Inspekta Ndowo, umetufungua macho na "udukuzi wa kimaadili"

Inspekta Ndowo, umetufungua macho na "udukuzi wa kimaadili"

MIGNON

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2009
Posts
4,108
Reaction score
5,110
Nimefuatilia ushahidi wa bingwa huyu wa "udukuzi wa kimaadili" na kwa sasa nimeamini kuwa mitandao si salama kama tunavyoamini.

Whatsapp wanakuambia "encrypted" messages, ni wewe na unayemtumia au mliounganishwa tu mnaweza kuona mawasiliano yenu, gwiji katu-prove wrong.

Tunajidanganya ku-delete message na mambo mengine, mtaalamu wa udukuzi anatucheck tu!

Tuitumie mitandao kwa mambo mema kwani tupo "uchi".
 
Achana na mitandaoni. Au anzisha mtandao wako halafu utumie mwenyewe ili uwe salama kumwabudubowe na kutukana watu
 
Nimefuatilia ushahidi wa bingwa huyu wa "udkuzi wa kimaadili" na kwa sasa nimeamini kuwa mitandao si salama kama tunavyoamini.
Whatsapp wanakuambia "encrypted" messages,ni wewe na unayemtumia au mliounganishwa tu mnaweza kuona mawasiliano yenu,gwiji katu prove wrong.Tunajidanganya ku delete message na mambo mengine,mtaalamu wa udukuzi anatucheck tu!!
Tuitumie mitandao kwa mambo mema kwani tupo "uchi".

Yaani mzee miaka yote hukuwa wajua upo exposed?
 
Hamna alichodukua Apo, ame-retrieve TU.

Kudukua maana yake kua mtu wa tatu, sio KAZI rahisi kiivyo bwashee[emoji4]
Hata mimi nashangaa na tafsiri ya udukuzi ambayo ofsa anaimaanisha

Mtu kashika simu nane mkononi halafu unasema ana dukua, tena hakutoa ufafanuzi kama simu hizo alipewa zikiwa katika hali ya gani....huwenda zilikuwa unlocked tayari

Sasa nani ambaye ni mzembe angeshindwa kufanya alichofanya

Hao wadukuzi ni watupu hawana kitu maarifa finyu na ndio maana wanamkomalia mmiliki wa jf kutoa taarifa za wateja wake kwa maslahi yao, kwanini wasi hack?
 
Hata mimi nashangaa na tafsiri ya udukuzi ambayo ofsa anaimaanisha

Mtu kashika simu nane mkononi halafu unasema ana dukua, tena hakutoa ufafanuzi kama simu hizo alipewa zikiwa katika hali ya gani....huwenda zilikuwa unlocked tayar...
Kwa hiyo ku hack ni kama vile mazungmzo ya kina Nape yalivyonaswa?
 
Sidhani kama uko sahihi kulingana na ushahidi aliotoa Ndowo. Yule kapata access ya kuwa na device) simu ya Mtu kaiunganisha kwenye kompyuta yake kaangalia kilichomo, karetrieve deleted messages kaprint. Wewe ukichukua simu ya mkeo ukatoa password ukaangalia msg Wahatsap alizowaailiana na Mchepuko wake atalaumu WhatsApp kwamba wanadanganya siyo "End to End" communication?

Ungekuwa sahihi kama mawasiliano yangekuwa yamedukuliwa wakati simu ziko mikononi mwa Wateja.
 
Ukidukuliwa whatsapp ni either upumbavu wako maana yake ilikua ni direct phishing attack na wewe ukaingia mkenge kuinstall malicious software au innocently mtu kabanwa kende akatoa simu au watu wamemirror whatsapp yako kwenda kwenye desktop na kudisable notifications ili usione.
 
Kwa hiyo ku hack ni kama vile mazungmzo ya kina Nape yalivyonaswa?
Nako huko sio ku hack maana yale mazungumzo yalikuwa exposed na mtandao husika

Na ndio maana kufuatia zoezi hilo watu walivunja vunja laini za voda baada ya kuona wamekuwa rahisi ku ke-leak privacy za wateja wao
 
Na mbaya zaidi ni kwamba anayejiita mdukuzi anayetumia cable ili ku access taarifa za simu serikali ilimgharamia nauli plus ada akajifunze izrael

What hurts the most ni kwamba hizo ada na nauli ni kodi zetu
 
Na tofauti ya USB alizotumia na USB nyingine ni kwamba za kwake zina namba,
Ha ha ha....
images-499.jpg
 
Na mbaya zaidi ni kwamba anayejiita mdukuzi anayetumia cable ili ku access taarifa za simu serikali ilimgharamia nauli plus ada akajifunze izrael

What hurts the most ni kwamba hizo ada na nauli ni kodi zetu
Ha ha ha..... Nchi ya vilaza, hapo Kuna Watu wanaamini jamaa Ni geneous[emoji4]
 
Back
Top Bottom