International Schools zina nini cha zaidi?

ukiwa maskini automatikali akili yako inajidifensi kuona hizo shule hazina kitu ila ungekua na pesa nadhani ungeelewa zaidi maana akili i gekua inaona mazuri zaidi kuliko mabaya
 
Huna hela ndio maana unauliza maswali ya ajabu ajabu ungekuwa na hela ungempeleka mtoto wako huko we unategemea watoto wa akina Mwigulu wasome kwenye hiyo mishule yenu.Tuseme tu ukweli mitoto inayosoma kayumba ni.mishenzi mishenzi.Huku kwetu vibao vya mitaa vyote vomeshaharibiwa na hii mitoto mishenzi mishenzi ya Kayumba.Watoto wanaosoma shule za maana huwa wanakuwa wastaarabu mno tofauti na hii mitoto ya Kayumba
 
This is really myopic. Extremely myopic!

Kumbe lengo la kusoma INTERNATIONAL SCHOOL ni kwenda uRaya kufanya interviews na wazungu?

Na kwanini wasome mtaala wa wazungu? ili iweje? wakawe vijakazi wa uRaya?
Mkuu....shida ya mitaala yetu.
  • Nadharia nyingi kuliko vitendo
  • Bado inatupa elimu ya kikoloni ya kuwa vijakazi
  • Haijui hata lugha ipi ni bora kwa ajili kufundishia
  • Unafunzwa vitu vya miaka 40 hadi 50 hamsini nyuma
  • Hata hizo maabala ni za enzi hizo za akina Newton
  • Mwanafunzi anabeba begi kubwa kama anaenda Panda milima
  • Inajikita kwa mwanafunzi kumeza kuliko kuelewa
  • Mwalimu anafundisha masomo yote
Nenda vyuoni sasa
  • Kuna vyuo vya Uhandisi watu tuliosoma hadi masomo 15 kwa semister,,,
  • Watu wa arts walichaguliwa fani za Uhandisi na hadi sasa wapo mtaani
  • Watu wanakopi na kupaste research na wahadhiri hawana hata mda.
  • Maabala hazifanyi kazi
Njoo mtaani
  • Kuna watu wamehitimu lakini tuliosoma nao mpaka tunacheka kama mjaamaa anaenda mtibu mtu
  • Sasa tafuta watu waliogusa hata degree moja huko Ulaya au America uone walivyo moto...
  • Mfano mzuri mtaalam mwenyewe Chenge the Don,kila skendo ya wizi yupo ila hakuna wa kumgusa, uone elimu ya Havard inavyofanya kazi.
 
Tuliza komwe lako kabla hujapost,.........
 
Hiyo shule ipo Kenya tu?
 
Unajua oysterbay na masaki mipaka inazingua,nami nimeishi huko kabla ya oysterbay hospital,,sitaki kufungua code kuhusu mtaa coz huenda nikatambulika
Barabara ya Msasani Road ndiyo mpaka wa Masaki na Oysterbay...
Pale Haile Selassie road kwenye kile kimteremko ndipo kuna bara inaunda junction ya kwenda Beach....
Sisi home kulikuwa na Ramani za mitaa za kata ya Msasani yote...
 
Barabara ya Msasani Road ndiyo mpaka wa Masaki na Oysterbay...
Pale Haile Selassie road kwenye kile kimteremko ndipo kuna bara inaunda junction ya kwenda Beach....
Sisi home kulikuwa na Ramani za mitaa za kata ya Msasani yote...
Asante kwa kunifahamisha,,kile kimteremko kilikuwa kinaitwa kilima nyege coz kinashuka ghafla bin vuu 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…