Mount Kibo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,956
- 553
Hahahaa acha nilale nshapata ugali maharage dozi hadi ya kesho.Hii itanisaidia kuota ndoto zisizo na ukweli kama hiziHata akifanyia ukraine sioni kama kuna ubaya sababu bado ukraine ana uwezo wa kuikomboa mariupol.
Sent using Jamii Forums mobile app
mstaafu ndio kaenda kuwaonyesha Wajeda njia za Siri hapo kiwandani Ina maana wao walikuwa hawazijui!? Kwani hao Wajeda sio wenyewe wa Mauripol!? Na hizo njia zilitengenezwa kwa matumizi gani!? Na Kama kweli zipo basi itakuwa zilitengenezwa kwa kusudi la kuzitumia wakati Kama huu, Sasa vipi jeshi la ulinzi wa eneo lisijue!?View attachment 2212239
Kwakweli Urusi kashindwa vita asubuhi na mapema ,
Zelensky jana amesema sasa hivi hakuna vita itakayosimama hadi Russia aondolewe Ukraune au aondoke.
Halafu ule mchezo wa pale Azovsta ulipangwa, wale wanajeshi wa Ukraine walijitolea muhanga na hivyo kuwa tayari kwa lolote.
Lengo lilikuwa ni kusimamisha mapigano kwa muda kidogo ili mipango mingine iendelee.
Russia akanasa, akawa yupo busy kupazunguka pale na kuimarisha ulinzi. Niliwahi kusoma kundi moja la UKRAINIAN WAR UPDATES kuna mchmbuzi anaitwa Thadeusi Musembi alieleza jambo week iliyopita kuwa Ukraine wanavyosogea kutokea Izyum ili kuelekea Mariupol, itawalazimisha Russia kujaza wsnajeshi pale Mariupol na hivyo kuachia maeneo mengine.
Sasa naona hapa
Ndicho kilichotokea Russia akawajaza wanajeshi pale Mariupol akiendelea kukizunguka kile kiwanda na kulinda ili hata inzi wasitoke.
Tangu kuanza kwa wiki hii Russia akaanza kuonekana na uhakika na ushindi wa pale Azovstal, kumbe kachezewa akili, katengenezewa mfanyakazi mstaafu wa kile kiwanda na kwenda kuwapa siri kuwa kuna njia mpya za siri zilizomo mule kiwandani ambazo Ukraine soldiers wamepanga kuzitumia kutoroka. Njia hizo ni kweli zipo, Russia wakafanya ujasusi wao juu ya ile taarifa wakajiridhisha kuwa ni kweli. Masikini hata mtoa taarifa yule hakujua kuwa na yeye amepangwa tu.
Russia akaamua kimya kimya kuingiza majeshi yake mengi humo ndani na kwenye zile njia za siri za ardhini.
Kilichofuata ndiyo kile mlichosikia kuwa mawasiliano na askari wa Ukraine hayapo tena kwani hawafikiki kwa communication yoyote, kumbe hapo tayari watu wakikuwa busy kuwapokea wageni wao. Russia naye alipoona hapati mawasiliano ya wanajeshi wake ndipo akaanza kurusha makombora kushambulia maeneo yenye njia za siri
Britanicca
Na wameanza kukomboa baadhi ya VijijiView attachment 2212239
Kwakweli Urusi kashindwa vita asubuhi na mapema ,
Zelensky jana amesema sasa hivi hakuna vita itakayosimama hadi Russia aondolewe Ukraune au aondoke.
Halafu ule mchezo wa pale Azovsta ulipangwa, wale wanajeshi wa Ukraine walijitolea muhanga na hivyo kuwa tayari kwa lolote.
Lengo lilikuwa ni kusimamisha mapigano kwa muda kidogo ili mipango mingine iendelee.
Russia akanasa, akawa yupo busy kupazunguka pale na kuimarisha ulinzi. Niliwahi kusoma kundi moja la UKRAINIAN WAR UPDATES kuna mchmbuzi anaitwa Thadeusi Musembi alieleza jambo week iliyopita kuwa Ukraine wanavyosogea kutokea Izyum ili kuelekea Mariupol, itawalazimisha Russia kujaza wsnajeshi pale Mariupol na hivyo kuachia maeneo mengine.
Sasa naona hapa
Ndicho kilichotokea Russia akawajaza wanajeshi pale Mariupol akiendelea kukizunguka kile kiwanda na kulinda ili hata inzi wasitoke.
Tangu kuanza kwa wiki hii Russia akaanza kuonekana na uhakika na ushindi wa pale Azovstal, kumbe kachezewa akili, katengenezewa mfanyakazi mstaafu wa kile kiwanda na kwenda kuwapa siri kuwa kuna njia mpya za siri zilizomo mule kiwandani ambazo Ukraine soldiers wamepanga kuzitumia kutoroka. Njia hizo ni kweli zipo, Russia wakafanya ujasusi wao juu ya ile taarifa wakajiridhisha kuwa ni kweli. Masikini hata mtoa taarifa yule hakujua kuwa na yeye amepangwa tu.
Russia akaamua kimya kimya kuingiza majeshi yake mengi humo ndani na kwenye zile njia za siri za ardhini.
Kilichofuata ndiyo kile mlichosikia kuwa mawasiliano na askari wa Ukraine hayapo tena kwani hawafikiki kwa communication yoyote, kumbe hapo tayari watu wakikuwa busy kuwapokea wageni wao. Russia naye alipoona hapati mawasiliano ya wanajeshi wake ndipo akaanza kurusha makombora kushambulia maeneo yenye njia za siri
Britanicca
View attachment 2212239
Kwakweli Urusi kashindwa vita asubuhi na mapema ,
Zelensky jana amesema sasa hivi hakuna vita itakayosimama hadi Russia aondolewe Ukraune au aondoke.
Halafu ule mchezo wa pale Azovsta ulipangwa, wale wanajeshi wa Ukraine walijitolea muhanga na hivyo kuwa tayari kwa lolote.
Lengo lilikuwa ni kusimamisha mapigano kwa muda kidogo ili mipango mingine iendelee.
Russia akanasa, akawa yupo busy kupazunguka pale na kuimarisha ulinzi. Niliwahi kusoma kundi moja la UKRAINIAN WAR UPDATES kuna mchmbuzi anaitwa Thadeusi Musembi alieleza jambo week iliyopita kuwa Ukraine wanavyosogea kutokea Izyum ili kuelekea Mariupol, itawalazimisha Russia kujaza wsnajeshi pale Mariupol na hivyo kuachia maeneo mengine.
Sasa naona hapa
Ndicho kilichotokea Russia akawajaza wanajeshi pale Mariupol akiendelea kukizunguka kile kiwanda na kulinda ili hata inzi wasitoke.
Tangu kuanza kwa wiki hii Russia akaanza kuonekana na uhakika na ushindi wa pale Azovstal, kumbe kachezewa akili, katengenezewa mfanyakazi mstaafu wa kile kiwanda na kwenda kuwapa siri kuwa kuna njia mpya za siri zilizomo mule kiwandani ambazo Ukraine soldiers wamepanga kuzitumia kutoroka. Njia hizo ni kweli zipo, Russia wakafanya ujasusi wao juu ya ile taarifa wakajiridhisha kuwa ni kweli. Masikini hata mtoa taarifa yule hakujua kuwa na yeye amepangwa tu.
Russia akaamua kimya kimya kuingiza majeshi yake mengi humo ndani na kwenye zile njia za siri za ardhini.
Kilichofuata ndiyo kile mlichosikia kuwa mawasiliano na askari wa Ukraine hayapo tena kwani hawafikiki kwa communication yoyote, kumbe hapo tayari watu wakikuwa busy kuwapokea wageni wao. Russia naye alipoona hapati mawasiliano ya wanajeshi wake ndipo akaanza kurusha makombora kushambulia maeneo yenye njia za siri
Britanicca
Mbaya zaidi hicho kiwanda Urusi wanakijua A-Z maana walikijenga pamoja enzi za Soviet.mstaafu ndio kaenda kuwaonyesha Wajeda njia za Siri hapo kiwandani Ina maana wao walikuwa hawazijui!? Kwani hao Wajeda sio wenyewe wa Mauripol!? Na hizo njia zilitengenezwa kwa matumizi gani!? Na Kama kweli zipo basi itakuwa zilitengenezwa kwa kusudi la kuzitumia wakati Kama huu, Sasa vipi jeshi la ulinzi wa eneo lisijue!?
"Ulishatuzoesha kutupiga kamba lakini Leo umetupiga vitanzi vya kunyongea"
Wewe na mimi tupo ubashiri wako hautatimia.Ikifika wamepewa siku 3 kuanzia leo hadi Jumamosi ambayo ni siku ya mwisho waliyopewa kuondoa raia kiwandani hapo utaona kitakachotokea pale.Baada ya Zelensky kulialia bado wapo raia Putin kaagiza wasimamishe kuwapa muda hadi jumamosi saa 12 wawe wameondoka
Kwa hiyo Tshs ndio itachukua usukani. Wapiga ramli tuambieni sasa.Joto USA wameanza kulipata maana kitu kikubwa kinachowaumiza ni Russia kutumia pesa yake katika manunuzi ya mafuta na Gas yao hii ikitokea tu na nchi kama Saudia kusema nunua kwa pesa yangu basi $ watu watachoma moto na huko US wameanza kupandisha Fed interest ili kuondoa au kupunguza mzunguko wa pesa kwa maana ni gharama kubwa watu kutaka mikopo sababu kuna pesa nyingi mtaani na demand ni ndogo ya $. Huku tunakokwenda naona anguko la $ kuwa kama pesa ya dunia na hii inawapa shida sana US, haya mambo yamepangwa muda mrefu na Ukraine ni sababu tu lakini goal ni kubwa kuliko Ukraine. Russia+China+India na mpaka KSA na UAE ndio maana wote kimyaa.
Kwa hiyo kama kilijengwa enzi za USSR ndio hakiwezi kufanyiwa marekebisho kuendana na mabadiliko ya wakati.Mbaya zaidi hicho kiwanda Urusi wanakijua A-Z maana walikijenga pamoja enzi za Soviet.
Hata mwanzo wa vita hii mikwara ilikuwepo ya kuamrisha Askari waweke silaha chini,mara mkwara wa atakaesaidia silaha Ukraine atakiona cha moto,mara msafara wa km 64 kuelekea Kyiv,na katika mikwara yote hiyo hakuna cha maana Putin alifanya.Jumamosi bado masaa kadhaa tu ifike,nitarudi kukumbusha hapa,hakuna chochote atafanya.Tulishamzoea na mikwara yake mbuzi [emoji846]Wewe na mimi tupo ubashiri wako hautatimia.Ikifika wamepewa siku 3 kuanzia leo hadi Jumamosi ambayo ni siku ya mwisho waliyopewa kuondoa raia kiwandani hapo utaona kitakachotokea pale.Baada ya Zelensky kulialia bado wapo raia Putin kaagiza wasimamishe kuwapa muda hadi jumamosi saa 12 wawe wameondoka
Kuanguka Kwa US dollar sio Leo wala kesho na pengine tunaweza tusishuhudie Sisi Bali watoto au wajukuu zetu. Hivi unafahamu kwamba tangu Russia avamie Ukraine Dola ya Marekani ndo imeendelea kuimarika kushinda sarafu yoyote Ile si Euro wala Yen ya Japan?!Joto USA wameanza kulipata maana kitu kikubwa kinachowaumiza ni Russia kutumia pesa yake katika manunuzi ya mafuta na Gas yao hii ikitokea tu na nchi kama Saudia kusema nunua kwa pesa yangu basi $ watu watachoma moto na huko US wameanza kupandisha Fed interest ili kuondoa au kupunguza mzunguko wa pesa kwa maana ni gharama kubwa watu kutaka mikopo sababu kuna pesa nyingi mtaani na demand ni ndogo ya $. Huku tunakokwenda naona anguko la $ kuwa kama pesa ya dunia na hii inawapa shida sana US, haya mambo yamepangwa muda mrefu na Ukraine ni sababu tu lakini goal ni kubwa kuliko Ukraine. Russia+China+India na mpaka KSA na UAE ndio maana wote kimyaa.
Mbona hicho kiwanda kimepigwa Sana mabomu tena kimepigwa mpaka zile Bunker buster bombs,Russia wanalazimisha jamaa wajisalimishe lakini wamegoma na inavyoonekana warusi wanaogopa kuingia humo kiwandani kuzichapa na wanajeshi wa Ukraine.Hata mwanzo wa vita hii mikwara ilikuwepo ya kuamrisha Askari waweke silaha chini,mara mkwara wa atakaesaidia silaha Ukraine atakiona cha moto,mara msafara wa km 64 kuelekea Kyiv,na katika mikwara yote hiyo hakuna cha maana Putin alifanya.Jumamosi bado masaa kadhaa tu ifike,nitarudi kukumbusha hapa,hakuna chochote atafanya.Tulishamzoea na mikwara yake mbuzi [emoji846]
kweli kbs , mijitu imeweka ushabiki haitaki hata kuelewa kuwa Urusi kuvamia Ukraine itakuambia ni Propaganda za west , tuna kizaz cha hovyo sanaSiko hapa kuaminiwa na asiyetaka kuamini niko hapa kuelimisha ambaye hataki simlazimishi hata kidogo