Intelligence ya UKRAINE inaitesa Urusi, tangu kuanza kwa wiki hii Urusi alianza kuonekana na uhakika na ushindi wa Azovstal, kumbe kachezewa akili

Intelligence ya UKRAINE inaitesa Urusi, tangu kuanza kwa wiki hii Urusi alianza kuonekana na uhakika na ushindi wa Azovstal, kumbe kachezewa akili

kwahiyo kumbe humo kiwandani kwa sasa kuna wanajeshi wa Ukraine na wale wa Urusi wakiwa wamekwama

halafu hicho kiwanda kilijengwa toka enzi za USSR itakuaje mrusi ashindwe kuzijua njia za siri za kutokea ama kuingikia


#chai
 
View attachment 2212239

Kwakweli Urusi kashindwa vita asubuhi na mapema ,

Zelensky jana amesema sasa hivi hakuna vita itakayosimama hadi Russia aondolewe Ukraune au aondoke.
Halafu ule mchezo wa pale Azovsta ulipangwa, wale wanajeshi wa Ukraine walijitolea muhanga na hivyo kuwa tayari kwa lolote.
Lengo lilikuwa ni kusimamisha mapigano kwa muda kidogo ili mipango mingine iendelee.

Russia akanasa, akawa yupo busy kupazunguka pale na kuimarisha ulinzi. Niliwahi kusoma kundi moja la UKRAINIAN WAR UPDATES kuna mchmbuzi anaitwa Thadeusi Musembi alieleza jambo week iliyopita kuwa Ukraine wanavyosogea kutokea Izyum ili kuelekea Mariupol, itawalazimisha Russia kujaza wsnajeshi pale Mariupol na hivyo kuachia maeneo mengine.

Sasa naona hapa
Ndicho kilichotokea Russia akawajaza wanajeshi pale Mariupol akiendelea kukizunguka kile kiwanda na kulinda ili hata inzi wasitoke.

Tangu kuanza kwa wiki hii Russia akaanza kuonekana na uhakika na ushindi wa pale Azovstal, kumbe kachezewa akili, katengenezewa mfanyakazi mstaafu wa kile kiwanda na kwenda kuwapa siri kuwa kuna njia mpya za siri zilizomo mule kiwandani ambazo Ukraine soldiers wamepanga kuzitumia kutoroka. Njia hizo ni kweli zipo, Russia wakafanya ujasusi wao juu ya ile taarifa wakajiridhisha kuwa ni kweli. Masikini hata mtoa taarifa yule hakujua kuwa na yeye amepangwa tu.

Russia akaamua kimya kimya kuingiza majeshi yake mengi humo ndani na kwenye zile njia za siri za ardhini.

Kilichofuata ndiyo kile mlichosikia kuwa mawasiliano na askari wa Ukraine hayapo tena kwani hawafikiki kwa communication yoyote, kumbe hapo tayari watu wakikuwa busy kuwapokea wageni wao. Russia naye alipoona hapati mawasiliano ya wanajeshi wake ndipo akaanza kurusha makombora kushambulia maeneo yenye njia za siri

Britanicca
mstaafu ndio kaenda kuwaonyesha Wajeda njia za Siri hapo kiwandani Ina maana wao walikuwa hawazijui!? Kwani hao Wajeda sio wenyewe wa Mauripol!? Na hizo njia zilitengenezwa kwa matumizi gani!? Na Kama kweli zipo basi itakuwa zilitengenezwa kwa kusudi la kuzitumia wakati Kama huu, Sasa vipi jeshi la ulinzi wa eneo lisijue!?
"Ulishatuzoesha kutupiga kamba lakini Leo umetupiga vitanzi vya kunyongea"
 
View attachment 2212239

Kwakweli Urusi kashindwa vita asubuhi na mapema ,

Zelensky jana amesema sasa hivi hakuna vita itakayosimama hadi Russia aondolewe Ukraune au aondoke.
Halafu ule mchezo wa pale Azovsta ulipangwa, wale wanajeshi wa Ukraine walijitolea muhanga na hivyo kuwa tayari kwa lolote.
Lengo lilikuwa ni kusimamisha mapigano kwa muda kidogo ili mipango mingine iendelee.

Russia akanasa, akawa yupo busy kupazunguka pale na kuimarisha ulinzi. Niliwahi kusoma kundi moja la UKRAINIAN WAR UPDATES kuna mchmbuzi anaitwa Thadeusi Musembi alieleza jambo week iliyopita kuwa Ukraine wanavyosogea kutokea Izyum ili kuelekea Mariupol, itawalazimisha Russia kujaza wsnajeshi pale Mariupol na hivyo kuachia maeneo mengine.

Sasa naona hapa
Ndicho kilichotokea Russia akawajaza wanajeshi pale Mariupol akiendelea kukizunguka kile kiwanda na kulinda ili hata inzi wasitoke.

Tangu kuanza kwa wiki hii Russia akaanza kuonekana na uhakika na ushindi wa pale Azovstal, kumbe kachezewa akili, katengenezewa mfanyakazi mstaafu wa kile kiwanda na kwenda kuwapa siri kuwa kuna njia mpya za siri zilizomo mule kiwandani ambazo Ukraine soldiers wamepanga kuzitumia kutoroka. Njia hizo ni kweli zipo, Russia wakafanya ujasusi wao juu ya ile taarifa wakajiridhisha kuwa ni kweli. Masikini hata mtoa taarifa yule hakujua kuwa na yeye amepangwa tu.

Russia akaamua kimya kimya kuingiza majeshi yake mengi humo ndani na kwenye zile njia za siri za ardhini.

Kilichofuata ndiyo kile mlichosikia kuwa mawasiliano na askari wa Ukraine hayapo tena kwani hawafikiki kwa communication yoyote, kumbe hapo tayari watu wakikuwa busy kuwapokea wageni wao. Russia naye alipoona hapati mawasiliano ya wanajeshi wake ndipo akaanza kurusha makombora kushambulia maeneo yenye njia za siri

Britanicca
Na wameanza kukomboa baadhi ya Vijiji
 
Unapenda sana West world kama vile ni dini yako. Hivi Russia hawawezi kulipua hako kaeneo. Kwa akili yako???
View attachment 2212239

Kwakweli Urusi kashindwa vita asubuhi na mapema ,

Zelensky jana amesema sasa hivi hakuna vita itakayosimama hadi Russia aondolewe Ukraune au aondoke.
Halafu ule mchezo wa pale Azovsta ulipangwa, wale wanajeshi wa Ukraine walijitolea muhanga na hivyo kuwa tayari kwa lolote.
Lengo lilikuwa ni kusimamisha mapigano kwa muda kidogo ili mipango mingine iendelee.

Russia akanasa, akawa yupo busy kupazunguka pale na kuimarisha ulinzi. Niliwahi kusoma kundi moja la UKRAINIAN WAR UPDATES kuna mchmbuzi anaitwa Thadeusi Musembi alieleza jambo week iliyopita kuwa Ukraine wanavyosogea kutokea Izyum ili kuelekea Mariupol, itawalazimisha Russia kujaza wsnajeshi pale Mariupol na hivyo kuachia maeneo mengine.

Sasa naona hapa
Ndicho kilichotokea Russia akawajaza wanajeshi pale Mariupol akiendelea kukizunguka kile kiwanda na kulinda ili hata inzi wasitoke.

Tangu kuanza kwa wiki hii Russia akaanza kuonekana na uhakika na ushindi wa pale Azovstal, kumbe kachezewa akili, katengenezewa mfanyakazi mstaafu wa kile kiwanda na kwenda kuwapa siri kuwa kuna njia mpya za siri zilizomo mule kiwandani ambazo Ukraine soldiers wamepanga kuzitumia kutoroka. Njia hizo ni kweli zipo, Russia wakafanya ujasusi wao juu ya ile taarifa wakajiridhisha kuwa ni kweli. Masikini hata mtoa taarifa yule hakujua kuwa na yeye amepangwa tu.

Russia akaamua kimya kimya kuingiza majeshi yake mengi humo ndani na kwenye zile njia za siri za ardhini.

Kilichofuata ndiyo kile mlichosikia kuwa mawasiliano na askari wa Ukraine hayapo tena kwani hawafikiki kwa communication yoyote, kumbe hapo tayari watu wakikuwa busy kuwapokea wageni wao. Russia naye alipoona hapati mawasiliano ya wanajeshi wake ndipo akaanza kurusha makombora kushambulia maeneo yenye njia za siri

Britanicca
 
.
Screenshot_20220505-165510.jpg
Screenshot_20220505-165534.jpg
Screenshot_20220505-165545.jpg
 
mstaafu ndio kaenda kuwaonyesha Wajeda njia za Siri hapo kiwandani Ina maana wao walikuwa hawazijui!? Kwani hao Wajeda sio wenyewe wa Mauripol!? Na hizo njia zilitengenezwa kwa matumizi gani!? Na Kama kweli zipo basi itakuwa zilitengenezwa kwa kusudi la kuzitumia wakati Kama huu, Sasa vipi jeshi la ulinzi wa eneo lisijue!?
"Ulishatuzoesha kutupiga kamba lakini Leo umetupiga vitanzi vya kunyongea"
Mbaya zaidi hicho kiwanda Urusi wanakijua A-Z maana walikijenga pamoja enzi za Soviet.
 
Lakini UKRAINE anashinda hii OP

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na mimi tupo ubashiri wako hautatimia.Ikifika wamepewa siku 3 kuanzia leo hadi Jumamosi ambayo ni siku ya mwisho waliyopewa kuondoa raia kiwandani hapo utaona kitakachotokea pale.Baada ya Zelensky kulialia bado wapo raia Putin kaagiza wasimamishe kuwapa muda hadi jumamosi saa 12 wawe wameondoka
 
Joto USA wameanza kulipata maana kitu kikubwa kinachowaumiza ni Russia kutumia pesa yake katika manunuzi ya mafuta na Gas yao hii ikitokea tu na nchi kama Saudia kusema nunua kwa pesa yangu basi $ watu watachoma moto na huko US wameanza kupandisha Fed interest ili kuondoa au kupunguza mzunguko wa pesa kwa maana ni gharama kubwa watu kutaka mikopo sababu kuna pesa nyingi mtaani na demand ni ndogo ya $. Huku tunakokwenda naona anguko la $ kuwa kama pesa ya dunia na hii inawapa shida sana US, haya mambo yamepangwa muda mrefu na Ukraine ni sababu tu lakini goal ni kubwa kuliko Ukraine. Russia+China+India na mpaka KSA na UAE ndio maana wote kimyaa.
Kwa hiyo Tshs ndio itachukua usukani. Wapiga ramli tuambieni sasa.
 
Huyu jamaa atakua pr wa NYT wakueneza propaganda hapo Russia maana sio kwa chuki hizi kila thread hhhh
 
Unapoteza muda wako kuandika porojo ambazo hazina maana yyte kwa ao Ukraine maana kipigo Bado kinaendelea
 
Wewe na mimi tupo ubashiri wako hautatimia.Ikifika wamepewa siku 3 kuanzia leo hadi Jumamosi ambayo ni siku ya mwisho waliyopewa kuondoa raia kiwandani hapo utaona kitakachotokea pale.Baada ya Zelensky kulialia bado wapo raia Putin kaagiza wasimamishe kuwapa muda hadi jumamosi saa 12 wawe wameondoka
Hata mwanzo wa vita hii mikwara ilikuwepo ya kuamrisha Askari waweke silaha chini,mara mkwara wa atakaesaidia silaha Ukraine atakiona cha moto,mara msafara wa km 64 kuelekea Kyiv,na katika mikwara yote hiyo hakuna cha maana Putin alifanya.Jumamosi bado masaa kadhaa tu ifike,nitarudi kukumbusha hapa,hakuna chochote atafanya.Tulishamzoea na mikwara yake mbuzi [emoji846]
 
Joto USA wameanza kulipata maana kitu kikubwa kinachowaumiza ni Russia kutumia pesa yake katika manunuzi ya mafuta na Gas yao hii ikitokea tu na nchi kama Saudia kusema nunua kwa pesa yangu basi $ watu watachoma moto na huko US wameanza kupandisha Fed interest ili kuondoa au kupunguza mzunguko wa pesa kwa maana ni gharama kubwa watu kutaka mikopo sababu kuna pesa nyingi mtaani na demand ni ndogo ya $. Huku tunakokwenda naona anguko la $ kuwa kama pesa ya dunia na hii inawapa shida sana US, haya mambo yamepangwa muda mrefu na Ukraine ni sababu tu lakini goal ni kubwa kuliko Ukraine. Russia+China+India na mpaka KSA na UAE ndio maana wote kimyaa.
Kuanguka Kwa US dollar sio Leo wala kesho na pengine tunaweza tusishuhudie Sisi Bali watoto au wajukuu zetu. Hivi unafahamu kwamba tangu Russia avamie Ukraine Dola ya Marekani ndo imeendelea kuimarika kushinda sarafu yoyote Ile si Euro wala Yen ya Japan?!
Why the turbo-charged US dollar is causing headaches around the world

Bwana Utam
 
Hata mwanzo wa vita hii mikwara ilikuwepo ya kuamrisha Askari waweke silaha chini,mara mkwara wa atakaesaidia silaha Ukraine atakiona cha moto,mara msafara wa km 64 kuelekea Kyiv,na katika mikwara yote hiyo hakuna cha maana Putin alifanya.Jumamosi bado masaa kadhaa tu ifike,nitarudi kukumbusha hapa,hakuna chochote atafanya.Tulishamzoea na mikwara yake mbuzi [emoji846]
Mbona hicho kiwanda kimepigwa Sana mabomu tena kimepigwa mpaka zile Bunker buster bombs,Russia wanalazimisha jamaa wajisalimishe lakini wamegoma na inavyoonekana warusi wanaogopa kuingia humo kiwandani kuzichapa na wanajeshi wa Ukraine.
Nahisi hii ni mara ya tano sasa au zaidi Russia anatoa onyo Kwa hao wanajeshi wajisalimishe lakini wamegoma

https://www.google.com/amp/s/amp.sc...-bunker-busters-mariupol-steel-plant-fortress
 
Siko hapa kuaminiwa na asiyetaka kuamini niko hapa kuelimisha ambaye hataki simlazimishi hata kidogo
kweli kbs , mijitu imeweka ushabiki haitaki hata kuelewa kuwa Urusi kuvamia Ukraine itakuambia ni Propaganda za west , tuna kizaz cha hovyo sana
 
Back
Top Bottom