Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Hadi leo hujui kwamba jews hawatumii na hawaamini katika biblia wala ukristo ambao hawautaki hata kuusikia?
Huu uongo na hizi propoganda sijui mnazisimbaza kwa faida ipi, Wayahudi hawaamini katika Agano jipya, ni uongo mkubwa kusema hawataki kuusikia Ukristo, Israel kuna makanisa na misikiti tele, Israel ndio taifa lenye mchanganyiko wa dini nyingi zaidi mashariki ya kati kwa uhuru mkubwa.
 
Huu uongo na hizi propoganda sijui mnazisimbaza kwa faida ipi, Wayahudi hawaamini katika Agano jipya, ni uongo mkubwa kusema hawataki kuusikia Ukristo, Israel kuna makanisa na misikiti tele, Israel ndio taifa lenye mchanganyiko wa dini nyingi zaidi mashariki ya kati kwa uhuru mkubwa.
jibu swali, jews wanamuamini yesu kama ni mungu?
Jews wanaamini biblia?
 
Hadi leo hujui kwamba jews hawatumii na hawaamini katika biblia wala ukristo ambao hawautaki hata kuusikia?
Kwani wale waarabu waislam wenyewe wanaupenda ukristo si afadhali ya hata hao jews basi wanao hapo Israel wanaishi nao.

Je kwani Saudi Arabia kuna hata kanisa si bora hata Israel yapo makanisa.
 
Siri ya akili za wayahudi ni Tanakh au kudecode kanuni na siri za maisha zinazofundishwa katika biblia.

Soma kitabu kinaitwa Unlocking Jewish code.
Wayahudi na biblia wapi na wapi,,, halafu mbona mnapenda kuwahusisha wayahudi na ukristo wakati hawataki hata kuusikia huko kwao,, yani shobo hizi mnazo nyie tu wayahudi wa chimba unye.
 
Waislam wakianza kusoma Quran na hadithi vizuri na wakiacha kukaririshwa tafsiri na "Scholars" wao ndio watajua dini yao, kinyume na hapo wataendelea kukariri vitu vya juu juu tu.
 
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Wewe jamaa unatakiwa kupatiwa msaada, homosekshoaliti imekuathiri sana
 
Akili ni maumbile tulioumbiwa nayo na Mungu kama tuonavyo tulivyo na viungo vingine mwilini kila jamii imepewa akili lakini Mungu sehemu nyingine kaamuwa tu kuwazidishia na kwingine wakawa na zakawaida mfano urefu na ufupi kuna jamii wanajikuta wengi wanazaliwa wafupi wengine warefu wala hakuna juhudi yoyote wanayofanya ikawafanya wawe hivyo
 
NIseme Ukweli Nimependa Uwezo wako wa Kujenga hoja..

Japo naomba Kusema kitu..

Walatin walikuwa na Msemo wao Mmoja Huwa naupenda sana..

"Timor confingitur, quamquam periculum vere accidere potest."

Yaani..

"Fear is fabricated, although the danger can truly happen."

Namaanisha kwamba Hukuzaliwa tu ukajua Kuwa nyoka ni kiumbe wa ajabu na unapaswa kumkwepa wakati huo ukajua kuwa mjusi si kiumbe hatari na haupaswi kumkimbia..

Wakati huo ukajua Ng'ombe unapaswa kumfuga na wala hana madhara kwa binadamu na Simba Ama madhara na Huwezi kumchukua Porini ukamuweka Nyumbni umfuge..

Namaanisha nini If you want to bult empire You have to stated with strategies, Plan How you going to Put it together how utaovercome Failure et al..

Did you think Israel ilipoanzishwa mwaka 1947 hawakujua Vyote hivyo?

Napoleon Hills Aliwahi kusema "The Hardest and Dangerous Prisone to escape is in Your Own mind"

Kama Nilivyosema Mwanzoni More than 60% Ya Dunia Hii wote Ni Dini Hizi tatu Christian, Muslim and Judaism..

Na wote hawa Wanawatukuza Wayahudi kama Ni Mitume na Taifa Teule ama lililokuwa Teule..
Ukija kwa Wakristo watakuambia Wayahudi ni Watu wa Mungu..

Sasa Hapo ndo inakuja Dhana ya kuwa Hakuna Gereza walilotuweka ambalo ni gumu kutoka Kama gereza la Imani kwa sababu Mtu yuko tayari kutetea hata afe kwa ajili hiyo..

Vipi kuhusu Vita na wayahudi kushinda kila mara kwani inashindikana Kuwapiga Bomu la Kushtukiza ghafla.... (Inawezekana) sasa Why, Cuz they just fabres things and They want you to beleive that Wayahudi wako powerfull Japani aliwahi kuchapwa Na nyuklia Mpaka leo ana athali ya Hiroshima..

So Hata Palestina na Israel those are just Message they want you to see that They are powerfull wakati Huenda Si kweli..

Ukitaka Kujua Israel is not israel as We think Just angalia Utetezi wanaopata kwa Nchi kwenye vikao vya UN..
Kuna Vitu hupandikizwa Vichwani vyetu ambavyo Unaweza ukajiuliza kwanini Tunaambiwa au tunaonheshwa hivyo..

Mwaka 1996 Kulifanyika Peer Traditional Experiments iliyohusisha nyani (Nitakuwekea hapo chini Kwa ajili ya kuweka Records Sawa) na mwaka 2008 kulifanyika pia experiments hiyo hiyo ila ilikuwa ya watu japo.ilikuwa Kwenye sense tofaufyi nikipata nitakuwekea pia..

Hii Ndo experiments
View attachment 3135064

So Kitu kitakachotusaidia ni Only kuchange mindsets Yetu kuweka akili zetu sawa na Ku"Unlearn kila kitu walichotupandikiza na kutufundisha Hiyo ndo njia sahihi ya Kuchomoka""

This was All a mind sets Games to us
Mifano uliyotoa yote ni basic sana.
Huja consider genetic factors, na mazingira.
Human intellect inajengwa na vitu vingi mno. Kingine lazima kuna utofauti kwenye aspects za uwezo within species ndo maana kuna talanta na vipaji mbalimbali. So huwezi convince watu eti kulearn na ku unlearn vitu vipya ndo watakuwa ma genius.
 
Ushoga upo karibia kila nchi kwa kwa hiyo wanaolalamika basi na walalamikie Tanzania pia lakini kulalamika kwamba ushoga upo Israel pekee au as if chanzo ni wayahudi hizo ni chuki binafsi.

Kuhusu kuwabagua wakristo kwa maana ya kwamba kuna wayahudi wanawabagua wakristo nii sawa kwa sababu haiwezekani wayahudi wote 100% wakaupenda ukristo lakini kuna wayahudi wengi sana wakristo tena walokole. Ila kuna watu wenye chuki zao ambao hueneza propaganda wakimaanisha wayahudi woote wanauchukia ukristo au huo eti ni msimamo wa serikali ya Israel huu ni uwongo.
Ingekuwa wayahudi wengi wanawachukia wakristo kwa jinsi inavyosemwa basi wasingeruhusu wakristo kuingia Israel lakini kila mwaka wakristo kibao wanaenda kutembelea Israel kujifunza, na kufanya maombi.

Nimalizie kwa kusema Tangu taifa la Israel limeana kuasisiwa kumekuwa na chuki kubwa isiyo kifani juu yake ndiyo maana Farao aliwatumikisha vibaya walipokuwa misri pamoja na historia nzuri sana ya myahudi aitwaye Yusufu kuitumikia misri kwa uaminifu mkubwa uliotukuka. Wakiwa wanatoka Misri kwenda Kaanani walipigana vita nyingi sana njiani, kuingia Kaanani kulikuwa kwa vita, walipigwa vita na akina Hamani, walipigwa vita na dola ya rumi, na wakateswa mnooo, waliuwawa wayahudi wengi sana na Hitler, na ndiyo maana wayahudi wengi walipenda kwenda kuishi USA na guess what USA imekuwa taifa kubwa kwa miaka kadhaa kwa sababu ya mchango wao mkubwa sana maana wamebarikiwa na Mungu tokea kwa baba yao Ibrahimu.

Shetani ana hasira kubwa mno na taifa la Israel simply sababu Yesu alizaliwa kutokea kwa wayahudi ambapo amekuwa mwokozi wa ulimwengu na kupitia yeye binadamu amepatana tena na Mungu endapo atamwamwini Mungu na atatubu dhambi, makosa na uovu wake.

Ndiyo maana vita ya mwisho ya duniani ni kati ya mpinga kristo yaani majeshi ya nchi zote na nchi ya Israel. Ashukuriwe Yesu ambaye atashuka kuja kumaliza hiyo vita then atatawala dunia nzima na Yerusalemu yatakuwa makao makuu ya serikali ya Yesu Kristo.
Je, wewe ni shoga?
 
Ndiyo, yote hayo.
Hongera kwa kukiri hadharani msema kweli mpenzi wa Mungu, tubu haraka kwa kufanya uchafu huo kabla hujaondoka hapa duniani. Kha ajuza lini mbili zipo active umri huo?
 
Back
Top Bottom