Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Waacha weee MAASHALLAH

160616163030-03-cnnphotos-queer-and-muslim-tease-only.jpg

gTurn

Nyau de adriz
 
Kila jamii huwa ina uwezo wake wakufikiri kutokana na geography ya eneo husikia.. angali watu wa kaskazini na watu wanaotoka pwani

Angalia nchi zenye baridi maendeleo yao na uje ufanye comparison ya maeneo yenye joto...
Hao Wayahudi aliowataja mwamba hapo, wanaishi/wameishi maeneo tofauti tofauti so mtazamo wako kwa hapa haufanani.
 
Mfano myahudi Yusuph aliweza kudesign mfumo wa kutubza nafaka miaka 7 bila kuoza. Kijana mmoja kule kibbutz akatafiti na kuja na mifuko maalum ya kutunza nafaka kwa muda mrefu leo kazinyake.


Wanafundishwa pesa ni matokeo ya kufaulu. Hivyo moja ya sherehe watoto hupewa fedha kama zawadi ya kufanya vizuri shule. Hii inawakumbusha kuwa Elimu itawapa kipato. Ndio maana wanasoma high income career ili wapate pesa mapema na mitaji ya kufungua vitu.
Yule mmiliki wa Facebook, WhatsApp na Instagram hasomagi kabisa Biblia na haamini kabisa katika Mungu; kwa ufupi jamaa ni Ethiest
Ni kweli, ila zipo kanuni ambazo wote hawaziachi. Mfano kurudisha 10% kwenye charity au kugusa jamii. Wengi wanafanya h8vyo. Mfano mmoja mwenye asili ya uyahudi amewahi kutoa zaidi ya trillion 20 kama charity. Msingi wa hii ni maandiko. Ziko kanuni ambazo zimekuwa embeded kwenye mifumo yao hata wakimuacha Mungu
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner -makundi ya damu

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Hawakoboi Mchele wanakula hivo hvo pia hawamenyi ndizi wanakula na maganda yake wanakula sana uyoga
 
Mkuu

Nilishawahii kufwatilia hili swala

Kuna baadhi ya mambo niliambulia

Kama hawa Wayahudi wameanzaa kusoma kitamboo sana tena sana.

Pili hawa jamaa kwenye utamaduni wao toka enzi makuhani walikuwa wanaoa na kuzalisha wanawakee. ( hapo zamamni kujua kusoma wewe ni genius ukilinganisha na wazungu wao walikataza mapadre kuoa hivyoo vizazi vyao vyenye akili nyingii sana vikiishia chooni na kwenye ndoto nyevu)

Hawa jamaa toka enzi hawali Nguruwe, believe it or not kila nyama unayokula jua unapokea sifa za huyo mnyama kwa namna moja au nyingine wewe na kizazi chako. Ningefafanua zaidi ila naishia hapa.

Kwa kufunga ukiachilia akili ukija kwenye Ukwasi utashanga jinsi vizazi vyao vilivyobarikiwa mpaka kero.

Kwahiyo wachina mnaowasifia kila siku hawana akili maana wao ndo wanaongoka kula mdudu.
 
If that's a mind game, how come hakuna kingdom yeyote duniani amabo walileta mapinduzi kuwazidi? Angalia hata sasa bado wao ndo wanaongoza! With all advancement in technology?

Nakubaliana na Dogon sawa na hio ya kisema ni mental games ila, licha ya yote hawa jamaa wapo vizuri tu. Yawezekana wanatumia power ila kiuhalisia kipindi cha peak yao hawakuwa wao tu walokuwa na nguvu duniani. Huo uvumbuzi ungetokea kwingine pia.

Hao Dogon na Egyptian zimebaki kuwa nadharia with time, na advancement za kipindi Chao was more of a mystery! Au kutumia psychic abilities. Sasa zama zimebadilika intellectual power ndo inaongoza pakubwa.
NIseme Ukweli Nimependa Uwezo wako wa Kujenga hoja..

Japo naomba Kusema kitu..

Walatin walikuwa na Msemo wao Mmoja Huwa naupenda sana..

"Timor confingitur, quamquam periculum vere accidere potest."

Yaani..

"Fear is fabricated, although the danger can truly happen."

Namaanisha kwamba Hukuzaliwa tu ukajua Kuwa nyoka ni kiumbe wa ajabu na unapaswa kumkwepa wakati huo ukajua kuwa mjusi si kiumbe hatari na haupaswi kumkimbia..

Wakati huo ukajua Ng'ombe unapaswa kumfuga na wala hana madhara kwa binadamu na Simba Ama madhara na Huwezi kumchukua Porini ukamuweka Nyumbni umfuge..

Namaanisha nini If you want to bult empire You have to stated with strategies, Plan How you going to Put it together how utaovercome Failure et al..

Did you think Israel ilipoanzishwa mwaka 1947 hawakujua Vyote hivyo?

Napoleon Hills Aliwahi kusema "The Hardest and Dangerous Prisone to escape is in Your Own mind"

Kama Nilivyosema Mwanzoni More than 60% Ya Dunia Hii wote Ni Dini Hizi tatu Christian, Muslim and Judaism..

Na wote hawa Wanawatukuza Wayahudi kama Ni Mitume na Taifa Teule ama lililokuwa Teule..
Ukija kwa Wakristo watakuambia Wayahudi ni Watu wa Mungu..

Sasa Hapo ndo inakuja Dhana ya kuwa Hakuna Gereza walilotuweka ambalo ni gumu kutoka Kama gereza la Imani kwa sababu Mtu yuko tayari kutetea hata afe kwa ajili hiyo..

Vipi kuhusu Vita na wayahudi kushinda kila mara kwani inashindikana Kuwapiga Bomu la Kushtukiza ghafla.... (Inawezekana) sasa Why, Cuz they just fabres things and They want you to beleive that Wayahudi wako powerfull Japani aliwahi kuchapwa Na nyuklia Mpaka leo ana athali ya Hiroshima..

So Hata Palestina na Israel those are just Message they want you to see that They are powerfull wakati Huenda Si kweli..

Ukitaka Kujua Israel is not israel as We think Just angalia Utetezi wanaopata kwa Nchi kwenye vikao vya UN..
Kuna Vitu hupandikizwa Vichwani vyetu ambavyo Unaweza ukajiuliza kwanini Tunaambiwa au tunaonheshwa hivyo..

Mwaka 1996 Kulifanyika Peer Traditional Experiments iliyohusisha nyani (Nitakuwekea hapo chini Kwa ajili ya kuweka Records Sawa) na mwaka 2008 kulifanyika pia experiments hiyo hiyo ila ilikuwa ya watu japo.ilikuwa Kwenye sense tofaufyi nikipata nitakuwekea pia..

Hii Ndo experiments


So Kitu kitakachotusaidia ni Only kuchange mindsets Yetu kuweka akili zetu sawa na Ku"Unlearn kila kitu walichotupandikiza na kutufundisha Hiyo ndo njia sahihi ya Kuchomoka""

This was All a mind sets Games to us
 
Ipo wazi sana kwamba kuwa na akili ni baraka toka kwa Mungu (off course inabidi akili zifanyiwe kazi ili kupata matokeo) hivyo basi sababu ya wao kuwa na akili ni kwa kuwa wamebarikiwa na Mungu.
Ndiyo maana mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea dunian ni King Solomon ambaye alikuwa myahudi
Ndiyo maana wakati Pharao ameota ndoto ambayo waganga na wachawi wa Misri walishindwa kutafsiri myahudi aitwaye Yusuph mwana wa Yakobo alimwambia Pharaoh maana ya ndoto na akamwambia Pharao nini cha kuifanya na akaisaidia kudeal ma njaa ya miaka 7 ambayo likuwa dunia nzima yes dunia nzima. Yusuph ndo mwanzilishi wa Central banks, Pension Funds ni wazo alipewa na Mungu kuisaidia dunia.

Kwa kifupi Mungu amejifunua kupitia wayahudi ili dunia nzima ipate vitu vizuri vya Mungu.
Ni Taifa lililobarikiwa
 
Back
Top Bottom