Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ngoja nikuchambuwe moja moja:


Hapana, Albert Einstein hakuwa wa kwanza kuielezea na kuendeleza nadharia ya uhusiano (relativity), lakini alikuwa wa kwanza kuchapisha kazi yake juu ya mada hiyo:


  • Isaac Newton
    aliunda nadharia ya mechanics ambayo ilikubaliwa kwa zaidi ya miaka 200 kabla ya nadharia ya Einstein ya uhusiano.


  • Qur'an
    Baadhi ya aya katika Qur'an zinahusiana na nadharia ya uhusiano, ikiwa ni pamoja na Sura Al-Hajj 47, ambayo inasema, "Hakika siku moja kando ya Mola wako Mlezi ni kama miaka elfu kutoka miaka unayoihesabu."
Quran ni takataka inayoongoza kudurufu na kujimilikisha Kazi za watafiti nguli bila aknowlegement
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Edward Teller-bomu la Hydrogen
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Baruch Blumberg-Chanjo ya homa ya ini
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner-makundi ya damu
Rothschild family-benki kimataifa
Sigmund Freud-Saikolojia
Leon Trotsky-Namba 2 mapinduzi ya kijamaa Russia 1917
Noam Chomsky
Selman Abraham Waksman-Antibiotics

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Umemsahau Yuda Eskariote.Ksmq wamgekuwa na akili,wasingemsulubu Yesu,aliyekuja kuwakomboa,na kumuua.
 
Ipo wazi sana kwamba kuwa na akili ni baraka toka kwa Mungu (off course inabidi akili zifanyiwe kazi ili kupata matokeo) hivyo basi sababu ya wao kuwa na akili ni kwa kuwa wamebarikiwa na Mungu.
Ndiyo maana mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea dunian ni King Solomon ambaye alikuwa myahudi
Ndiyo maana wakati Pharao ameota ndoto ambayo waganga na wachawi wa Misri walishindwa kutafsiri myahudi aitwaye Yusuph mwana wa Yakobo alimwambia Pharaoh maana ya ndoto na akamwambia Pharao nini cha kuifanya na akaisaidia kudeal ma njaa ya miaka 7 ambayo likuwa dunia nzima yes dunia nzima. Yusuph ndo mwanzilishi wa Central banks, Pension Funds ni wazo alipewa na Mungu kuisaidia dunia.

Kwa kifupi Mungu amejifunua kupitia wayahudi ili dunia nzima ipate vitu vizuri vya Mungu.
Mansa Musa je?!!!
 
Mkuu huna pdf ya hicho kitabu utupiemo humu na sisi tufaidike?
Hakima faida yoyote,dunia nzima,inategemea Algebra(jina la muislam).Kila ujachokiona kinatokana na IT(information technology)na IT inategemea algebra,bila algebra,dunia ingekuwa gizani.Hao wayahud wangekuwa na akili,wasingemuua Yesu,aliyekuja kuwakomboa.Lakini walimkata,wakampiga,wakamchoma mkuki,wakamtesa,wakamvalisha nepi,wakamsulubu,wakamuua,na mpaka leo wanamuita mtoto wa nje ya ndoa.Wakati Yesu,alikuha kuwakomboa.
 
Thibitisha kuwa Neils Bohr alikuwa ni myahudi...Acha uongo ndugu.
Bila Algebra(muislam huyu),dunia ingekuwa gizani,algebra ndio inatumika katika IT(information technology),na bila IT,dunia ingekuwa gizani.Kila unachokiona kimetengenezwa na binadamu ni kupitia kwa IT,na IT ibatokana na Algebra.
 
Nani alisema wana akili kushinda wengine? Mbona mimi sijawahi kusema hivyo wala sijawahi kusikia ndugu yangu yeyote akisema ulichosema?

Unaposema jamii fulani wana akili sana unamaanisha jamii yako akili hawana ama wanazo kiduchu? Naona bado upo utumwani kifikra.
Mtoa mada katoa na mifano nawe tupe mifano ya watu wenye akili kwenye jamii yako
 
Japan kuna Wayahudi?
Wajapan hawajawa na mchango mkubwa sana kwa maendeleo ya dunia au kufanya vitu vingi muhimu vya kuwagusa watu wengi wa dunia kama Wayahudi, Vitu muhimu vilivyofanywa na watu wenye akili kubwa Japan vimekuwa limited kuwanufaisha kwao Japan zaidi.
 
Wajapan hawajawa na mchango mkubwa sana kwa maendeleo ya dunia au kufanya vitu vingi muhimu vya kuwagusa watu wengi wa dunia kama Wayahudi, Vitu muhimu vilivyofanywa na watu wenye akili kubwa Japan vimekuwa limited kuwanufaisha kwao Japan zaidi.
Bidhaa zote za makampuni ya Kijapani zinazotumiwa dunia nzima haziwanufaishi watu?

Kila siku nawaona viongozi wa Tanzania wakiendeshwa kwenye magari ya Kijapani.

Vivyo hivyo Kenya, Uganda, na kwingineko duniani.

Tanzania magari mengi ni magari ya Kijapani. Hayo siyo manufaa?

Vyombo vya umeme vingi vyenye ubora ni vya Kijapani.

Vyuo vya Kijapani vimewapa na vinawapq taaluma watu wengi wa kutoka kila pembe ya dunia.

Kuna walimu wengi tu wa UDSM ambao wamesoma kwenye vyuo vya Kijapani.

Hayo siyo manufaa?
 
Ushoga upo karibia kila nchi kwa kwa hiyo wanaolalamika basi na walalamikie Tanzania pia lakini kulalamika kwamba ushoga upo Israel pekee au as if chanzo ni wayahudi hizo ni chuki binafsi.

Kuhusu kuwabagua wakristo kwa maana ya kwamba kuna wayahudi wanawabagua wakristo nii sawa kwa sababu haiwezekani wayahudi wote 100% wakaupenda ukristo lakini kuna wayahudi wengi sana wakristo tena walokole. Ila kuna watu wenye chuki zao ambao hueneza propaganda wakimaanisha wayahudi woote wanauchukia ukristo au huo eti ni msimamo wa serikali ya Israel huu ni uwongo.
Ingekuwa wayahudi wengi wanawachukia wakristo kwa jinsi inavyosemwa basi wasingeruhusu wakristo kuingia Israel lakini kila mwaka wakristo kibao wanaenda kutembelea Israel kujifunza, na kufanya maombi.

Nimalizie kwa kusema Tangu taifa la Israel limeana kuasisiwa kumekuwa na chuki kubwa isiyo kifani juu yake ndiyo maana Farao aliwatumikisha vibaya walipokuwa misri pamoja na historia nzuri sana ya myahudi aitwaye Yusufu kuitumikia misri kwa uaminifu mkubwa uliotukuka. Wakiwa wanatoka Misri kwenda Kaanani walipigana vita nyingi sana njiani, kuingia Kaanani kulikuwa kwa vita, walipigwa vita na akina Hamani, walipigwa vita na dola ya rumi, na wakateswa mnooo, waliuwawa wayahudi wengi sana na Hitler, na ndiyo maana wayahudi wengi walipenda kwenda kuishi USA na guess what USA imekuwa taifa kubwa kwa miaka kadhaa kwa sababu ya mchango wao mkubwa sana maana wamebarikiwa na Mungu tokea kwa baba yao Ibrahimu.

Shetani ana hasira kubwa mno na taifa la Israel simply sababu Yesu alizaliwa kutokea kwa wayahudi ambapo amekuwa mwokozi wa ulimwengu na kupitia yeye binadamu amepatana tena na Mungu endapo atamwamwini Mungu na atatubu dhambi, makosa na uovu wake.

Ndiyo maana vita ya mwisho ya duniani ni kati ya mpinga kristo yaani majeshi ya nchi zote na nchi ya Israel. Ashukuriwe Yesu ambaye atashuka kuja kumaliza hiyo vita then atatawala dunia nzima na Yerusalemu yatakuwa makao makuu ya serikali ya Yesu Kristo.
I am sorry To say This But Hii Umeongea Uongo kwa 90%
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Edward Teller-bomu la Hydrogen
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Baruch Blumberg-Chanjo ya homa ya ini
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner-makundi ya damu
Rothschild family-benki kimataifa
Sigmund Freud-Saikolojia
Leon Trotsky-Namba 2 mapinduzi ya kijamaa Russia 1917
Noam Chomsky
Selman Abraham Waksman-Antibiotics

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
WaAfrika sijui ametuloga Nani aisee wazungu kwa propaganda wapo poa Sana aisee
 
Ipo wazi sana kwamba kuwa na akili ni baraka toka kwa Mungu (off course inabidi akili zifanyiwe kazi ili kupata matokeo) hivyo basi sababu ya wao kuwa na akili ni kwa kuwa wamebarikiwa na Mungu.
Ndiyo maana mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea dunian ni King Solomon ambaye alikuwa myahudi
Ndiyo maana wakati Pharao ameota ndoto ambayo waganga na wachawi wa Misri walishindwa kutafsiri myahudi aitwaye Yusuph mwana wa Yakobo alimwambia Pharaoh maana ya ndoto na akamwambia Pharao nini cha kuifanya na akaisaidia kudeal ma njaa ya miaka 7 ambayo likuwa dunia nzima yes dunia nzima. Yusuph ndo mwanzilishi wa Central banks, Pension Funds ni wazo alipewa na Mungu kuisaidia dunia.

Kwa kifupi Mungu amejifunua kupitia wayahudi ili dunia nzima ipate vitu vizuri vya Mungu.
This is mine alienation
 
Bidhaa zote za makampuni ya Kijapani zinazotumiwa dunia nzima haziwanufaishi watu?

Kila siku nawaona viongozi wa Tanzania wakiendeshwa kwenye magari ya Kijapani.

Vivyo hivyo Kenya, Uganda, na kwingineko duniani.

Tanzania magari mengi ni magari ya Kijapani. Hayo siyo manufaa?

Vyombo vya umeme vingi vyenye ubora ni vya Kijapani.

Vyuo vya Kijapani vimewapa na vinawapq taaluma watu wengi wa kutoka kila pembe ya dunia.

Kuna walimu wengi tu wa UDSM ambao wamesoma kwenye vyuo vya Kijapani.

Hayo siyo manufaa?
Utalinganisha vumbuzi(INVENTIONS) za jeans, chanjo, cherehani, drip irrigation, WiFi, silaha, nadharia za ujamaa na hizo biashara za magari ya Wajapan waliyoendeleza hapo juzi kati tu ? Hapo bado sijaongelea arts (walivyoikamata Hollywood), music, media na literature. Bado finance, economics, psychology majina makubwa ya Wayahudi yanatamba. Kazi za Wayahudi ni consequential, tuache utani.
 
I am sorry To say This But Hii Umeongea Uongo kwa 90%
sibishani nawe maana ulichoandika ni matokeo ya fikra duni kupindukia ulizo nazo na ipo wazi sana shetani amepofusha fikra za wengi nawe ukiwa mmojawapo ili nuru ya injili isikuzukie.
Na kama hicho kidogo tu nilichoandika unasema ni uwongo basi u duni mnoooo kwenye uelewa kuhusu Israel.
 
Back
Top Bottom