THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
- Thread starter
-
- #101
Hujui mapenzi kasikilize EP ya Almasi tuππHahahaha! Hawa madogo watajifunza lini. Kawaida mwanamke anatumia masaa kujiangalia kwenye kioo kisaikolojia inamaanisha ile image anayoiona ni muhimu kuliko kitu chochote kile na muda wote atafanya maamuzi kufavor ile image anayofurahia kuiona.
Hiyo pesa akutafute mkanywe balimi tu maana lazima atakuja kuijutia akifanya huo upuuzi.
Mkuu nnavomshauri hapa ananiona mi kanyaboya we muache tu. Mi nilishaachaga hayo mambo ya zawadi kitambo sana.Hahahaha! Hawa madogo watajifunza lini. Kawaida mwanamke anatumia masaa kujiangalia kwenye kioo kisaikolojia inamaanisha ile image anayoiona ni muhimu kuliko kitu chochote kile na muda wote atafanya maamuzi kufavor ile image anayofurahia kuiona.
Hiyo pesa akutafute mkanywe balimi tu maana lazima atakuja kuijutia akifanya huo upuuzi.
Hakuna kitu kama hicho wewe, amjali mkewe sio mpenzi wake. Nshamwambia kama atapewa mbunye basi aandae zawadi ili atoe kulingana na shughuli sio eti kutoa ili kununua upendo, Nyambafu tunanunua tendo sio upendo.Aisee mwache enjoy mapenzi kwa muda huo . Hakuna kitu kizuri kama kumjali mpenzi wako kwa vitu vidogo kabisa ..
I concur!!Birthdays are overrated...
Wewe kama ni mtu wa kujali basi kila siku ni siku ya kuonesha kujali...
Wanawake huguswa na vitu vidogo vidogo ambavyo wanaume huwa tunavipuuzia...
Love is a beautiful thing[emoji123]Aisee naona umegive up kwenye mapenzi kabisa
Naomba Mungu akusaidie katika hilo
Anyway love is still a beautiful thing ..
Ndio rafikiLove is a beautiful thing[emoji123]
Kamati ya kichawiAcha kuwaza ujinga dogo. Hiyo pesa bora ukanywea balimi sio kumpa huyo hiyo zawadi.
Kama huna kampani we njoo mi nina clue ya kutosha kuiteketeza hiyo pesa ya zawadi.
Cake ni the bestJF Mahusianoπ
Nipo hapa kuuliza swali dogo tu.
Ipi ni zawadi nzuri ambayo unaweza mpatia mpenzi wako akafurahi Mainly Mwanamke hasa katika siku zao Maalumu kama Birthday?
Nina Jambo langu hapaππ
NOTE:Toa ushauri pasipo kuangalia swala la uchumi let's assume wote tuna kitu.
ππππππMimba tu
Cake common sana mkuu hadi huko Masasi wanatoa cake!πCake ni the best