Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Du zilongwa mbali zitendwa mbali
 
sibishani nawe maana ulichoandika ni matokeo ya fikra ulizo nazo na ipo wazi sana shetani amepofusha fikra za wengi nawe ukiwa mmojawapo ili nuru ya injili isikuzukie.
Sijabisha wala kubishana na wewe Ila nimekupinga kuna tofauti kubwa kati ya Kupinga na Kubisha..

Kubisha ni endapo Ulichoandika Kinaukweli angalau 40% ila ulichoandika Chote ni Uongo..
Ulokole Unapofusha sana Fikra za Wengi wanaamini Wanajua Ila kumbe Hawajui kitu
 
Niliwahi kuambiwa kuwa wakati Wayahudi wakifanya gunduzi nyingi mbalimbali za Kisayansi na tekinolojia, kuna jamii fulani, kikubwa kabisa walichowahi kugundua ni biashara ya utumwa. Biashara ya kuwauza watu wenye ngozi nyeusi. Baada ya hiyo biashara kufutwa Duniani, sasa hivi wamegundua biashara ya kuuza viungo vya binadamu weusi, kama figo, moyo na ini. Wanawadanganya hao watu weusi kuwa kuna kazi. Hao watu weusi wakifika huko wanakaa na kufanya kazi ndogo ndogo, wanalishwa na kulala bure, huku wakipewa pesa ndogo ndogo ya kutuma nyumbani, wakiambiwa pesa yao ya mshahara watalipwa yote siku wanarudi nyumbani. Wanaishi bila ya kutambua kuwa hapo ni duka la viungo vya binadamu, na wao ndiyo bidhaa yenyewe. Akipatikana tu mteja, mmoja wa hawa watu weusi atapewa kitu cha kumfanya baadaye ajisikie kuumwa. Akisema tu anajisikia kuumwa, wenyeji wake wanajifanya watu wema sana, wanamchukua na kumfikisha hospitali kubwa ya kifahari, anapewa dawa, analala usingizi, wanatoa kiungo wanachokitaka, ndugu wanataarifiwa kuwa kijana wao amefariki akiwa anapokea matibabu. Ndugu wanapewa pesa nzuri kama pole. Kumbe ni asilimia ndogo sana ya aliyoipata kwenye mauzo. Unaambiwa bei ya figo moja ni kati ya dola 250,000 na 350,000. Kwa hiyo ndugu hata wakipewa pole ya dola 5,000 (TZS 12m), watabaki wanasifia wema wa waajiri wa ndugu yao aliyepotezewa uhai bila ya kujua ndugu yao amefanyiwa ushetani!!
Duh..umenishtua sana
 
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
Screenshot_2024-10-18-08-28-31-140_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
 
Sijabisha wala kubishana na wewe Ila nimekupinga kuna tofauti kubwa kati ya Kupinga na Kubisha..

Kubisha ni endapo Ulichoandika Kinaukweli angalau 40% ila ulichoandika Chote ni Uongo..
Ulokole Unapofusha sana Fikra za Wengi wanaamini Wanajua Ila kumbe Hawajui kitu
Mwana wa ibilisi upo kazini huna hata haya unataka uendelee kupofusha fikra za watu.
Umezoea sana uwongo na ndiyo maana ukikutana na ukweli unataka uugeuze kuwa uwongo.
Na ilishasemwa wazi na bible udanganyifu utatawala sana siku za mwisho na ndiyo roho uliyonayo.
 
Niliwahi kuambiwa kuwa wakati Wayahudi wakifanya gunduzi nyingi mbalimbali za Kisayansi na tekinolojia, kuna jamii fulani, kikubwa kabisa walichowahi kugundua ni biashara ya utumwa. Biashara ya kuwauza watu wenye ngozi nyeusi. Baada ya hiyo biashara kufutwa Duniani, sasa hivi wamegundua biashara ya kuuza viungo vya binadamu weusi, kama figo, moyo na ini. Wanawadanganya hao watu weusi kuwa kuna kazi. Hao watu weusi wakifika huko wanakaa na kufanya kazi ndogo ndogo, wanalishwa na kulala bure, huku wakipewa pesa ndogo ndogo ya kutuma nyumbani, wakiambiwa pesa yao ya mshahara watalipwa yote siku wanarudi nyumbani. Wanaishi bila ya kutambua kuwa hapo ni duka la viungo vya binadamu, na wao ndiyo bidhaa yenyewe. Akipatikana tu mteja, mmoja wa hawa watu weusi atapewa kitu cha kumfanya baadaye ajisikie kuumwa. Akisema tu anajisikia kuumwa, wenyeji wake wanajifanya watu wema sana, wanamchukua na kumfikisha hospitali kubwa ya kifahari, anapewa dawa, analala usingizi, wanatoa kiungo wanachokitaka, ndugu wanataarifiwa kuwa kijana wao amefariki akiwa anapokea matibabu. Ndugu wanapewa pesa nzuri kama pole. Kumbe ni asilimia ndogo sana ya aliyoipata kwenye mauzo. Unaambiwa bei ya figo moja ni kati ya dola 250,000 na 350,000. Kwa hiyo ndugu hata wakipewa pole ya dola 5,000 (TZS 12m), watabaki wanasifia wema wa waajiri wa ndugu yao aliyepotezewa uhai bila ya kujua ndugu yao amefanyiwa ushetani!!
Watu wa jamii hiyo walianza miaka maelf iliyopita kuuza na kununua watumwa na asili yao ni Ishmael yule mtoto wa nje wa Ibrahimu aliyefukuzwa yeye na mama yake nyumbani kwa Ibrahimu ambapo ishmael alizaa waishmael na ndo walimnunua Yusuf kama mtumwa na kumuuza kwa Potifa kama mtumwa. Hivyo kuuza watumwa hawakuanza leo hao.
 
Nani alisema wana akili kushinda wengine? Mbona mimi sijawahi kusema hivyo wala sijawahi kusikia ndugu yangu yeyote akisema ulichosema?

Unaposema jamii fulani wana akili sana unamaanisha jamii yako akili hawana ama wanazo kiduchu? Naona bado upo utumwani kifikra.
Mkuu ndugu zetu si ndo hawa wanaompelekea Mwamposa na kiboko ya wachawi pesa huku wao wakiendelea kutaabika? Bado ujinga ni tatizo kubwa kusini mwa jangwa la sahara.
 
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Ujinga nao ni kipaji. Wanapewa tuzo zao huko wanakokutana.

Wayahudi wamewaadhibu watu wanaotaka kujitutumua sababu ya dini yao kama wewe.

Lakini mashoga, hata uarabuni wapo. Ukibisha ntakuonyesha
 
Mkuu ndugu zetu si ndo hawa wanaompelekea Mwamposa na kiboko ya wachawi pesa huku wao wakiendelea kutaabika? Bado ujinga ni tatizo kubwa kusini mwa jangwa la sahara.
Kwa hiyo ndugu zako hawa akili zao duni hawa, na wengine wanaenda kwa sheikh abdul razak awatatulie shida baada ya kuwaingilia kimwili🤣 wengine hupungwa majini na sheikh alhaj, Dr. Sulle.
 
Hadi leo hujui kwamba jews hawatumii na hawaamini katika biblia wala ukristo ambao hawautaki hata kuusikia?
Uongo mtupu Israel huko kuna Wakristo. Yaani habari ikifikia kwa wayahudi tu watu wengine wako tayari wawasemee uongo ili tu wachafuke!!!
 
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Nilitarajia uje na list ya mabingwa wengine kutoka Tanzani, africa, arabuni, china, russia nk nk.
Hoja za akili nyingi unajibu kwa kutumia ushoga?
Ilala na kinondoni kuna rundo la mashoga,wenye majina ya kiarabu! au huwajui?
visiwani mbali ya ruhusa ya kuoa wake wengi bado watu wanapita matakoni, hujui? ni wayaudi wale? au myaudi alikuwa mkoloni wao?

Ukisikia myaudi lazima majini yapande kichwani? jitoe muhanga
#FOOL
 
Uongo mtupu Israel huko kuna Wakristo. Yaani habari ikifikia kwa wayahudi tu watu wengine wako tayari wawasemee uongo ili tu wachafuke!!!
Unajua kwamba wakristo israel hawafiki hata asilimia tano?
Unajua kwamba israel hawamuamini yesu?
Unajua israel kama wanakula only halal food kama waislamu, na hawali nguruwe kama wewe?
 
Ujinga nao ni kipaji. Wanapewa tuzo zao huko wanakokutana.

Wayahudi wamewaadhibu watu wanaotaka kujitutumua sababu ya dini yao kama wewe.

Lakini mashoga, hata uarabuni wapo. Ukibisha ntakuonyesha
Uarabuni mbona mbali sana, sehemu kubwa ya Pwani na visiwani hapa Tanzania ushoga umeshamiri sanaa.
Yaan Znz mtoto wa kiume analindwa mnoo kuliko mtoto wa kike. Aisee nilienda zenj dah niliyojionea nilisikitika sana.
 
Unajua kwamba wakristo israel hawafiki hata asilimia tano?
Unajua kwamba israel hawamuamini yesu?
Unajua israel kama wanakula only halal food kama waislamu, na hawali nguruwe kama wewe?
Hata wafike 2% si wapo?? Acha kueneza uvumi wewe wakristo wapo wengi tu na wengine wanatumikia Jeshini harafu wewe unaeneza chuki za kijinga!,, usiseme Israel hawamwamini Yesu sema dini ya kiyahudi hawamwamini Yesu. Usitumie Neno Israel kuna watu wanakula kitimoto kama wewe na wanazifuga bila shida kabisa. Lakini wewe hapa unazua maneno ya uongo sana kuhusu Israel. Sijui kwa faida ya nani!!!
 
Hata wafike 2% si wapo?? Acha kueneza uvumi wewe wakristo wapo wengi tu na wengine wanatumikia Jeshini harafu wewe unaeneza chuki za kijinga!,,
LAbda hupendi kusikia ukweli , maana nilichoandika hapo kuna chuki gani mkuu zaidi ya facts,uvumi au chuki ni kuandika kitu ambacho si cha kweli au kwa nia mbaya
Wewe upo buza unajiita mkristo, leo unakasirika kusikia hao unaowapenda kama hawamuamini mungu wako na hawakukubali huko kwao ,jitafakari
 
LAbda hupendi kusikia ukweli , maana nilichoandika hapo kuna chuki gani mkuu zaidi ya facts,uvumi au chuki ni kuandika kitu ambacho si cha kweli au kwa nia mbaya
Wewe upo buza unajiita mkristo, leo unakasirika kusikia hao unaowapenda kama hawamuamini mungu wako na hawakukubali huko kwao ,jitafakari
Ndugu kuhusu Israel najua mengi sana lakini si uongo wako huu binafsi niesomalski huko uongo huu sijauona huko kuna wapagani kabisa na hawabaguliwi naona kuna watu wanawalipa labda kwa uongo huu!!
 
Back
Top Bottom