Internet ya bure imeharibu betri ya simu yangu

Mimi naona roho mbaya ni ugonjwa mbaya kuliko ukimwa na kansa yahani watu wanaumia na mabando wakati tuna uwezo wa kuiwajibisha serikali kwa kutumia VPN kumbuka ipo siku serikali italipa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…