Kuna 3some ya mtu na mdogo wake niliipiga kisela hadi leo wahusika hawaamini macho yao. Mungu anisamehe kwa kweli. Iko hivi nilipiga demu alikuwa pisi kali sana tena mlokole, mtu wa kwaya huko, nywele zake za kukata hasuki. mpare cheupe ile natural mguu wa bia, shavu limetakata uuuh nilikufa nikaoza kwa yule binti.
Sasa mama yake akawa ananipenda sana hadi nikawa nawaza au binti amemwambia mama yake kuwa natembea naye au vp. Nikimwuliza binti anasema hawezi kumwambia mama yake coz huyo mama pia anafahamiana na mrs wangu.
Baada ya muda kama miaka miwili yule binti akaondoka kwenda kutafuta maisha mkoa mwingine roho ikaniuma sana. sasa mama yake akawa amenizoea sana. Siku moja akanipiga mzinga ana shida ya elf 30.
Nikamwambia niko ofcn na iko mfukoni utapataje? Mama akasema anamtuma mtoto (binti) ndo katoka kumaliza form 4. Binti akapewa namba yangu nikawa namwelekeza hadi akafika ofcn. Basi nikachomoa 30k nikampa ampelekee mama. Na yeye nikamtunuku 10k ajiwekee vocha nikamwambia hiyo usimwambie mama.
Tangu siku ile kilichonitesa moyo ni kwamba yule mtoto ni mkali kumzidi dada yake. Yaani mrembo hatari. Imagine ni mweupe ngozi nyororo nywele kachana mguu wa bia na hips flani amazing yaani. Nikawa najuta kwa nn nilianza na dada yake lakini wakati huo huo nasema huenda kama sio huyo dada yake nisingemfahamu huyu.
Nikaanza kumchatisha nikaona anaingia kwenye 18 zangu. Nikaanza kukatafuna looh yaani nikawa kama mlevi kwa huyu binti siambiliki wala nini. Nilikuwa nakula show mpaka ananiomba tupumzike maana kitu kisafi taaam sijawahi ona ufundi kama wa yule binti. Baada ya kama miaka mitatu huyu mdogo akaja kuolewa.
Yule mkubwa nikawa kuonana mara chache ila tukawa tunapiga show. Sasa kumbe kuna wakati wanashea sim kipindi wakikutana ile kuomba sim ya mwenzake kutuma sms au kupiga kama yeye hana vocha si ndo wakagunduana kuwa wameshea dushe langu ikawa timbwili.
Sema wote walikuwa wastaarabu sana hapakuwa na ugomvi mkubwa sema kila ninayewasiliana naye alikuwa ananiambia ushenzi wangu. Nikaanza kwa mkubwa kuomba msamaha, nikaja kwa mdogo.
3some:
Sasa nikaamua kuwapanga kuwa ili tuyamalize haya mambo kistaarabu naomba tutoke out siku moja ili tukiwa wote watatu tuzungumze haya mambo yaishe kistaarabu. Wakakubali.
Mimi moyoni roho inaniuma maana hata nikiambiwa nichague nibaki na yupi nimuache yupi nashindwa kuchagua. Nilitamani sana tuendelee hivyo hivyo na ikipidi tupige 3some.
Nikawapeleka beach penye uullivu mkubwa sana, zile za kulipia unakuta watu wachache. Kufika nikawatune kucheza cheza kule beach, kuogelea, then tukaja kupata msosi. agenda ya mazungumzo nilikuwa naikwepa sana.
Zaidi nilitaka wale bata zaidi yaani chochote walichotaka niliwapa. sema walokole hawanywi pombe so bajet yao ilikuwa ndogo sana. Tulishuka asubuhi mida ya sa 4 hadi saa nane hakuna mazungumzo ni kucheza, kuogelea, kula na kunywa tuu.
Sasa nikamtafuta mhudumu anitafutie room tulivu. mida ya sa 9 nikawapanga kuwa twendeni tukaongee, hao ndani room maana ctaki wpaita njia wasikie mazungumzo yetu. Wakakubali na hapo ndo walivyojiloga.
Kufika ndani nikawaambia nawapenda sana, na sitothubutu kuwaacha. Kama kuna nilichowakosea basi ni kuwapenda kutoka moyoni. Mkubwa akaanza kulia akafuata mdogo nikamfuata mkubwa alipokaa nikamkumbatia, nikambusu kwa nguvu, nikamfuata mdogo hivyo hivyo. Nikawashika wote wawili nikawaweka kitandani. Nikawaambia semeni lolote mnalotaka nitalifanya.
Mazungumzo yalikuwa mengi baadaye Mkubwa akasema tupe mtaji wa biashara. Nikasema hiyo sio shida. Nikachukua mfuko wangu nilikuwa na laki 5 mfukoni. Nikaichomoa nikawapatia kila mmoja laki 2 na nusu, nikawaambia hiyo ni kianzio nyingine zinakuja. Sasa nikawaweka kitandani mimi nimelala katikati wao mmoja kushoto mmoja kulia. nikavuta mfuko wangu nikachomoa mafuta ya mizeituni (Olive oil). nikawaambia naumwa mgongo nifanyieni massage.
Basi akaanza mkubwa, mdogo kama mwoga mwoga hivi nikamvuta na yeye wakawa wananisugua wote wawili. Kufupisha story massage ikabadilika kuwa show ya kibabe sana. Tulipotoka pale tukapeana ahadi hii issue isije ikasikika popote. maana mdogo mtu alikuwa ameshaolewa.
Tuliondoka saa 12 jioni tukiwa hoi sana. Tangu siku hiyo mwaka 2015 hadi leo sijapata tena 3some. yule mdogo baada ya pale ilikuwa nampata mara chache sana maana aliolewa sasa ana watoto watatu. Ila mkubwa bado ni mzigo wangu japo naye sionani naye sana.