Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ngoja nikuchambuwe moja moja:


Hapana, Albert Einstein hakuwa wa kwanza kuielezea na kuendeleza nadharia ya uhusiano (relativity), lakini alikuwa wa kwanza kuchapisha kazi yake juu ya mada hiyo:


  • Isaac Newton
    aliunda nadharia ya mechanics ambayo ilikubaliwa kwa zaidi ya miaka 200 kabla ya nadharia ya Einstein ya uhusiano.


  • Qur'an
    Baadhi ya aya katika Qur'an zinahusiana na nadharia ya uhusiano, ikiwa ni pamoja na Sura Al-Hajj 47, ambayo inasema, "Hakika siku moja kando ya Mola wako Mlezi ni kama miaka elfu kutoka miaka unayoihesabu."
Kumekucha [emoji1787]
 
Hawa jamaa toka enzi hawali Nguruwe, believe it or not kila nyama unayokula jua unapokea sifa za huyo mnyama kwa namna moja au nyingine wewe na kizazi chako. Ningefafanua zaidi ila naishia hapa.
Hapa unaona umeongea cha maana mwenyewe!
Msabato nini mzee?
😂😂😂😂
 
Ukweli ndio huo hawa jamaa wako vizuri sana na shida wao wenyewe hawamjui yesu aka nabii issa na ndio taifa la mungu na mungu amewapa akili nyingi ukiangalia kwenye taifa la marekani wako sehemu nyeti sana hasa jeshini
 
Mkuu

Nilishawahii kufwatilia hili swala

Kuna baadhi ya mambo niliambulia

Kama hawa Wayahudi wameanzaa kusoma kitamboo sana tena sana.

Pili hawa jamaa kwenye utamaduni wao toka enzi makuhani walikuwa wanaoa na kuzalisha wanawakee. ( hapo zamamni kujua kusoma wewe ni genius ukilinganisha na wazungu wao walikataza mapadre kuoa hivyoo vizazi vyao vyenye akili nyingii sana vikiishia chooni na kwenye ndoto nyevu)

Hawa jamaa toka enzi hawali Nguruwe, believe it or not kila nyama unayokula jua unapokea sifa za huyo mnyama kwa namna moja au nyingine wewe na kizazi chako. Ningefafanua zaidi ila naishia hapa.

Kwa kufunga ukiachilia akili ukija kwenye Ukwasi utashanga jinsi vizazi vyao vilivyobarikiwa mpaka kero.
wachina wanakula sana nguruwe mbona wana akili
 
Hao Wayahudi aliowataja mwamba hapo, wanaishi/wameishi maeneo tofauti tofauti so mtazamo wako kwa hapa haufanani.
Angalia asili. Mmasai ni mmasai tuu hata akiwa marekani. Bado kuna vitu flani flani atakuwa anavifanya vyakimasai hata akiwa marekani..

Angalia jamii yakichaga hata kama amezalia mjini na hajui uchagani bado atakuwa na vinasaba vyakichaga na utamkuta anafanya mambo flani flani ya jamii hiyo...
 
Hivi mchinaa ana akili gani, kila sikuu kucopy vituu vya watuuu
Aiseeeh tatizo hili

China, Japan, Korea ndio jamii zenye IQ kubwa duniani ndio jamii zingine zinafuata.
 
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
 

Attachments

  • 1000368798.jpg
    1000368798.jpg
    623.8 KB · Views: 3
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Hizo ni chuki dhidi ya Wayahudi! Ni ukweli usiopingika Wayahudi wamebarikiwa katika Elimu na Maarifa!
 
Mbona wanalalamikiwa kwa ushoga na kuwabagua wakristo??
Ushoga upo karibia kila nchi kwa kwa hiyo wanaolalamika basi na walalamikie Tanzania pia lakini kulalamika kwamba ushoga upo Israel pekee au as if chanzo ni wayahudi hizo ni chuki binafsi.

Kuhusu kuwabagua wakristo kwa maana ya kwamba kuna wayahudi wanawabagua wakristo nii sawa kwa sababu haiwezekani wayahudi wote 100% wakaupenda ukristo lakini kuna wayahudi wengi sana wakristo tena walokole. Ila kuna watu wenye chuki zao ambao hueneza propaganda wakimaanisha wayahudi woote wanauchukia ukristo au huo eti ni msimamo wa serikali ya Israel huu ni uwongo.
Ingekuwa wayahudi wengi wanawachukia wakristo kwa jinsi inavyosemwa basi wasingeruhusu wakristo kuingia Israel lakini kila mwaka wakristo kibao wanaenda kutembelea Israel kujifunza, na kufanya maombi.

Nimalizie kwa kusema Tangu taifa la Israel limeana kuasisiwa kumekuwa na chuki kubwa isiyo kifani juu yake ndiyo maana Farao aliwatumikisha vibaya walipokuwa misri pamoja na historia nzuri sana ya myahudi aitwaye Yusufu kuitumikia misri kwa uaminifu mkubwa uliotukuka. Wakiwa wanatoka Misri kwenda Kaanani walipigana vita nyingi sana njiani, kuingia Kaanani kulikuwa kwa vita, walipigwa vita na akina Hamani, walipigwa vita na dola ya rumi, na wakateswa mnooo, waliuwawa wayahudi wengi sana na Hitler, na ndiyo maana wayahudi wengi walipenda kwenda kuishi USA na guess what USA imekuwa taifa kubwa kwa miaka kadhaa kwa sababu ya mchango wao mkubwa sana maana wamebarikiwa na Mungu tokea kwa baba yao Ibrahimu.

Shetani ana hasira kubwa mno na taifa la Israel simply sababu Yesu alizaliwa kutokea kwa wayahudi ambapo amekuwa mwokozi wa ulimwengu na kupitia yeye binadamu amepatana tena na Mungu endapo atamwamwini Mungu na atatubu dhambi, makosa na uovu wake.

Ndiyo maana vita ya mwisho ya duniani ni kati ya mpinga kristo yaani majeshi ya nchi zote na nchi ya Israel. Ashukuriwe Yesu ambaye atashuka kuja kumaliza hiyo vita then atatawala dunia nzima na Yerusalemu yatakuwa makao makuu ya serikali ya Yesu Kristo.
 
Hivi mchinaa ana akili gani, kila sikuu kucopy vituu vya watuuu

kucopy nayo ni akili kama hujui. Tanganyika imeshindwa nini kucopy?

Nchi gani inaongoza kufanya patent trademarking hivi sasa kama sio China? Au unadhani ugunduzi uliisha miaka ya kina Einstein tu?
 
Back
Top Bottom