Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Kwani hukuwahi kusikia binadamu wote ni sawa?

Kuwa na watu wenye mawazo kama yako ni hasara kubwa na hasa wasipokuwa CCM!
Usilete porojo zako hapa,
Wewe na jamii yako mmechangia nini katika maendeleo ya maisha ya binadamu??
Facts don't care about your feelings.
 
Twende taratibu ,
wakristo wanamuona yesu ni mungu kweli si kweli?
Wayahaudi wanaamini mungu mmoja na yesu sio mungu ,kweli si kweli?
Wayahudi wanaamini kitabu ya torati, na wakristo biblia, kweli si kweli?
Wayahudi wanakula halaal food na nguruwe kwao ni haram ,kweli si kweli?
Sasa jijibu mwenyewe na angalia wakristo na wayahudi walivyokuwa tofauti kama mbingu ma ardhi
Shida sio Yesu au wakristo kumuamini Yesu. Hata babu zao Yesu alipowafunulia maandiko yanayomuelezea walimpinga.

Ishu ni kqnuni zinazoqafanya wafanikiwe ziko katika kitu cha biblia agano la kale ambacho wakristo pia wanaviamini na kwa wayahudi wanaviamini wanaviita Tanaqah ( Torah, mqnabii na wazee) hasa Mithali na Torati.

Usitoke sana kwenye msingi wa mada. Hoja yangu sio Yesu ni nani ila maandiko ambayo yanamuelezea Yesu ndio hayohay9 yana kanuni wanazotumia wayahudi kufananikiwa. Hasa kupitia vitabu vyao vinavyofafanua hiyo Tanakah
 
Haha Kuna msemo unasema ujanja kuwahi,
Wayahudi Wana umoja wa kufundishana elimu za siri (sihri) wao Kwa wao TU,

Na mafanikio Yako sirini
Nakubaliana Na wewe Kabisa Hata ukiataka Kuwa Myahudi inakupasa Kukaa Mwaka mmoja au zaidi kupata Imani yao (Kugain Trust) Japo hutapata Full trust ila lazma uingie darasani Usome Upate trust then Uchunguzwe Mwishi ndo uwe myahudi..

Naelewa kwa sababu I was Once A Judaism so i know the strugle
 
Shida sio Yesu au wakristo kumuamini Yesu. Hata babu zao Yesu alipowafunulia maandiko yanayomuelezea walimpinga.

Ishu ni kqnuni zinazoqafanya wafanikiwe ziko katika kitu cha biblia agano la kale ambacho wakristo pia wanaviamini na kwa wayahudi wanaviamini wanaviita Tanaqah ( Torah, mqnabii na wazee) hasa Mithali na Torati.

Usitoke sana kwenye msingi wa mada. Hoja yangu sio Yesu ni nani ila maandiko ambayo yanamuelezea Yesu ndio hayohay9 yana kanuni wanazotumia wayahudi kufananikiwa. Hasa kupitia vitabu vyao vinavyofafanua hiyo Tanakah
EWaaa sasa kwa maneno yako tunakubaliana kwamba wayahudi ni wapinga kristo?
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Hao wana advantage ya kuwa wameishi kwenye nchi nyingi sana duniani. So kila waliko wanajitahidi kufanikiwa. Wangekuwa na akili kuzidi binadamu wengine basi wale Wayahudi walioko Israel kwenyewe ndiyo wangekuwa majority ya wanaoshinda hizo tuzo au ndiyo wangeongoza kwa uvumbuzi.

Ila angalia wanaopata tuzo au wavumbuzi wa kiyahudi wanatoka nchi tofauti tofauti. Na Israel kwenyewe hakuna pattern ya wao kuwa wavumbuzi sana kuliko labda Wakorea, Wajapan au Wahindi.
 
Nakubaliana Na wewe Kabisa Hata ukiataka Kuwa Myahudi inakupasa Kukaa Mwaka mmoja au zaidi kupata Imani yao (Kugain Trust) Japo hutapata Full trust ila lazma uingie darasani Usome Upate trust then Uchunguzwe Mwishi ndo uwe myahudi..

Naelewa kwa sababu I was Once A Judaism so i know the strugle
So uli practice kidogo kaabala, Mambo yalikuaje😎
 
Hadi leo hujui kwamba jews hawatumii na hawaamini katika biblia wala ukristo ambao hawautaki hata kuusikia?
Agano la kale lote lile ni dini ya kiyahudi.. Wanamuabudu Yehova. Wakristo na Wayahudi wanaanza kutemana kwenye Mathayo (Agano jipya)... Tatizo msiojua Ukristo mnafikiri Biblia ni kitabu kimoja
 
Hao wana advantage ya kuwa wameishi kwenye nchi nyingi sana duniani. So kila waliko wanajitahidi kufanikiwa. Wangekuwa na akili kuzidi binadamu wengine basi wale Wayahudi walioko Israel kwenyewe ndiyo wangekuwa majority ya wanaoshinda hizo tuzo au ndiyo wangeongoza kwa uvumbuzi.

Ila angalia wanaopata tuzo au wavumbuzi wa kiyahudi wanatoka nchi tofauti tofauti. Na Israel kwenyewe hakuna pattern ya wao kuwa wavumbuzi sana kuliko labda Wakorea, Wajapan au Wahindi.
Israel kama taifa mpaka sasa ina washindi 13 wa Tuzo ya Nobel, ndilo taifa dogo lenye washindi wengi zaidi, pia ndilo taifa changa lenye washindi wengi zaidi wa Nobel.
 
So uli practice kidogo kaabala, Mambo yalikuaje😎
Hahaha Wayahudi wako Mbali sana Linapokuja Swala la Esoteric Wisdom/Knowledge..

Wako Very deep In Symblism wako very Deep in Codes And Language even Tafsiri ya Kila Herufi kwenye maandishi yao wanaweza kukupa Kipindi nasoma Torah Nilijiona Bwege sana na Theology yangu Kufundishwa Vitu vipya Vyote Na Vimebase On Number and Codes All the TANAKH..

Wayahudi wanaheshimu Numerology kuliko yoyote wao wanaotwa Gematria ni kwamba Mnavyoelewa Bublia Nyinyi wanavyoelewa wao ni viti viwili Tofauti kabisa..

Unaweza ukajiona Mpumbavu maisha yako yote kwa Kudanganywa....

Kuhusu Exoteric wametuachia Sisi Tuendelee Kuumizana Akili Na Kupigana kuhusu Yesu na Mtume
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Propaganda za kuwakuza wayahudi zipo nyingi..

..hapo umemaanisha 'wayahudi' kama dini au kama 'jamii' Fulani?

zitto junior Mathanzua
 
EWaaa sasa kwa maneno yako tunakubaliana kwamba wayahudi ni wapinga kristo?
Hili liko wazi. Wanapinga. Ila mada inataka kujua kwa nini wanafanikiwa.

Moja ya sababu kwa upa de wangu ni kanuni ambazo wamezientewoven kwenye tamaduni zao ambazo zimewafanya wafanikiwe. Kanuni hizi zinapatikana sana kwenye torati na Mithali. Ndio maana hata kauli mbiu ya Mossad ni mstari unaopatikana katika kitabu cha mithali.

Nikupe mfano mmoja.
Wanaamini anayetakiwa kufanya kila kitu alikuwa ni adamu peke yake maana hakuwa na watu wa kumsaidia. Ila sasa hivi kuna watu wengi wewe unaweza kuwa na idea utakusanya IT, Maengineer, na wahusik Idea inKuwa kitu halisi unapiga pesa.

Msome Rabbi Lapin au sikiliza interview zake youtube. Anachambua kanuni za OT zinavyoweza kukutoa kiuchumi
 
Israel kama taifa mpaka sasa ina washindi 13 wa Tuzo ya Nobel, ndilo taifa dogo lenye washindi wengi zaidi, pia ndilo taifa changa lenye washindi wengi zaidi wa Nobel.
Kwani hiyo Nobel imeanza lini hadi useme ni Israel taifa dogo/changa? Uchanga wake unaupimaje? Wenyewe wanasema wana miaka zaidi ya 3,000

Sasa nikujulishe tu Austria ni ndogo kuliko Israel kwa population na pia wao ni taifa changa kama unataka hicho kigezo ila inao washindi 25, Demark ni ndogo unao 14, Hungary hivyo hivyo inao 17.

Hakuna kitu special hapo Uyahudini
 
Agano la kale lote lile ni dini ya kiyahudi.. Wanamuabudu Yehova. Wakristo na Wayahudi wanaanza kutemana kwenye Mathayo (Agano jipya)... Tatizo msiojua Ukristo mnafikiri Biblia ni kitabu kimoja
KWa hiyo mungu wa wayahudi na wa wakristo ni tofauti au siyo?
 
Back
Top Bottom