Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,455
- 1,621
Mazingumzo ya kina nape waliyatap kwenye saver za maprovider,ni kama vile uhalifu mkubwa unapotokea,jeshi la polisi linaweza likaenda kwa wamiliki wa mitandao na kuwaomba maongezi yaliyorekodiwa huwa hawanyimwi,hakuna sifa ya utaalamu hapo.Kwa hiyo ku hack ni kama vile mazungmzo ya kina Nape yalivyonaswa?