Inspekta Ndowo, umetufungua macho na "udukuzi wa kimaadili"

Inspekta Ndowo, umetufungua macho na "udukuzi wa kimaadili"

Kwa hiyo ku hack ni kama vile mazungmzo ya kina Nape yalivyonaswa?
Ile nayo siyo kuhack ,wale wameenda kwenye kampuni za simu ili warekodi mambo wanayoongea kina Nape,kudukua ni ishu nyingine
 
Mmiliki wa tweeter hawezi iharibu biashara yake,kwa kumtaja mteja wake.Hiyo itafanya watu wafunge akaunti zao
Serikali ikitoa sababu zenye mashiko anawapa taarifa zake bila shida yoyote hasa kama huyo mtu anahatarisha usalama wa nchi

Tambua serikali na mtu binafsi ni vitu viwili tofauti

Serikali wanaweza hata kupiga marufuku hiyo tweeter isionekane Tanzania
 
Hata mnaotumia VPN msijidanganye sana

Kabla ya kuweka on VPN yako ulikuwa on na real IP address yako, wanaweza kufuatilia historia hiyo

Wakishindwa kwenye IP address wanawafuata wamiliki wa makampuni ya mawasiliano kama hapa jf wanamfuata mmiliki wanampa hela ya kutosha atawapa tu taarifa zako

Tuweni makini na tutumie mtandao kuingiza hela siyo kutukana watu
Mchokozi wewe,unamaanisha Jf wanapokea rushwa?
 
Serikali ikitoa sababu zenye mashiko anawapa taarifa zake bila shida yoyote hasa kama huyo mtu anahatarisha usalama wa nchi

Tambua serikali na mtu binafsi ni vitu viwili tofauti

Serikali wanaweza hata kupiga marufuku hiyo tweeter isionekane Tanzania
Tweeter walikataa katakata kutoa taarifa za mtu anayejiita "kigogo" .hawawezi kuhatarisha privacy ya mteja wao eti sababu ya usalama wa nchi.
 
Tweeter walikataa katakata kutoa taarifa za mtu anayejiita "kigogo" .hawawezi kuhatarisha privacy ya mteja wao eti sababu ya usalama wa nchi.
Yuko mmoja alifunga safari mpaka Marekani kumtafuta aliyetengeneza na kuweka picha yake mbofumbofu kwenye mitandao ya kijamii alirudi kapa, waligoma.
 
Hata mimi nashangaa na tafsiri ya udukuzi ambayo ofsa anaimaanisha

Mtu kashika simu nane mkononi halafu unasema ana dukua, tena hakutoa ufafanuzi kama simu hizo alipewa zikiwa katika hali ya gani....huwenda zilikuwa unlocked tayari

Sasa nani ambaye ni mzembe angeshindwa kufanya alichofanya

Hao wadukuzi ni watupu hawana kitu maarifa finyu na ndio maana wanamkomalia mmiliki wa jf kutoa taarifa za wateja wake kwa maslahi yao, kwanini wasi hack?
Ukipata ushahidi kwa njia haramu haukubaliki mahakamani hivyo kuomba kwa jf ni kuhalisha kisheria tu siyo kwamba hawawezi kutudukua
 
Ukipata ushahidi kwa njia haramu haukubaliki mahakamani hivyo kuomba kwa jf ni kuhalisha kisheria tu siyo kwamba hawawezi kutudukua
Hakuna kitu kama hicho, ukiona hivyo ujue washagundua kuna ugumu sehemu

Polisi hawawezi kuwa na busara ya namna hiyo ya kusubiri wakupigie magoti ilihali wanajua wanaweza wakafanya wenyewe

Ingekuwa hivyo basi magufuli asingetenga mabilion ya pesa kuwalipa ma IT ili wamkamate kigogo, na pale alipoona zoezi limekuwa gumu akaona suluhu ni kupiga ban tweeter yote kwa ajili ya mtu mmoja
 
Na ndiyo maana akaulizwa na Kibatala, hiyo Ethical Hacking uliyosema umesoma unamaanisha Udukizi wa Kimaadili, akagoma hajui maana yake.








Ethical hacking is a process of detecting vulnerabilities in an application, system, or organization's infrastructure that an attacker can use to exploit an individual or organization. They use this process to prevent cyberattacks and security breaches by lawfully hacking into the systems and looking for weak points.
 
Yuko mmoja alifunga safari mpaka Marekani kumtafuta aliyetengeneza na kuweka picha yake mbofumbofu kwenye mitandao ya kijamii alirudi kapa, waligoma.
Mwaka juzi kampuni ya Apple,iliwagomea FBI kuifungua lock simu iliyodondoshwa na kijana mmoja mwenye asili ya Asia,ambaye FBI walimtuhumu kuwa ni gaidi,simu hiyo ikiwa imetengenezwa na Apple ililokiwa kiasi kwamba FBI na ujuzi wao wote walichemka kuifungua,walikuwa wanauezo wa kuifungua ila data zote zingepotea,waliiomba Apple iifungue simu hiyo pasipo kupoteza data zake,Apple waligoma katakata huku wakitoa tamko kwamba hawataifungua simu hiyo sababu watakuwa wameianika privacy ya mteja wao na wangepoteza Imani kwa watumiaji wa simu za Apple duniani kote.
 
Nimefuatilia ushahidi wa bingwa huyu wa "udukuzi wa kimaadili" na kwa sasa nimeamini kuwa mitandao si salama kama tunavyoamini.

Whatsapp wanakuambia "encrypted" messages, ni wewe na unayemtumia au mliounganishwa tu mnaweza kuona mawasiliano yenu, gwiji katu-prove wrong.

Tunajidanganya ku-delete message na mambo mengine, mtaalamu wa udukuzi anatucheck tu!

Tuitumie mitandao kwa mambo mema kwani tupo "uchi".
Lakini jasho lilimtoka aisee.kutoa ushaidi kwa kesi ambayo kibatala ni wakili wake ni kujitakia shida.nimeshangaa wakili huyu msomi anadadavua maswala ya IT kama mhandisi mmbobevu wa maswala hayo.hapa amefanyeje? uwezo huu ameupateje?
 
Nimefuatilia ushahidi wa bingwa huyu wa "udukuzi wa kimaadili" na kwa sasa nimeamini kuwa mitandao si salama kama tunavyoamini.

Whatsapp wanakuambia "encrypted" messages, ni wewe na unayemtumia au mliounganishwa tu mnaweza kuona mawasiliano yenu, gwiji katu-prove wrong.

Tunajidanganya ku-delete message na mambo mengine, mtaalamu wa udukuzi anatucheck tu!

Tuitumie mitandao kwa mambo mema kwani tupo "uchi".
Ni hatari sana.
 
Nimefuatilia ushahidi wa bingwa huyu wa "udukuzi wa kimaadili" na kwa sasa nimeamini kuwa mitandao si salama kama tunavyoamini.

Whatsapp wanakuambia "encrypted" messages, ni wewe na unayemtumia au mliounganishwa tu mnaweza kuona mawasiliano yenu, gwiji katu-prove wrong.

Tunajidanganya ku-delete message na mambo mengine, mtaalamu wa udukuzi anatucheck tu!

Tuitumie mitandao kwa mambo mema kwani tupo "uchi".
kuna jamaa yngu ni mtu wa system huwa ananambia mtandao ambao uko safe ni whatsapp tu tena si kwa mesage bali voice calls only
 
Nimefuatilia ushahidi wa bingwa huyu wa "udukuzi wa kimaadili" na kwa sasa nimeamini kuwa mitandao si salama kama tunavyoamini.

Whatsapp wanakuambia "encrypted" messages, ni wewe na unayemtumia au mliounganishwa tu mnaweza kuona mawasiliano yenu, gwiji katu-prove wrong.

Tunajidanganya ku-delete message na mambo mengine, mtaalamu wa udukuzi anatucheck tu!

Tuitumie mitandao kwa mambo mema kwani tupo "uchi".
Hakuna anaweza dukua whatsapp au telegram! Wangekua na uwezo wa kudukua whatsapp/telegram wasinge mpeleka mmiliki wa jf mahakamani! Wangedukua jf wachukue wanacho taka!
 
Canada hivi majuzi imekiri kudukua 85% ya mawasiliano ya Raia wake wakati wa lock down.
 
Back
Top Bottom