni mamluki kuna nguvu ina msogeza sehemu nyeti kwa dhamira ya kimkakati au ni nini hasa kuhusu Bashungwa?

Karibuni nyote

Pang Fung Mi
Amepewa nafasi ya kulitumikia taifa,
ni muhimu kumpa Muda 🐒
 
Ebu tuseme kwa pamoja huyu Innocent Bashungwa ana upekee wa aina gani hadi awe yeye tu ndio Kinyara kwenye teuzi, amekuwq waziri katika wizara 7 ndani ya miaka 5.

Ana Maajabu gani hasa, je, ni mamluki kuna nguvu ina msogeza sehemu nyeti kwa dhamira ya kimkakati au ni nini hasa kuhusu Bashungwa?

Karibuni nyote

Pang Fung Mi
Mtu wa kanda ya ziwa huyo anajua nini cha kufanya ili watawala wamteue bila kupenda.
 
Ebu tuseme kwa pamoja huyu Innocent Bashungwa ana upekee wa aina gani hadi awe yeye tu ndio Kinyara kwenye teuzi, amekuwq waziri katika wizara 7 ndani ya miaka 5.

Ana Maajabu gani hasa, je, ni mamluki kuna nguvu ina msogeza sehemu nyeti kwa dhamira ya kimkakati au ni nini hasa kuhusu Bashungwa?

Karibuni nyote

Pang Fung Mi
RWANDA ina The making! ujinga wetu kumsogeza mtu mezani
 
Ebu tuseme kwa pamoja huyu Innocent Bashungwa ana upekee wa aina gani hadi awe yeye tu ndio Kinyara kwenye teuzi, amekuwq waziri katika wizara 7 ndani ya miaka 5.

Ana Maajabu gani hasa, je, ni mamluki kuna nguvu ina msogeza sehemu nyeti kwa dhamira ya kimkakati au ni nini hasa kuhusu Bashungwa?

Karibuni nyote

Pang Fung Mi
Kuna watu sio waongeaji wazuri kama kina makonda ila mpe makaratsi sasa halazi kazi chap kwa haraka kila kitu kinanyooka.
 
Miaka mitano ni muda mrefu, alitakiwa aoneshe maajabu! Wizara saba sasa lakini hamna jipya!! Labda kuna kitu nyuma ya pazia lakini si utendaji!
Gentleman,
mabadiliko yoyote serikalini yanaweza kua ni ya kimkakati, yanaweza kua ya kiutendaji, yanaweza kua ya kisiasa, lakini pia yanaweza kua ni shinikizo...

kwa sura ya kawaida tu kwa walioguswa na mabadiliko hayo,
ni dhahiri ni watendaji wa kimkakati na si vinginevyo.

Ni muhimu kua na subra na kuwapa nafasi ya kuwatumikia wananchi na waTanzania wote 🐒
 
Ebu tuseme kwa pamoja huyu Innocent Bashungwa ana upekee wa aina gani hadi awe yeye tu ndio Kinyara kwenye teuzi, amekuwq waziri katika wizara 7 ndani ya miaka 5.

Ana Maajabu gani hasa, je, ni mamluki kuna nguvu ina msogeza sehemu nyeti kwa dhamira ya kimkakati au ni nini hasa kuhusu Bashungwa?

Karibuni nyote

Pang Fung Mi
Makonda keshasema, wanamroga sana samia ili wapate teuzi. Inaonesha Bashungwa ndo kinàra wa kuroga.
 
Jerry Silaa alitusaidia Sana ardhi...
Kila mmoja ana nafasi yake na siyo kwamba mtu mmoja ndiye anaweza maliza kero zote ikiwa hata pewa ushirikiano.waziri hawezi maliza kero zote ikiwa wa chini yake hawampi ushirikiano wa kutosha.jiulize alipita mikoa ,wilaya ,tarafa na kata ngapi alipokuwa waziri katika wizara hiyo? Mbona mimi mkoa niliopo hakufika?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Katika mabadiliko ya kawaida ya Baraza la Mawaziri yameshuhudia Mheshimiwa Innocent Bashungwa akihamishwa kutoka wizara ya Ujenzi kwenda wizara ya mambo ya ndani.

Hii na hatua hiyo ya kupata uteuzi mpya imemfanya kujiwekea rekodi yake binafsi na kuwa kati ya mawaziri wachache waliopita na kuhudumu katika wizara nyingi zaidi kuliko mtu yeyote yule .

Amebakiza wizara chache sana kuweka rekodi ya Nchi ya kuhudumu kama waziri katika wizara zote hapa Nchini. Sasa anakwenda kuwa waziri katika wizara ambayo imekuwa na mambo mbalimbali ambayo walau ukisikiliza katika vyombo vya habari utaona ikiguswa kila siku.

Soma Pia: Rais Samia afanya uteuzi: Masauni apigwa chini Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais

Hii ni kwa kuwa wizara hiyo ya mambo ya ndani inagusa maisha ya watu kila siku katika masuala ya haki.huu ni mtihani mpya kwake na ambao anatakiwa aubebe kwa hekima,busara na utulivu wa hali ya juu sana.

Ni wizara ambayo inataka kabla ya kutamka au kutoa tamko hadharani ufikirie kwanza na kuwa na taarifa za kutosha na zote kiganjani pako.ni wizara ambayo inahitaji kujiridhisha kwa mambo mengi sana Kabla ya kuchukua hatua na maamuzi. Ni wizara inayohitaji sikio la usikivu muda wote pamoja na macho makali ya matukio mbalimbali.

Ni wizara inayohitaji matumizi ya akili nyingi sana kuliko nguvu.inahitaji umakini wa hali ya juu sana kwa kuwa ni wizara ambayo usipokaa sawa unaweza kujikuta unachafuka ,unachukiwa na watu na kuanza kuitwa kila aina ya majina mabaya .inahitaji ngozi ngumu, unyenyekevu na kuondoa kabisa jazba ,hasira na hata haraka ya Mambo.

Hii Ni wizara Mtambuka na inagusa watu moja kwa moja katika masuala mbalimbali.

Swali langu ni kuwa unafikiri ni kwanini Mheshimiwa Innocent Bashungwa amepata Neema ,bahati na kibali mbele ya mamlaka za uteuzi cha kuaminiwa kuhudumu katika wizara mbalimbali? Unafikiri ni kwanini anaendelea kuwekwa kwenye wizara tofauti tofauti na kwa nyakati tofauti tofauti?

Ngoja niweke kalamu yangu chini mara moja . Lakini nawakumbusha kwa uchache tu kuwa miongoni mwa Wizara alizopita kama waziri kamili kati ya nyingi ni Wizara ya viwanda na Biashara,Wizara ya ulinzi,wizara ya habari , utamaduni michezo na sanaa,wizara ya ujenzi ,wizara ya TAMISEMI na sasa wizara ya mambo ya ndani.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nyota tu ndugu
Ikingaaa HATA sayari ya masi unaongoxa
 
Back
Top Bottom