Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na Manufacturer. Na regulator wa mitandao TCRA na TBS ubora. Na kudhibiti uhuni. Kenya gharama za internet ni ghali sna ila fibre cable za Serikali na hizo WIFI gadgets ndio common, na ziko vzr snaaa. Una unga mwezi na speed ni kali. Wao kuna stiff competition.Havina maana yoyote mkuu
Hapo kwenye competition nakubaliana na wewe 100%. Sasa hivi vifurushi vya mitandao yote vinakaribia kufanana, inaonekana hawa mabwana wamekaa pamoja wakakubaliana ili watunyonye damu vizuriIna tegemea na Manufacturer. Na regulator wa mitandao TCRA na TBS ubora. Na kudhibiti uhuni. Kenya gharama za internet ni ghali sna ila fibre cable za Serikali na hizo WIFI gadgets ndio common, na ziko vzr snaaa. Una unga mwezi na speed ni kali. Wao kuna stiff competition.
Tz ni Rushwa tu. Kuanzia kwa Waziri, TCRA na hiyo Fair Competition Commssion, na Hujuma za Voda, Tigo na Airtel (Wame amua kutengeza umoja kama OPEC, now they are no longer competing, wana agree how much to charge). Hawa wadau waki banwa vzr hivyo vifaa ni mkombozi wa Familia kuliko kuwa na minguzo na Miwaya everywhere.
Mf. Issue ya Data kuisha kwa haraka compared to 2020 kurudi nyuma haijibiwi. Voda ukiwauliza, Why? Majibu ni story oooohhhh speed ya 4G ina kula data, Apps nyingi, ooohh automatic updates, huzimi Apps, story kibao, nk utadhani 2020 ni mbali na 1 GB ili kaa. Siku hizi 570 MB ukitumia USB Tethering kwenye PC ni dk 3 tu una MB 00. Hivi TCRA haina utaalamu wa kufanya hii Auditing ya data leakage (Data leakage speed boost)?
Rushwa Rushwa Rushwa. Hawa watu wana hongwa kupitisha charges, vifurushi, hujuma, za makampuni.
[emoji28][emoji28][emoji28]Huwa wanarushiana mpira "...unasikia, wewe msaidie mteja, wewe si ndiyo ulikwenda China kusoma!! Haya mteja huyo hapo mpe huduma"
ZipoMwenye kufahamu kama huku kwetu Makongo Juu - CCM hizi nyaya za ttcl zimepita anijuze na mm nivute hii huduma
Acha kabisa India with Jio, Airtel na kampuni kadhaa wanakupa 40mbps fiber kwa 499 rupees approximately to 15000tshs.... Internet ni basic need ila kwetu huku tunalipishwa kama anasa vileIna tegemea na Manufacturer. Na regulator wa mitandao TCRA na TBS ubora. Na kudhibiti uhuni. Kenya gharama za internet ni ghali sna ila fibre cable za Serikali na hizo WIFI gadgets ndio common, na ziko vzr snaaa. Una unga mwezi na speed ni kali. Wao kuna stiff competition.
Tz ni Rushwa tu. Kuanzia kwa Waziri, TCRA na hiyo Fair Competition Commssion, na Hujuma za Voda, Tigo na Airtel (Wame amua kutengeza umoja kama OPEC, now they are no longer competing, wana agree how much to charge). Hawa wadau waki banwa vzr hivyo vifaa ni mkombozi wa Familia kuliko kuwa na minguzo na Miwaya everywhere.
Mf. Issue ya Data kuisha kwa haraka compared to 2020 kurudi nyuma haijibiwi. Voda ukiwauliza, Why? Majibu ni story oooohhhh speed ya 4G ina kula data, Apps nyingi, ooohh automatic updates, huzimi Apps, story kibao, nk utadhani 2020 ni mbali na 1 GB ili kaa. Siku hizi 570 MB ukitumia USB Tethering kwenye PC ni dk 3 tu una MB 00. Hivi TCRA haina utaalamu wa kufanya hii Auditing ya data leakage (Data leakage speed boost)?
Rushwa Rushwa Rushwa. Hawa watu wana hongwa kupitisha charges, vifurushi, hujuma, za makampuni.
Duh!! Miundombinu yake bado ninayo, nadhani hata modem yake nitakuwa nayo!! However, niliacha kuitumia almost 15 years ago!! Vipi, unadhani technology yake itakuwa imeshapitwa na wakati na hivyo kuhitaji new wiring na newer modem technology?!Waya ulikuwepo, installation ni 55,000 ila ukiongea nao wanaruhusu vifaa vyako.
Modem za zamani hazikuwa na wifi ya kutumia wireless kwenye simu, laptop, n.kDuh!! Miundombinu yake bado ninayo, nadhani hata modem yake nitakuwa nayo!! However, niliacha kuitumia almost 15 years ago!! Vipi, unadhani technology yake itakuwa imeshapitwa na wakati na hivyo kuhitaji new wiring na newer modem technology?!
Sure!!Modem za zamani hazikuwa na wifi ya kutumia wireless kwenye simu, laptop, n.k
Nafkiri hio ya miaka 15 haina wifi ni zile zinatumia waya moja kwa moja waweza tumia ila ukipata router ya wifi ni much better.Duh!! Miundombinu yake bado ninayo, nadhani hata modem yake nitakuwa nayo!! However, niliacha kuitumia almost 15 years ago!! Vipi, unadhani technology yake itakuwa imeshapitwa na wakati na hivyo kuhitaji new wiring na newer modem technology?!
Yah, za zamani hazina wifi! In short, kwa dunia ya leo, dah!!Nafkiri hio ya miaka 15 haina wifi ni zile zinatumia waya moja kwa moja waweza tumia ila ukipata router ya wifi ni much better.
Pia kama unajiweza angalia fiber, ina speed zaidi.
Adsl+ inabeba 24mbps ambayo ndio Ttcl inatumia. Ni tech ya zamani ila bei ni rahisi inayoendana na uchumi wa MTanzania na coverage ni kubwaKiukweli pindi tunapozungumzia ADSL tunarudi nyuma katika utandawazi maana hapa tunazungumzia muunganiko wanjia kuanzia MSAN, MDF, CABINET, DP ndipo huduma ifike kwamteja. Hivyo huko kote inapita copper cable ambayo kiuhalisia inabeba 2Mbps - 4Mbps napia Fault zinatokea mara kwamara kutokana na rusting, vandalism nahata radi pindi ikipiga. Kwaushauri nibora 100% uchukue OFC maana ni fault free, latest technology napia inauwezo wakubeba mpaka 1000Mbps.
Inazidi hiyo Mkuu maana Bando la 1GB ukiingia YouTube dk 2 unatumiwa sms umetumia 75% ya bando lako25 kwa mwezi si haba, ukipiga hesabu za 2000 kila siku kwa mwezi ni 60K upumbavu sana bora ulipie hio 25K
KaribuAhsante kwa muongozo...