Mmh basi kama hayo wayasemayo itakuwa ni kweli mana mtu anapanda ndege anajua alaelekea position X mwisho wa siku anafika anakuta yupo position Y ni hatar sana intelijensia yao sio ya kitoto kabisaKweli kabisa mkuu. Wanyarwanda wenyewe japo nchi yao kijiografia ni ndogo wanaiita "great country" labda kutokana na operations kama hizi
Wazungu wakampa uraia, akapewa tuzo nyingi kama shujaa kumbe naye ailikuwa "mdhamini" wa mauaji na msaliti wa nchi yake! (Kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu jamaa hasa pale unapoona kiongozi anapewa support kubwa na mataifa ya magharibi na Marekani) Ingekuwa Tanzania Paul Rusesabagina angekuwa kiongozi wa chama cha siasa au NGO ya kutetea Haki za raia, na hata urais angegombea tu, ila kwa Rwanda ukiisaliti nchi na kuwatumikia "mabeberu" lazima wakuwinde tu!
View attachment 1568411
"Reports, reports, reports...there will always be reports, but who writes those reports???" Benjamin Wiliam Mkapa on BBC Hardtalk 2001Mkuu, ripoti rasmi tunazozisoma na kuzisikia ni kwamba Paul Kagame na RPF yake ndio walisimamisha genocide baada ya siku 100 za kuogofya sana ambapo Watutsi na Wahutu wenye msimamo wa wastani waliuliwa na Interahamwe
Kagame mwenyewe aliulizwa je,walimteka huyo jamaa?Mwenyewe nimebaki nashangaa
Huyo jamaa wa hotel Rwanda ni raia wa Belgium na Permanent resident wa US, so watu walitegemea hizo nchi zitapiga kelele balaa baada ya kukamatwa kwake lkn cha ajabu Belgium iko zake kimya tu huku US ikisema huyo jamaa awe treated kibinadamu huko mahakamani/police,wahakikishe anapata haki zake na bla bla bla nyingine.Kuna hakika gani PK hana support ya hao hao wazungu?
Kwahiyo wazungu wanaweza wakacheza double deal? Kama ni hivyo basi Waafrikantunachezwa shere sana na wazungu!Kuna hakika gani PK hana support ya hao hao wazungu?
Hivi ile makala aliimaliziaga mkuu?Maana niliona kama inaishia katikati hivi mkuu.Kuna mtu anaitwa Habibu B. Anga aliandika makala kuhusu "The Richest Man in Africa"
Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu hio sentensi ya kupiga wrong number maana yake ni nini?Kagame amesema hawakumteka, ni kama unapopiga simu halafu unakuta umekosea namba, ndio hivyo alivyokamatwa hapo Rwanda
Kwanini unawasifia sana wanyarwanda na sio Tanzania? Wanakulipa? Kwanini hiyo intelligence yao ilishindwa kuzuia mauaji?Rwanda wakiamini mtu fulani anahatarisha usalama wa nchi yao basi ajue hayuko salama popote pale alipo duniani.
Huyo jamaa wa hotel Rwanda ni raia wa Belgium na Permanent resident wa US, so watu walitegemea hizo nchi zitapiga kelele balaa baada ya kukamatwa kwake lkn cha ajabu Belgium iko zake kimya tu huku US ikisema huyo jamaa awe treated kibinadamu huko mahakamani/police,wahakikishe anapata haki zake na bla bla bla nyingine.
Yaani hakuna kelele za maana sana/za kushtua sana zilizopigwa na wazungu zaidi ni ngo's,HRW na baadhi ya watu binafsi ndio wanapiga kelele kimtindo.
Kwanini intelligence ya Rwanda ilishindwa kuzuia mauaji yasitokee?Paul Rusesabina aliyecheza filamu maarufu inayoelezea mauwaji ya kimbari ya Rwanda ya mwaka 1994 ambapo yeye alikua Manager wa Hotel akiwaokoa Watutsi wasivamiwe na kuchinjwa na Interahamwe hatimaye amefikishwa mbele ya sheria kwa makosa ya kuhusika na njama za mauji hayo hayo!!
Baada ya Rusesabagina kucheza filamu ile wakati wote dunia ilimuona kama shujaa aliyesaidia kuokoa maisha ya makumi ya Watutsi wasio na hatia waliokimbilia Hotel Rwanda hadi pale uchunguzi ulipofanyika na kugundua naye alikua mmoja wa walioshiriki kutekeleza genocide ile. Suala kama ana hatia au la mahakama itaamua lakini kilichoacha watu midomo wazi ni namna alivyofikishwa Rwanda, maana alikua akiishi Ubelgiji na alishachukua urai wa huko.
Inasemekana alikua Dubai na alidanganywa kupanda ndege ambayo labda aliamini inaenda sehemu nyingine. Kuja kutahamaki anajikuta anashuka Kigali Airport na pingu zikimsubiri!!!. Kabda ya hapo kuna jamaa wa Kinyarwanda aliandika makala akisema alijipa jukumu la kufuatilia nyendo za Rusesabagina duniani kote na alifanya hivyo kwa miaka 15 na kwa kukamatwa kwa Paul Rusesabagina basi ametimiza kazi yake akiwa kama Mzalendo wa nchi yake! Maofisa wa Rwanda wanasema jamaa amerudi mwenyewe kwa hiyari yake jambo ambalo ndugu wanalikanusha wakidai kua ametekwa, na sababu ni kwamba alianza harakati za kumuondoa madarakani Rais Kagame kwa kuongoza kundi la FNL ambalo Kigali inasema ni lakigaidi
Serikali ya rais PK kama alivyo yeye mwenyewe ina mkono mrefu na wanamsemo wao kua "There is a price to pay in betraying Rwanda" na kwamba hicho ndio kilichomkuta mcheza filamu/mwanasiasa Paul Rusesabagina
Kwanini unawasifia sana wanyarwanda na sio Tanzania? Wanakulipa? Kwanini hiyo intelligence yao ilishindwa kuzuia mauaji?
Upo sahihi sana mkuu. Nyumba ya jirani haiwezi ikawaka moto kisha ukafikiri kwako patakuwa salama.We have to love our continent and her progress. Hatuwezi kuendelea kupigana nyundo na kutafuta maendeleo. Stability ya DRC, Rwanda, Burundi ni muhimu kwa ustawi wa eneo letu. Hizi approach za kizamani hazina nia njema kabisa na eneo letu
I couldn’t agree more.We have to love our continent and her progress. Hatuwezi kuendelea kupigana nyundo na kutafuta maendeleo. Stability ya DRC, Rwanda, Burundi ni muhimu kwa ustawi wa eneo letu. Hizi approach za kizamani hazina nia njema kabisa na eneo letu
That is there approach. Unless we unite, we will always be their preyKwahiyo wazungu wanaweza wakacheza double deal? Kama ni hivyo basi Waafrikantunachezwa shere sana na wazungu!