Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

1002311210.jpg
 
Mkuu

Nilishawahii kufwatilia hili swala

Kuna baadhi ya mambo niliambulia

Kama hawa Wayahudi wameanzaa kusoma kitamboo sana tena sana.

Pili hawa jamaa kwenye utamaduni wao toka enzi makuhani walikuwa wanaoa na kuzalisha wanawakee. ( hapo zamamni kujua kusoma wewe ni genius ukilinganisha na wazungu wao walikataza mapadre kuoa hivyoo vizazi vyao vyenye akili nyingii sana vikiishia chooni na kwenye ndoto nyevu)

Hawa jamaa toka enzi hawali Nguruwe, believe it or not kila nyama unayokula jua unapokea sifa za huyo mnyama kwa namna moja au nyingine wewe na kizazi chako. Ningefafanua zaidi ila naishia hapa.

Kwa kufunga ukiachilia akili ukija kwenye Ukwasi utashanga jinsi vizazi vyao vilivyobarikiwa mpaka kero.
Wachina wana kula nguruwe sana tu
 
Hahaha 🤣🤣

Mkuu kuhusu Wayahudi Hakuna historic Facts Ni kwamba Wao wametuzidi Akili na ndo wanaotawala Dunia yote Kiakili,Kijeshi na Hata Kimtazamo..

Wameweza kututawala Mpaka Kifikra na Kuingiza Historia yao kwenye Kila Mtu Duniani..

Kwenye watu Bilion 8 Duniani Watu Bilion 3 karibia na Nne ni Wakristo na Watu Bilion 2 Ni Waislamu na watu Karibia Bilion 1 Ni wayahudi wote hawa wanatukuza Historia ya Wayahudi na Kusifu miungu ya wayahudi...

Hii inafnya Watu Bilion 6 au Bilion 5 kati ya Bilion 8 Kuwa wafuasi wa Wayahudi bila Kujua..

Je Tumewahi kujiuliza kwanini wanatawala kwa sababu wakristo wanaamini wao wamebarikiwa, Na waislam wanaamini Pia kuwa Wayahudi walikuwa Taifa la Mungu..

Je ipi siku ambayo Sisi kama Binadamu tutakuwa Juu ya wayahudi?

Ni siku ambayo tutaacha kuwaweka juu kuliko Sisi..
"Cognitive Distortions" au Inferiority complex tuliyonayo bado Sana kuwazidi wayahudi..

Kuna kipindi Watu walikuwa wanaamini Mw alimu wa Shule hakosei na anajua kila kitu miaka ya 80 na 90 hiyo Until watu walipokuja kujua ni mtu wa kawaida na Huenda Ni mtu aliyefail matokeo yake Darasani..

Baada ya Jamii kumdunisha Mwalimu ilionekana mtu akisoma Ualimu ni mtu Duni katika jamii (Japo sikubaliani na Hoja hiyo)

Ni hivyo hivyo zamani watu waliamini Askofu au Padre hakosei hivyo ukisikia kakosea utapinga hata kupigana ukimtetea..

Sasa Tumeaminishwa na wayahudi kuwa wana akili kuliko wengine je hiyo dhana ni ya kweli??

Naongea mengi But huu Mfano wa Mwisho.

Umewahi kusikia Chochote kuhusu Dogon of Mali wale waliokuwa Mamajusi wa kutumia Nyota kuliko Watu wote Dunia Nzima ila ghafla utaambiwa Mamajuzi imeanza Mashariki ya Mbali..
Na mifano mingi inayofanana na hayo kwa sababu lengo ni kutengeneza Uoga, Inferior Thinking kwamba Huwezi kuliko mimi (Its a Mind game) ili ujione wao ndo wanaweza kuliko Sisi..
Na hili kufanikisha hilo Walizuia Vyuo vyao Vyote miaka hiyo Kuweka Watu wengine isipokuwa wao tu..

Lengo ni kufanya wao waone ni bora kuliko wengine na sisi na watoto wetu tujione hatuna ubora..

But Trust me Hata tuzo za Nobel na Tuzo zingine miaka hiyo ilitolewa kwa kuangalia Impacts ya Baadaye..

Kila Idara nyeti Myahudi kashika mpaka Freemason na Illuminati ilianzishwa na Myahudi...
Bila Kusahau hata Dhehebu la Shia Waislm lilianzishwa na Myahudi..

So ndo lengo lao hilo kucreate Internal Confusion among us And so tuwaone wao ni Bora kuliko yoyote..

I rest my case (BUT THATS THE TRUTHS) Its a Mind Game rather than Intelligence Game
Haha Kuna msemo unasema ujanja kuwahi,
Wayahudi Wana umoja wa kufundishana elimu za siri (sihri) wao Kwa wao TU,

Na mafanikio Yako sirini
 
Eistein aliwahi kutam
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Ka yeye mwenyewe binafsi kuwa ta gu Ulimwengu uumbwe, yeye ni mtu wa pili kwa akili baada ya Sir Isack Newton, LAKINI baada ya miaka 10 baadaye, timu ya wanasayansi maarufu Duniani, hawakukubakaiana naye. Wao walisema kuwa tangu Ulimwengu uwepo, Eistein ni mtu wa kwanza kwa akili. Na Sir Isack Newton ni wa pili.
 
Mkuu

Nilishawahii kufwatilia hili swala

Kuna baadhi ya mambo niliambulia

Kama hawa Wayahudi wameanzaa kusoma kitamboo sana tena sana.

Pili hawa jamaa kwenye utamaduni wao toka enzi makuhani walikuwa wanaoa na kuzalisha wanawakee. ( hapo zamamni kujua kusoma wewe ni genius ukilinganisha na wazungu wao walikataza mapadre kuoa hivyoo vizazi vyao vyenye akili nyingii sana vikiishia chooni na kwenye ndoto nyevu)

Hawa jamaa toka enzi hawali Nguruwe, believe it or not kila nyama unayokula jua unapokea sifa za huyo mnyama kwa namna moja au nyingine wewe na kizazi chako. Ningefafanua zaidi ila naishia hapa.

Kwa kufunga ukiachilia akili ukija kwenye Ukwasi utashanga jinsi vizazi vyao vilivyobarikiwa mpaka kero.
Haha mkuu,
Ukifuatilia history ya kale utangundua wayahudi na Arab waliokuwa ni Wala nguruwe wakubwa sana, .

Sema during civilization na muingiliano ya jamii mbalimbali palizuka magonjwa mengi sana yakauwa jamii hizi za watu, .

Ndio wakamua kuachana na kula baadhi ya wanyama ambao wanashabisha magonjwa kama nguruwe,

Siuna waona wamaasai wao ni ngombe TU, hata ngiri hawataki kumgusa, wanahifia maradhi ya wanyama
 
Wayahudi wanaamini biblia bna usidanganye.Kuanzia kitabu cha mwanzo hadi Malaki hiyo wanaamini na kuvifuata pasi na kuacha hata nukta moja.Wao hawaamini injili tu.
Wayahudi wanaamini torati tu, na hata mungu wao sio yesu kama wakristo ,hata chakula chao wanakula halaal food kama waislamu ,wao wanaita kosher, na kwao nguruwr ni haram
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Uyahudi ni Imani,huwezi kuwa na akili kwa kuwa mfuasi wa Imani Fulani au kutoka kabila Fulani,wayahudi wengi kiasili ni waturuki,wanasayansi wa kale na watu walioweka msingi wa elimu tuijuayi Leo hawakuwa wayahudi
 
Niliwahi kuambiwa kuwa wakati Wayahudi wakifanya gunduzi nyingi mbalimbali za Kisayansi na tekinolojia, kuna jamii fulani, kikubwa kabisa walichowahi kugundua ni biashara ya utumwa. Biashara ya kuwauza watu wenye ngozi nyeusi. Baada ya hiyo biashara kufutwa Duniani, sasa hivi wamegundua biashara ya kuuza viungo vya binadamu weusi, kama figo, moyo na ini. Wanawadanganya hao watu weusi kuwa kuna kazi. Hao watu weusi wakifika huko wanakaa na kufanya kazi ndogo ndogo, wanalishwa na kulala bure, huku wakipewa pesa ndogo ndogo ya kutuma nyumbani, wakiambiwa pesa yao ya mshahara watalipwa yote siku wanarudi nyumbani. Wanaishi bila ya kutambua kuwa hapo ni duka la viungo vya binadamu, na wao ndiyo bidhaa yenyewe. Akipatikana tu mteja, mmoja wa hawa watu weusi atapewa kitu cha kumfanya baadaye ajisikie kuumwa. Akisema tu anajisikia kuumwa, wenyeji wake wanajifanya watu wema sana, wanamchukua na kumfikisha hospitali kubwa ya kifahari, anapewa dawa, analala usingizi, wanatoa kiungo wanachokitaka, ndugu wanataarifiwa kuwa kijana wao amefariki akiwa anapokea matibabu. Ndugu wanapewa pesa nzuri kama pole. Kumbe ni asilimia ndogo sana ya aliyoipata kwenye mauzo. Unaambiwa bei ya figo moja ni kati ya dola 250,000 na 350,000. Kwa hiyo ndugu hata wakipewa pole ya dola 5,000 (TZS 12m), watabaki wanasifia wema wa waajiri wa ndugu yao aliyepotezewa uhai bila ya kujua ndugu yao amefanyiwa ushetani!!
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!

Kwani hukuwahi kusikia binadamu wote ni sawa?

Kuwa na watu wenye mawazo kama yako ni hasara kubwa na hasa wasipokuwa CCM!
 
Hujajibu ulichoquote. Umejibu hisia zako juu ya ninachoamini.
Twende taratibu ,
wakristo wanamuona yesu ni mungu kweli si kweli?
Wayahaudi wanaamini mungu mmoja na yesu sio mungu ,kweli si kweli?
Wayahudi wanaamini kitabu ya torati, na wakristo biblia, kweli si kweli?
Wayahudi wanakula halaal food na nguruwe kwao ni haram ,kweli si kweli?
Sasa jijibu mwenyewe na angalia wakristo na wayahudi walivyokuwa tofauti kama mbingu ma ardhi
 
Niliwahi kuambiwa kuwa wakati Wayahudi wakifanya gunduzi nyingi mbalimbali za Kisayansi na tekinolojia, kuna jamii fulani, kikubwa kabisa walichowahi kugundua ni biashara ya utumwa. Biashara ya kuwauza watu wenye ngozi nyeusi. Baada ya hiyo biashara kufutwa Duniani, sasa hivi wamegundua biashara ya kuuza viungo vya binadamu weusi, kama figo, moyo na ini. Wanawadanganya hao watu weusi kuwa kuna kazi. Hao watu weusi wakifika huko wanakaa na kufanya kazi ndogo ndogo, wanalishwa na kulala bure, huku wakipewa pesa ndogo ndogo ya kutuma nyumbani, wakiambiwa pesa yao ya mshahara watalipwa yote siku wanarudi nyumbani. Wanaishi bila ya kutambua kuwa hapo ni duka la viungo vya binadamu, na wao ndiyo bidhaa yenyewe. Akipatikana tu mteja, mmoja wa hawa watu weusi atapewa kitu cha kumfanya baadaye ajisikie kuumwa. Akisema tu anajisikia kuumwa, wenyeji wake wanajifanya watu wema sana, wanamchukua na kumfikisha hospitali kubwa ya kifahari, anapewa dawa, analala usingizi, wanatoa kiungo wanachokitaka, ndugu wanataarifiwa kuwa kijana wao amefariki akiwa anapokea matibabu. Ndugu wanapewa pesa nzuri kama pole. Kumbe ni asilimia ndogo sana ya aliyoipata kwenye mauzo. Unaambiwa bei ya figo moja ni kati ya dola 250,000 na 350,000. Kwa hiyo ndugu hata wakipewa pole ya dola 5,000 (TZS 12m), watabaki wanasifia wema wa waajiri wa ndugu yao aliyepotezewa uhai bila ya kujua ndugu yao amefanyiwa ushetani!!

Mawazo duni kama haya yabakie CCM huko huko.

Mawazo duni kama haya ni laana!
 
Mbona mashoga waislamu wapo wengi sana hapa bongo na zenji na ndio wanaoongoza?!
Je, hio na tafsiri uislamu ni ushoga?
Kwa Tanzania, ushoga umeshamiri maeneo ya pwani na visiwani. Na haya maeneo inajulikana ni jamii gani inaishi.

Hata Kenya ushoga umeshamiri Mombasa. Inajulikana ni watu gani ni wakazi asilia wa Mombasa.

Pale Morogoro, wakati wa mfungo wa ramadhani, wachomaji wa kitimoto huwa wanalalamika sana. Utawasikia wanasema, sasa hivi biashara ni mbaya kwa sababu ya ramadhani! Yaani ina maana wateja wakubwa ni hao wanaofunga ramadhani kuliko sisi wengine?
 
Akili ya mtoto wa Kiisraeli inaandaliwa toka utungaji wa mimba hadi anamaliza chuo. Ulale na mkeo huku muziki wa Dullah Makabila unaimba tena kwa sauti ya juu ili majirani wasisikie kinachoendelea halafu mtoto atakayezaliwa agundue "Twitter"? Thubutu!!!
Tena inapiga ile nyimbo ya 'Nionyeshe ugai gai utaahira'😃
 
Back
Top Bottom