Nimefuatilia ushahidi wa bingwa huyu wa "udkuzi wa kimaadili" na kwa sasa nimeamini kuwa mitandao si salama kama tunavyoamini.
Whatsapp wanakuambia "encrypted" messages,ni wewe na unayemtumia au mliounganishwa tu mnaweza kuona mawasiliano yenu,gwiji katu prove wrong.Tunajidanganya ku delete message na mambo mengine,mtaalamu wa udukuzi anatucheck tu!!
Tuitumie mitandao kwa mambo mema kwani tupo "uchi".
Hata mimi nashangaa na tafsiri ya udukuzi ambayo ofsa anaimaanishaHamna alichodukua Apo, ame-retrieve TU.
Kudukua maana yake kua mtu wa tatu, sio KAZI rahisi kiivyo bwashee[emoji4]
Kwa hiyo ku hack ni kama vile mazungmzo ya kina Nape yalivyonaswa?Hata mimi nashangaa na tafsiri ya udukuzi ambayo ofsa anaimaanisha
Mtu kashika simu nane mkononi halafu unasema ana dukua, tena hakutoa ufafanuzi kama simu hizo alipewa zikiwa katika hali ya gani....huwenda zilikuwa unlocked tayar...
Na ndiyo maana akaulizwa na Kibatala, hiyo Ethical Hacking uliyosema umesoma unamaanisha Udukizi wa Kimaadili, akagoma hajui maana yake.Kwa hiyo ku hack ni kama vile mazungmzo ya kina Nape yalivyonaswa?
Nako huko sio ku hack maana yale mazungumzo yalikuwa exposed na mtandao husikaKwa hiyo ku hack ni kama vile mazungmzo ya kina Nape yalivyonaswa?
Ha ha ha....Hata mimi nashangaa na tafsiri ya udukuzi ambayo ofsa anaimaanish...
Na tofauti ya USB alizotumia na USB nyingine ni kwamba za kwake zina namba,Kuingiza USB kwenye simu na hamishia mafile kwenye kompyuta ndio kudukua. ?!
Watanzania sisi ni watu wa hovyo kabisa.
Na mazungumzo ya nape sio kwamba walihack,Kwa hiyo ku hack ni kama vile mazungmzo ya kina Nape yalivyonaswa?
Ha ha ha....Na tofauti ya USB alizotumia na USB nyingine ni kwamba za kwake zina namba,
Ha ha ha..... Nchi ya vilaza, hapo Kuna Watu wanaamini jamaa Ni geneous[emoji4]Na mbaya zaidi ni kwamba anayejiita mdukuzi anayetumia cable ili ku access taarifa za simu serikali ilimgharamia nauli plus ada akajifunze izrael
What hurts the most ni kwamba hizo ada na nauli ni kodi zetu