Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Thibitisha kuwa Neils Bohr alikuwa ni myahudi...Acha uongo ndugu.
 
Nani alisema wana akili kushinda wengine? Mbona mimi sijawahi kusema hivyo wala sijawahi kusikia ndugu yangu yeyote akisema ulichosema?

Unaposema jamii fulani wana akili sana unamaanisha jamii yako akili hawana ama wanazo kiduchu? Naona bado upo utumwani kifikra.
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein,
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Ipo wazi sana kwamba kuwa na akili ni baraka toka kwa Mungu (off course inabidi akili zifanyiwe kazi ili kupata matokeo) hivyo basi sababu ya wao kuwa na akili ni kwa kuwa wamebarikiwa na Mungu.
Ndiyo maana mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea dunian ni King Solomon ambaye alikuwa myahudi
Ndiyo maana wakati Pharao ameota ndoto ambayo waganga na wachawi wa Misri walishindwa kutafsiri myahudi aitwaye Yusuph mwana wa Yakobo alimwambia Pharaoh maana ya ndoto na akamwambia Pharao nini cha kuifanya na akaisaidia kudeal ma njaa ya miaka 7 ambayo likuwa dunia nzima yes dunia nzima. Yusuph ndo mwanzilishi wa Central banks, Pension Funds ni wazo alipewa na Mungu kuisaidia dunia.

Kwa kifupi Mungu amejifunua kupitia wayahudi ili dunia nzima ipate vitu vizuri vya Mungu.
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Hicho ndio kipimo cha wenye akili kweli?? au ni mtazamo wako tu
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!

ngoja na mimi ni add mkuu
  1. Albert Einstein: Renowned physicist known for the theory of relativity.
  2. Richard Feynman: Influential physicist known for his work in quantum mechanics.
  3. Niels Bohr: Physicist who made foundational contributions to understanding atomic structure and quantum theory.
  4. Jon von Neumann: Mathematician and polymath who made major contributions to many fields, including computer science.
  5. Noam Chomsky: Linguist, philosopher, cognitive scientist, and social critic.
  6. Robert Oppenheimer: Theoretical physicist and scientific director of the Manhattan Project.
  7. Daniel Kahneman: Psychologist and Nobel laureate known for his work on the psychology of judgment and decision-making.
 
Mkuu

Nilishawahii kufwatilia hili swala

Kuna baadhi ya mambo niliambulia

Kama hawa Wayahudi wameanzaa kusoma kitamboo sana tena sana.

Pili hawa jamaa kwenye utamaduni wao toka enzi makuhani walikuwa wanaoa na kuzalisha wanawakee. ( hapo zamamni kujua kusoma wewe ni genius ukilinganisha na wazungu wao walikataza mapadre kuoa hivyoo vizazi vyao vyenye akili nyingii sana vikiishia chooni na kwenye ndoto nyevu)

Hawa jamaa toka enzi hawali Nguruwe, believe it or not kila nyama unayokula jua unapokea sifa za huyo mnyama kwa namna moja au nyingine wewe na kizazi chako. Ningefafanua zaidi ila naishia hapa.

Kwa kufunga ukiachilia akili ukija kwenye Ukwasi utashanga jinsi vizazi vyao vilivyobarikiwa mpaka kero.
 
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Screenshot_20241025_121010_Instagram.jpg
 
Mkuu una DR Mambo Jambo , kama una Muda,
Waletee history facty
Hahaha 🤣🤣

Mkuu kuhusu Wayahudi Hakuna historic Facts Ni kwamba Wao wametuzidi Akili na ndo wanaotawala Dunia yote Kiakili,Kijeshi na Hata Kimtazamo..

Wameweza kututawala Mpaka Kifikra na Kuingiza Historia yao kwenye Kila Mtu Duniani..

Kwenye watu Bilion 8 Duniani Watu Bilion 3 karibia na Nne ni Wakristo na Watu Bilion 2 Ni Waislamu na watu Karibia Bilion 1 Ni wayahudi wote hawa wanatukuza Historia ya Wayahudi na Kusifu miungu ya wayahudi...

Hii inafnya Watu Bilion 6 au Bilion 5 kati ya Bilion 8 Kuwa wafuasi wa Wayahudi bila Kujua..

Je Tumewahi kujiuliza kwanini wanatawala kwa sababu wakristo wanaamini wao wamebarikiwa, Na waislam wanaamini Pia kuwa Wayahudi walikuwa Taifa la Mungu..

Je ipi siku ambayo Sisi kama Binadamu tutakuwa Juu ya wayahudi?

Ni siku ambayo tutaacha kuwaweka juu kuliko Sisi..
"Cognitive Distortions" au Inferiority complex tuliyonayo bado Sana kuwazidi wayahudi..

Kuna kipindi Watu walikuwa wanaamini Mw alimu wa Shule hakosei na anajua kila kitu miaka ya 80 na 90 hiyo Until watu walipokuja kujua ni mtu wa kawaida na Huenda Ni mtu aliyefail matokeo yake Darasani..

Baada ya Jamii kumdunisha Mwalimu ilionekana mtu akisoma Ualimu ni mtu Duni katika jamii (Japo sikubaliani na Hoja hiyo)

Ni hivyo hivyo zamani watu waliamini Askofu au Padre hakosei hivyo ukisikia kakosea utapinga hata kupigana ukimtetea..

Sasa Tumeaminishwa na wayahudi kuwa wana akili kuliko wengine je hiyo dhana ni ya kweli??

Naongea mengi But huu Mfano wa Mwisho.

Umewahi kusikia Chochote kuhusu Dogon of Mali wale waliokuwa Mamajusi wa kutumia Nyota kuliko Watu wote Dunia Nzima ila ghafla utaambiwa Mamajuzi imeanza Mashariki ya Mbali..
Na mifano mingi inayofanana na hayo kwa sababu lengo ni kutengeneza Uoga, Inferior Thinking kwamba Huwezi kuliko mimi (Its a Mind game) ili ujione wao ndo wanaweza kuliko Sisi..
Na hili kufanikisha hilo Walizuia Vyuo vyao Vyote miaka hiyo Kuweka Watu wengine isipokuwa wao tu..

Lengo ni kufanya wao waone ni bora kuliko wengine na sisi na watoto wetu tujione hatuna ubora..

But Trust me Hata tuzo za Nobel na Tuzo zingine miaka hiyo ilitolewa kwa kuangalia Impacts ya Baadaye..

Kila Idara nyeti Myahudi kashika mpaka Freemason na Illuminati ilianzishwa na Myahudi...
Bila Kusahau hata Dhehebu la Shia Waislm lilianzishwa na Myahudi..

So ndo lengo lao hilo kucreate Internal Confusion among us And so tuwaone wao ni Bora kuliko yoyote..

I rest my case (BUT THATS THE TRUTHS) Its a Mind Game rather than Intelligence Game
 
Back
Top Bottom