BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Kwa Tanzania Huwezi kunyongwa, hatufuati Sharia LawUkafanye ushoga wako umejificha sheria ya Uislam unanyongwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Tanzania Huwezi kunyongwa, hatufuati Sharia LawUkafanye ushoga wako umejificha sheria ya Uislam unanyongwa.
Ivi macho yao unadhani ya kawaidaWachina wana kula nguruwe sana tu
Ahahahahaha!!!Tena inapiga ile nyimbo ya 'Nionyeshe ugai gai utaahira'😃
Biblia ya agano la kale wanaotumia wayahudi ndo hio hio wanaotumia wakristoAcha kudinganya wao wanaamini katika mungu mmoja ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa, wewe unaamini miungu mitatu na mungu wako wewe ni yesu ambao wao hawamuamini na walimsulubu
Haya je mungu wa wayahudi ni yesu kama wakristo???Biblia ya agano la kale wanaotumia wayahudi ndo hio hio wanaotumia wakristo
Biblia yote inaelezea historia ya wayahudi kwa hiyo acha uongo
Yesu anazaliwa anakuta biblia tayari ipo na inatumiwa na mafirisayo ambayo ni wayahudi
Mungu agano la kale aliwa-ahidi atakuja mesihaHaya je mungu wa wayahudi ni yesu kama wakristo???
Jambo analofanya myahudi akija kufanya mwingine vilevile ila myahudi ataonekana super intelligent kuliko huyo mwingine japo linaweza kua the same ni suala la branding, huko ugirki kulikua na wanasayansi mahili mno na wamefanya vizuri tu ila huwezi kusikia akifanya myahudi kelele ulimwengu mzimaNitajie watu watatu tu wa jamii yako wenye mchango mkubwa katika sayansi, fedha, uchumi, kilimo au sanaa hapa duniani.
Sema ukweli Prince; hujajibu swali la mleta uzi. Hajasema kwamba Wayahudi wote wana akili but just imagine 22% (according to mleta uzi )ya waliobeba tuzo za Nobel ni Jews. Hilo la mashoba, bongo, Ulaya na Uarabuni wapo, tena nchi za Kiarabu ndio balaa na nusu. Jilite kwenye maadaunakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
The last paragraph ina make senseMungu agano la kale aliwa-ahidi atakuja mesiha
Tofauti ni kwamba wayahudi wana-amini Yesu bado ajaja ila atakuja na wakristo wanaamini Yesu ameshakuja tayari ila atakuja mara ya pili
Hizo ndo tofauti za kimapokeo ila biblia ni ile ile sema kila mtu anatafsiri na mapokeo yake
Nakitu ambacho wengi hamjui ni kwamba Mungu anawasaidia sana wayahudi ni kwa sababu aliingia maagano na kina ibrahimu, isaka yakobo, na daudi lakin ni watu ambao wenye mioyo migomo na wanamchikiza sana
Kila jamii huwa ina uwezo wake wakufikiri kutokana na geography ya eneo husikia.. angali watu wa kaskazini na watu wanaotoka pwaniNi ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,
Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner -makundi ya damu
Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.
Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Ila wabongo😂😂Akili ya mtoto wa Kiisraeli inaandaliwa toka utungaji wa mimba hadi anamaliza chuo. Ulale na mkeo huku muziki wa Dullah Makabila unaimba tena kwa sauti ya juu ili majirani wasisikie kinachoendelea halafu mtoto atakayezaliwa agundue "Twitter"? Thubutu!!!
Yule mmiliki wa Facebook, WhatsApp na Instagram hasomagi kabisa Biblia na haamini kabisa katika Mungu; kwa ufupi jamaa ni EthiestSiri ya akili za wayahudi ni Tanakh au kudecode kanuni na siri za maisha zinazofundishwa katika biblia.
Soma kitabu kinaitwa Unlocking Jewish code.
If that's a mind game, how come hakuna kingdom yeyote duniani amabo walileta mapinduzi kuwazidi? Angalia hata sasa bado wao ndo wanaongoza! With all advancement in technology?Hahaha 🤣🤣
Mkuu kuhusu Wayahudi Hakuna historic Facts Ni kwamba Wao wametuzidi Akili na ndo wanaotawala Dunia yote Kiakili,Kijeshi na Hata Kimtazamo..
Wameweza kututawala Mpaka Kifikra na Kuingiza Historia yao kwenye Kila Mtu Duniani..
Kwenye watu Bilion 8 Duniani Watu Bilion 3 karibia na Nne ni Wakristo na Watu Bilion 2 Ni Waislamu na watu Karibia Bilion 1 Ni wayahudi wote hawa wanatukuza Historia ya Wayahudi na Kusifu miungu ya wayahudi...
Hii inafnya Watu Bilion 6 au Bilion 5 kati ya Bilion 8 Kuwa wafuasi wa Wayahudi bila Kujua..
Je Tumewahi kujiuliza kwanini wanatawala kwa sababu wakristo wanaamini wao wamebarikiwa, Na waislam wanaamini Pia kuwa Wayahudi walikuwa Taifa la Mungu..
Je ipi siku ambayo Sisi kama Binadamu tutakuwa Juu ya wayahudi?
Ni siku ambayo tutaacha kuwaweka juu kuliko Sisi..
"Cognitive Distortions" au Inferiority complex tuliyonayo bado Sana kuwazidi wayahudi..
Kuna kipindi Watu walikuwa wanaamini Mw alimu wa Shule hakosei na anajua kila kitu miaka ya 80 na 90 hiyo Until watu walipokuja kujua ni mtu wa kawaida na Huenda Ni mtu aliyefail matokeo yake Darasani..
Baada ya Jamii kumdunisha Mwalimu ilionekana mtu akisoma Ualimu ni mtu Duni katika jamii (Japo sikubaliani na Hoja hiyo)
Ni hivyo hivyo zamani watu waliamini Askofu au Padre hakosei hivyo ukisikia kakosea utapinga hata kupigana ukimtetea..
Sasa Tumeaminishwa na wayahudi kuwa wana akili kuliko wengine je hiyo dhana ni ya kweli??
Naongea mengi But huu Mfano wa Mwisho.
Umewahi kusikia Chochote kuhusu Dogon of Mali wale waliokuwa Mamajusi wa kutumia Nyota kuliko Watu wote Dunia Nzima ila ghafla utaambiwa Mamajuzi imeanza Mashariki ya Mbali..
Na mifano mingi inayofanana na hayo kwa sababu lengo ni kutengeneza Uoga, Inferior Thinking kwamba Huwezi kuliko mimi (Its a Mind game) ili ujione wao ndo wanaweza kuliko Sisi..
Na hili kufanikisha hilo Walizuia Vyuo vyao Vyote miaka hiyo Kuweka Watu wengine isipokuwa wao tu..
Lengo ni kufanya wao waone ni bora kuliko wengine na sisi na watoto wetu tujione hatuna ubora..
But Trust me Hata tuzo za Nobel na Tuzo zingine miaka hiyo ilitolewa kwa kuangalia Impacts ya Baadaye..
Kila Idara nyeti Myahudi kashika mpaka Freemason na Illuminati ilianzishwa na Myahudi...
Bila Kusahau hata Dhehebu la Shia Waislm lilianzishwa na Myahudi..
So ndo lengo lao hilo kucreate Internal Confusion among us And so tuwaone wao ni Bora kuliko yoyote..
I rest my case (BUT THATS THE TRUTHS) Its a Mind Game rather than Intelligence Game
Ume prove vipi kuwa hao ni wayahudi!!?Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,
Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner -makundi ya damu
Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.
Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,
Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner -makundi ya damu
Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.
Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Kule Zanzibar Kuna jamaa wa kuitwa Mauzinde anakiwakilisha vyema kisiwaHivi kumbe hakuna waislamu mashoga? Ndio nimejua Leo hii NI mpya
Tanzania tumebarikiwa wengi.vilaza.