Interview Rais Samia na Azam TV, azungumzia safari, Urais, Mikopo ya Miradi ya Magufuli, Ripoti ya CAG

Shida ya mama, usishangae kesho akisema tofauti. Siku chache zilizopita alisema tumeondolewa uchumi wa Kati, Leo anasema bado tupo.
Memory jamming maybe due to royal tour fatique
 
Wabongo wengi mna upumbavu mobu , sasa wewe shida yako kama mwananchi ni nini? ni masharti au unataka miradi ifanyike? Hayo masharti umewahi wekewa hadharani tangu awamu ya kwanza ya fisiemu ?
Asante kwa kutusifu na kututukuza .. Tumeyapokea maoni yako kwa roho nyeupe
 
Mama hataki sera ya kupora pesa matajili kufadhili hiyo miradi. Au kuwateka kina Mo Dewji ili warudishwe kwa mabillioni.


Kimsingi mama hataki Gangster Government.
 
Mbona tulisikia yule bwana alikua katili na dikteta jumuiya za kimataifa ya nje walimchukia na kusababisha nchi kutofunguka, iweje sasa awe amekopa pesa nyingi hivyo za miradi mikubwa. Ni kina nani walimkopesha ikiwa alikua dikteta? Nawazaga sana...
 


Labda jamaa wameona wa-cease baada ya jamaa kuchomoka sababu walimuamini sana jiwe kuliko mtu mwingine…

 
Sawa, umeongea vyema kabisa.
Sisi tunataka kuambiwa ukweli huku haki, katiba na maendeleo ya kweli ya watu vikiheshimiwa.
Pia tunataka katiba mpya iliyobora
 
Mama hataki sera ya kupora pesa matajili kufadhili hiyo miradi. Au kuwateka kina Mo Dewji ili warudishwe kwa mabillioni.


Kimsingi mama hataki Gangster Government.

 
Ninachomkubali huyu mama ni msema kweli, kuna jitu liongo eti lenyewe likawa linajiita ati msema kweli mpenzi Mungu, kumbe ni liongo namba moja.
Kama ni msema ukweli mbona hatuambii walichangia loyal tour?
 
Yeye yuko wazi tunatekeleza kwa mikopo full stop.. Sio tulidanganywa tutembee kifua mbele eti tunajenga kwa pesa zetu z a ndani kumbe ni mikopo.. Je umeelewa sasa?
Ebu weka hapa mikataba aliosaini huko marekani mimi sijaiona usisahau na ule wa World Bank
 
Hayo mazungumzo au hotuba?Aliulizwa hayo aliyoelezea au aliandaa majibu baada ya kupewa maswali kabla?
Siamini kama hayo ndiyo aliyoyanena,mbona mambo mengi Rais wetu anatulinganisha na yanayotokea Marekani?Je,ni kweli kwamba mafuta yanauzwa nafuu hapa kwetu kuliko Marekani,Kenya,Zambia au nchi zingine?Hii bei ya 3,200+ ndiyo anayolinganisha?Hii bei mpya kwa Dollar ni kiasi gani vile?
 
Kwenye mafuta ya kula, Rais anasema wanafuta kodi kwa mafuta yanayotoka nje. Hapo naona akina Mo Dewji wamerudi upya, kodi itafutwa na bei itabakia pale pale. Au Rais ni mgeni Tanzania?
 
Kumbe Bi Tozo nae analijua neno chawa, anatakiwa awaambie chawa wake waache uzushi kwa JPM.

Leo yeye mwenyewe amekiri uwezo wa serikali kulipa madeni umepungua, nchi imetolewa kutoka low risk kwenda kwenye moderate risks; mambo ambayo yanawapa wakati mgumu kukopesheka na mabank kwenye miradi ya kimkakati.

Hizo ni habari kwake lakini, sio JF alishaonywa baada ya muda mfupi atakuwa huko asibadili aliyoyakuta ni foundation ya kuelekea uchumi usiotegemea misaada na masharti.

Haya kiko wapi tumerudi kulekule halafu chawa wake kutwa kuongopa makusanyo ya kodi yamepanda. Unadhani ukusanyaji wa kodi unataka mambo ya kurembuliana macho.

Ni hivi harudi nyuma na kuangalia alikosea wapi, personal naweza sema nilitabiri mwaka jana ikifika mwaka huu mwezi wa sita kwa hatua zake watu wengi watakuwa wamechoka.

Kilichobaki sasa nifungue kibanda changu cha biashara ya utabiri na ushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…