Interview Rais Samia na Azam TV, azungumzia safari, Urais, Mikopo ya Miradi ya Magufuli, Ripoti ya CAG

Kuwa na staha kwa mama zetu mkuu.
kata kama mama yako kama ataongoza familia yenu huo ni msiba.

hata katika Mitume wote waliotumwa na Mungu hakuna mwanamke.

Mungu sio mjinga
 

Wabongo wengi mna upumbavu mobu , sasa wewe shida yako kama mwananchi ni nini? ni masharti au unataka miradi ifanyike? Hayo masharti umewahi wekewa hadharani tangu awamu ya kwanza ya fisiemu ?
 
Naye akope afanye hata mradi mmoja wenye tija.
 
Sijui iwapo cognitive competence ya Sasha iko sahihi. Miradi iligarimiwa na fedha za mikopo. Sawa! Lakini miradi haijakamilika na inaonekana serikali imeishiwa fedha za kukamilisha miradi hiyo wakati mikataba ya mikopo ya kugharimia miradi husika bado ni hai!

Sasa kwa nini miradi imesimama, haiendelei kutekelezwa wakati mikataba ya project funding (construction phase) bado iko hai? Je, mikataba ya mikopo husika iliandaliwa kutegemea uhai wa mwendazake? Kwamba project funding phase inge-cease immediately baada ya Magufuli kufaariki dunia!? Inakuwaje baada ya kifo cha mwendazake mikopo ya miradi imedorora kiasi cha serikali kushindwa kuhitimisha miradi kama ilivyokuwa imepangwa?
 
Sawa Ila Unaemsema Hana Uwezo Wa Kujitetea Tena Je Tuta Amini Vipi Kama Ni Kweli Anayosema Kwamba Awamu Ya 5 Ilikopa Kwa Siri, Hayo Ni Maneno Ya Kufurahisha Jamii Wakati Kuna Mambo Mengi Ya Kufanya Kama Nchi.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
kata kama mama yako kama ataongoza familia yenu huo ni msiba.

hata katika Mitume wote waliotumwa na Mungu hakuna mwanamke.

Mungu sio mjinga
Jamhuri haina dini. Mambo ya kiimani haiyafuati.
 
Yeye yuko wazi tunatekeleza kwa mikopo full stop.. Sio tulidanganywa tutembee kifua mbele eti tunajenga kwa pesa zetu z a ndani kumbe ni mikopo.. Je umeelewa sasa?
Basi mikumi tena kwake...
 
Tunaenda Kuijenga ZENJI..

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mawee kwahiyo huko marekani wamesaini mikataba ambayo utekelezaji wake ni wa mashaka.

Aisee. Duuh.
 
Yeye yuko wazi tunatekeleza kwa mikopo full stop.. Sio tulidanganywa tutembee kifua mbele eti tunajenga kwa pesa zetu z a ndani kumbe ni mikopo.. Je umeelewa sasa?
Huo uwazi mpaka sasa haujafanikisha kutekeleza mradi wowote ulioanzishwa.

Zinahitajika fedha na sio maswala ya kuambiana uwazi.

Kama wamekwama pia wawe wawazi tujue kama Taifa kuwa hiyo miradi haitakaa ikamilike.

Wasiendelee kutuficha wakidai kuwa wapo wawazi.
 

04 May 2022

KWA UREFU : Maongezi ya ana kwa ana kati ya Rais Samia Suluhu Hassan na Mkurugenzi Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando.

Source : Azam TV
 
Utatumia Fedha zako za ndani halafu unadai umekopa?? Hapo ndiko Kwene shida!!!
Fedha ndani akizikuwa akitumia Mwendazake ilikuwa ni DHULUMA KWA WAFANYI BIASHARA. WANASIASA WA UPINZANI NA MIFUKO YA PENSHENI. Ndiyo maanacreport ya CAG imesema MIFUKO ya PSSSF na NSSSF iko mashakani!! MIFUKO hii inaidai SERIKALI Trillions of Tshillings.
Mama aseme ukwelu tu!!
 
Mradi gani hauendelei? Umelewa chimpumu nini?
 
Ninachomkubali huyu mama ni msema kweli, kuna jitu liongo eti lenyewe likawa linajiita ati msema kweli mpenzi Mungu, kumbe ni liongo namba moja.
 
hivi kweli mijianaume na midevu yetu tumekaa mwanamke ndiye anaenda kututafutia ?

vya kutafuta ni vingi na mama hajaweka wazi anaenda kutafuta nini sisi tukae tukenue meno tu ataleta
Hata kama unamchukuia huyo ndio Command in Chief, pimbi wewe.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…