Ipi ni zawadi nzuri ya kumpatia mpendwa wako hasa wa kike?

Ipi ni zawadi nzuri ya kumpatia mpendwa wako hasa wa kike?

Mnunulie nguo nzuri(gauni),viatu,mkoba na saa,nadhani haizidi laki.
Ukiwa na nguvu zaidi mtoe out ya nguvu,mpeleke mahali pa zuri mkiwa wenyewe kwaajili ya dinner,pata nafasi ya kumueleza alivyo wamuhimu kwako,hakikisha unakuwa romantic.
Na ndio wakati wa kumpa zawadi zake.

Muhimu sanaa,mpende kwa dhati,soon utakuja kutupa mwaliko wa......

All the best
Asantee Mkuu[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kwanza kitendo kuacha kuwaza mambo yako ya msingi na kuwaza kumnunulia zawadi huyo mpenzi wako tayar ni zawadi.

Mpende Kwa dhati(ndani ya huo upendo kuna mizinga humu,kugombana,kusameheana,kuchepuka na mengineyo mengi ya kibinadamu kutoana out)
Aiseeee Ushauri Murua sana[emoji120]
 
Acha kuwaza ujinga dogo. Hiyo pesa bora ukanywea balimi sio kumpa huyo hiyo zawadi.

Kama huna kampani we njoo mi nina clue ya kutosha kuiteketeza hiyo pesa ya zawadi.
Mapenzi yana nafasi yake kubwa sana acha ujinga
 
Acha kuwaza ujinga dogo. Hiyo pesa bora ukanywea balimi sio kumpa huyo hiyo zawadi.

Kama huna kampani we njoo mi nina clue ya kutosha kuiteketeza hiyo pesa ya zawadi.
Nikitaka Mtoto kampani yangu watanizalia?
 
Acha kuwaza ujinga dogo. Hiyo pesa bora ukanywea balimi sio kumpa huyo hiyo zawadi.

Kama huna kampani we njoo mi nina clue ya kutosha kuiteketeza hiyo pesa ya zawadi.
oi mnene Nipe area code nije tuanze kutumia ka sehem ka Mali zetu wakat tunamsubili kijana tuje tuiteketeza iyo pesa ya zawaid ambayo kesho itakuja kumpa stress akiachwa

Mayday mayday..... ☣️
 
Mnunulie zawadi
Mpe pesa kidogo
Tema madini jinsi gani unavyompenda na hutaki kumpoteza..nk
 
Candle lite dinner tena yafaa mkue wawili tu jioni iyo. Hii ni zawadi nzuri sana na kitu kigeni kwa wadada wengi wa bongo. Chochote kile utakachotoa hapo baada ya dinner kitabeba uzito mkubwa wa zawadi

Ushauri wa kijana wa darasa la saba.
Hayo fanyeni huko ulaya hiyo candlelight atapigwa na mshumaa usoni hadi ashangae [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom