Intelijensia ya Rwanda sio ya mchezo mchezo, kinara wa Hotel Rwanda anashangaa kujikuta Kigali Airport

Dah! Kumbe ilikua ni wakati wa Abacha The Butcher!? Ila Wanigeria tangia enzi hizo wanaiibia nchi yao hatariiii
 
Mkuu, kwa maelezo hayo basi akili kubwa sana ilitumika
 
Jamaa wangu mmoja tulikua nae kule neng'ung aliniambia pia hili swala

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Huyo jamaa atakuwa na pesa nying kukodi private jet sio mchezo
 

Rais wa kipindi hicho wkt Dikko anatekwa huko uingereza alikua ni huyu huyu wa sasa Gen. Buhari aliyeitawala Nigeria kuanzia 1983-85 na sio Sani Abacha.
 
Huyo kagame mna mu overate tu, siku akileta upuuzi wake bongoland aka Mongolia hakuna rangi wataacha kuiona ndani ya dk kadhaa kigali itakuwa haina mtu

Labda panya na paka tu watakao kuwa wanaranda randa mitaani na masokoni
Inawezekana militarily Tanzania is far superior to Rwanda lakini vita siku hizi ipo katika fronts nyingi sana mfano kiuchumi, biashara, ki intelijensia, sayansi na teknolojia n.k
 
Asante sana mkuu,Lkn mzee baba hapo hapo Private Jet iliyombeba huyo jamaa inamilikiwa na serikali ya PK.

Sasa hapo sijui aliingiaje humo.
 
Na mim
Rais wa kipindi hicho wkt Dikko anatekwa huko uingereza alikua ni huyu huyu wa sasa Gen. Buhari aliyeitawala Nigeria kuanzia 1983-85 na sio Sani Abacha.
Namimi nahisi kumbukumbu zangu zinaniambia ilikua ni kwenye 80s. Huyu Buhari anawafuatilia sana Wanigeria walioweka pesa za kifisadi nje ya nchi yao. Hata kipindi alivyorudi tena madarakani kaenda kuomba Wazungu warudishe Nigeria mabilioni ya dola yaliyopo kwe ye ma bank ya Ulaya. Sijui kama kafanikiwa
 
Kivyovyote vile wakitia pua tu wanapotea
Niliwahi kusikia umbeya na naomba radhi in advance kuuweka hapa maana siwezi kuthibitisha, kwamba kuna nchi fulani iliyopo Afrika Mashariki na Kati eti kikosi cha kumlinda Kiongozi wa nchi hiyo kimetoka Rwanda. Wenyewe wanakiita Presidential Security Unit.....narudia tena haya ni maneno ya kuambiwa na siwezi kuthibitisha popote
 
Ninadhani kuna kitu haukielewi sawasawa kuhusu siasa za ndani ya Rwanda.

Mtu yeyote anayempinga ama kumkosoa rais Paulo Kagame hubatizwa jina la 'adui wa taifa' awe ndani ama nje ya nchi.

Unapompinga Kagame hata kwa mfano wa upinzani wa kisiasa unaofanywa nchini kwetu, elewa unarisk maisha na mustakabali wako wa uraia kwa ujumla.

Uchaguzi uliopita Rwanda, kuna mama mmoja chama cha upinzani, ile kuonesha nia ya kugombea urais tu, kazushiwa kesi nzito nzito zisizoisha, mpaka leo sijui aliyamalizaje!

Kwa hiyo huyo mtu, usiamini moja kwa moja kwamba ni 'haini' ama muuaji wa kimbari, hizo bado ni tuhuma tu.

Tusubiri tuone kwanza udadavuzi wa kisheria utakavyokuwa mahakamani, maana kashitakiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mjomba hapo umechemka katafute vitabu Kama vitano vya waandishi tofauti ndipo uje kuongea source ya mauaji ya Rwanda sio rahisi Kama ULIVYO koment
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…