Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
- Thread starter
-
- #101
Dah! Kumbe ilikua ni wakati wa Abacha The Butcher!? Ila Wanigeria tangia enzi hizo wanaiibia nchi yao hatariiiiUmaru Diko,alikua waziri wa mafuta na usafirishaji,aliiba dola bilioni moja
Jenerali katili kuwahi kutokea Sani Abacha,alituma makachero,wakamteka wakamtia katika sanduku ,wakaandika kuwa ni mzigo wa kidiplomasia
Kilichomuokoa airport alipiga chafya kama tatu mfululizo kwa jili ya dawa za usingizi zilikua zinaisha nguvu,wazungu wakasema fungua mzigo msitutanie!
Mkuu, kwa maelezo hayo basi akili kubwa sana ilitumika1. Kwa taarifa za sasa, alikuwa safarini, 27 Agosti alikuwa Dubai na aliwasiliana na familia yake.
2. Alipanda ndege binafsi "private jet" iliyokuwa inaelekea mojawapo ya nchi iliyopo Afrika ya Kati. (Hapa ndio kwenye utata)
3. Ndege ilitua Kigali na akawekwa chini ya ulinzi.
Nigeria hela ipoDah! Kumbe ilikua ni wakati wa Abacha The Butcher!? Ila Wanigeria tangia enzi hizo wanaiibia nchi yao hatariiii
Jamaa wangu mmoja tulikua nae kule neng'ung aliniambia pia hili swalaHii Serikali ya Rwanda ni tata sana. Jamaa yangu mmoja (Mnyarwanda) anaiponda sana, lakini ukichat naye WhatsApp au fb utashangaa anavyoitetea. Kama utataka muongee akiwa huru inabidi utumie mitandao mingine ya kijamii kama WeChat (ambayo ni less popular).
Huyo jamaa atakuwa na pesa nying kukodi private jet sio mchezo1. Kwa taarifa za sasa, alikuwa safarini, 27 Agosti alikuwa Dubai na aliwasiliana na familia yake.
2. Alipanda ndege binafsi "private jet" iliyokuwa inaelekea mojawapo ya nchi iliyopo Afrika ya Kati. (Hapa ndio kwenye utata)
3. Ndege ilitua Kigali na akawekwa chini ya ulinzi.
Kweli huko hela ipo. Na wakishazipiga Wazungu ndio wanawasaidia kuzificha, baadae wanakuja kuhubiri kuhusu utawala boraNigeria hela ipo
Umaru Diko,alikua waziri wa mafuta na usafirishaji,aliiba dola bilioni moja
Jenerali katili kuwahi kutokea Sani Abacha,alituma makachero,wakamteka wakamtia katika sanduku ,wakaandika kuwa ni mzigo wa kidiplomasia
Kilichomuokoa airport alipiga chafya kama tatu mfululizo kwa jili ya dawa za usingizi zilikua zinaisha nguvu,wazungu wakasema fungua mzigo msitutanie!
Inawezekana militarily Tanzania is far superior to Rwanda lakini vita siku hizi ipo katika fronts nyingi sana mfano kiuchumi, biashara, ki intelijensia, sayansi na teknolojia n.kHuyo kagame mna mu overate tu, siku akileta upuuzi wake bongoland aka Mongolia hakuna rangi wataacha kuiona ndani ya dk kadhaa kigali itakuwa haina mtu
Labda panya na paka tu watakao kuwa wanaranda randa mitaani na masokoni
Kaka hatuongelei Rwanda ya 1980 tunaongelea current RwandaKwanini unawasifia sana wanyarwanda na sio Tanzania? Wanakulipa? Kwanini hiyo intelligence yao ilishindwa kuzuia mauaji?
Kivyovyote vile wakitia pua tu wanapoteaInawezekana militarily Tanzania is far superior to Rwanda lakini vita siku hizi ipo katika fronts nyingi sana mfano kiuchumi, biashara, ki intelijensia, sayansi na teknolojia n.k
Asante sana mkuu,Lkn mzee baba hapo hapo Private Jet iliyombeba huyo jamaa inamilikiwa na serikali ya PK.1. Kwa taarifa za sasa, alikuwa safarini, 27 Agosti alikuwa Dubai na aliwasiliana na familia yake.
2. Alipanda ndege binafsi "private jet" iliyokuwa inaelekea mojawapo ya nchi iliyopo Afrika ya Kati. (Hapa ndio kwenye utata)
3. Ndege ilitua Kigali na akawekwa chini ya ulinzi.
Namimi nahisi kumbukumbu zangu zinaniambia ilikua ni kwenye 80s. Huyu Buhari anawafuatilia sana Wanigeria walioweka pesa za kifisadi nje ya nchi yao. Hata kipindi alivyorudi tena madarakani kaenda kuomba Wazungu warudishe Nigeria mabilioni ya dola yaliyopo kwe ye ma bank ya Ulaya. Sijui kama kafanikiwaRais wa kipindi hicho wkt Dikko anatekwa huko uingereza alikua ni huyu huyu wa sasa Gen. Buhari aliyeitawala Nigeria kuanzia 1983-85 na sio Sani Abacha.
Huyu Wanajeshi ma-senior huko Uganda wanamuita ni Genetic Modified General(GMG),yaani huo u-general wake ni wa kupewa tu sababu ya dingi ake ndio rais lkn wanaona ha-deserve wala nini.Ha
Halafu kuna General Mhoozi Kainerugaba anapiga jaramba kuchukua nafasi ya Baba wakati utakapowadia
Nadhan kzi hiyo wamemuachia kagame na Mungu basi.Hivi Rwanda wameshafikiria nani atakuwa Raisi wao baada ya Kagame?
Mbele giza...
Niliwahi kusikia umbeya na naomba radhi in advance kuuweka hapa maana siwezi kuthibitisha, kwamba kuna nchi fulani iliyopo Afrika Mashariki na Kati eti kikosi cha kumlinda Kiongozi wa nchi hiyo kimetoka Rwanda. Wenyewe wanakiita Presidential Security Unit.....narudia tena haya ni maneno ya kuambiwa na siwezi kuthibitisha popoteKivyovyote vile wakitia pua tu wanapotea
Ninadhani kuna kitu haukielewi sawasawa kuhusu siasa za ndani ya Rwanda.Wazungu wakampa uraia, akapewa tuzo nyingi kama shujaa kumbe naye ailikuwa "mdhamini" wa mauaji na msaliti wa nchi yake! (Kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa huyu jamaa hasa pale unapoona kiongozi anapewa support kubwa na mataifa ya magharibi na Marekani) Ingekuwa Tanzania Paul Rusesabagina angekuwa kiongozi wa chama cha siasa au NGO ya kutetea Haki za raia, na hata urais angegombea tu, ila kwa Rwanda ukiisaliti nchi na kuwatumikia "mabeberu" lazima wakuwinde tu!
View attachment 1568411
Mjomba hapo umechemka katafute vitabu Kama vitano vya waandishi tofauti ndipo uje kuongea source ya mauaji ya Rwanda sio rahisi Kama ULIVYO komentVery true.
Mauaji ya watusi yalifanywa out of panick, frustration and anger. Ni reaction baada ya Rais wao kuuliwa tena na kikundi kidogo cha kina Kagame wakisaidiwa na Marekani. Kwa hiyo ni sahihi kusema Kagame ndiyo chanzo cha genocide baada ya kumuua Rais.
Yani kama ww ni Rwandiz hata kama upo na mkeo chumbani haijalishi upo Rwanda ama nje ya Rwanda kitendo cha kumjadili kwamba nani anapaswa kumpokea kijiti akinusa tu mmekwisha....