Mkuu una
DR Mambo Jambo , kama una Muda,
Waletee history facty
Hahaha 🤣🤣
Mkuu kuhusu Wayahudi Hakuna historic Facts Ni kwamba Wao wametuzidi Akili na ndo wanaotawala Dunia yote Kiakili,Kijeshi na Hata Kimtazamo..
Wameweza kututawala Mpaka Kifikra na Kuingiza Historia yao kwenye Kila Mtu Duniani..
Kwenye watu Bilion 8 Duniani Watu Bilion 3 karibia na Nne ni Wakristo na Watu Bilion 2 Ni Waislamu na watu Karibia Bilion 1 Ni wayahudi wote hawa wanatukuza Historia ya Wayahudi na Kusifu miungu ya wayahudi...
Hii inafnya Watu Bilion 6 au Bilion 5 kati ya Bilion 8 Kuwa wafuasi wa Wayahudi bila Kujua..
Je Tumewahi kujiuliza kwanini wanatawala kwa sababu wakristo wanaamini wao wamebarikiwa, Na waislam wanaamini Pia kuwa Wayahudi walikuwa Taifa la Mungu..
Je ipi siku ambayo Sisi kama Binadamu tutakuwa Juu ya wayahudi?
Ni siku ambayo tutaacha kuwaweka juu kuliko Sisi..
"Cognitive Distortions" au Inferiority complex tuliyonayo bado Sana kuwazidi wayahudi..
Kuna kipindi Watu walikuwa wanaamini Mw alimu wa Shule hakosei na anajua kila kitu miaka ya 80 na 90 hiyo Until watu walipokuja kujua ni mtu wa kawaida na Huenda Ni mtu aliyefail matokeo yake Darasani..
Baada ya Jamii kumdunisha Mwalimu ilionekana mtu akisoma Ualimu ni mtu Duni katika jamii (Japo sikubaliani na Hoja hiyo)
Ni hivyo hivyo zamani watu waliamini Askofu au Padre hakosei hivyo ukisikia kakosea utapinga hata kupigana ukimtetea..
Sasa Tumeaminishwa na wayahudi kuwa wana akili kuliko wengine je hiyo dhana ni ya kweli??
Naongea mengi But huu Mfano wa Mwisho.
Umewahi kusikia Chochote kuhusu Dogon of Mali wale waliokuwa Mamajusi wa kutumia Nyota kuliko Watu wote Dunia Nzima ila ghafla utaambiwa Mamajuzi imeanza Mashariki ya Mbali..
Na mifano mingi inayofanana na hayo kwa sababu lengo ni kutengeneza Uoga, Inferior Thinking kwamba Huwezi kuliko mimi (Its a Mind game) ili ujione wao ndo wanaweza kuliko Sisi..
Na hili kufanikisha hilo Walizuia Vyuo vyao Vyote miaka hiyo Kuweka Watu wengine isipokuwa wao tu..
Lengo ni kufanya wao waone ni bora kuliko wengine na sisi na watoto wetu tujione hatuna ubora..
But Trust me Hata tuzo za Nobel na Tuzo zingine miaka hiyo ilitolewa kwa kuangalia Impacts ya Baadaye..
Kila Idara nyeti Myahudi kashika mpaka Freemason na Illuminati ilianzishwa na Myahudi...
Bila Kusahau hata Dhehebu la Shia Waislm lilianzishwa na Myahudi..
So ndo lengo lao hilo kucreate Internal Confusion among us And so tuwaone wao ni Bora kuliko yoyote..
I rest my case (BUT THATS THE TRUTHS) Its a Mind Game rather than Intelligence Game