FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Je, wewe ni shoga?Hongera kwa kukiri hadharani msema kweli mpenzi wa Mungu, tubu haraka kwa kufanya uchafu huo kabla hujaondoka hapa duniani. Kha ajuza lini mbili zipo active umri huo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, wewe ni shoga?Hongera kwa kukiri hadharani msema kweli mpenzi wa Mungu, tubu haraka kwa kufanya uchafu huo kabla hujaondoka hapa duniani. Kha ajuza lini mbili zipo active umri huo?
Aisee umeandika kitu cha maana sana .. hiyo utumwa mpaka tuje kuumaliza kichwani mwa wa Tanzania ni shida. Mbaya zaidi ..kila siku walokole wanaeneza hizi propaganda za ukibariki isrel na ww utabarikiwa .cha kushangaza pamoja na kubeba bendaera yao unakutwa wamepauka kushinda mihogo ya kuchomNIseme Ukweli Nimependa Uwezo wako wa Kujenga hoja..
Japo naomba Kusema kitu..
Walatin walikuwa na Msemo wao Mmoja Huwa naupenda sana..
"Timor confingitur, quamquam periculum vere accidere potest."
Yaani..
"Fear is fabricated, although the danger can truly happen."
Namaanisha kwamba Hukuzaliwa tu ukajua Kuwa nyoka ni kiumbe wa ajabu na unapaswa kumkwepa wakati huo ukajua kuwa mjusi si kiumbe hatari na haupaswi kumkimbia..
Wakati huo ukajua Ng'ombe unapaswa kumfuga na wala hana madhara kwa binadamu na Simba Ama madhara na Huwezi kumchukua Porini ukamuweka Nyumbni umfuge..
Namaanisha nini If you want to bult empire You have to stated with strategies, Plan How you going to Put it together how utaovercome Failure et al..
Did you think Israel ilipoanzishwa mwaka 1947 hawakujua Vyote hivyo?
Napoleon Hills Aliwahi kusema "The Hardest and Dangerous Prisone to escape is in Your Own mind"
Kama Nilivyosema Mwanzoni More than 60% Ya Dunia Hii wote Ni Dini Hizi tatu Christian, Muslim and Judaism..
Na wote hawa Wanawatukuza Wayahudi kama Ni Mitume na Taifa Teule ama lililokuwa Teule..
Ukija kwa Wakristo watakuambia Wayahudi ni Watu wa Mungu..
Sasa Hapo ndo inakuja Dhana ya kuwa Hakuna Gereza walilotuweka ambalo ni gumu kutoka Kama gereza la Imani kwa sababu Mtu yuko tayari kutetea hata afe kwa ajili hiyo..
Vipi kuhusu Vita na wayahudi kushinda kila mara kwani inashindikana Kuwapiga Bomu la Kushtukiza ghafla.... (Inawezekana) sasa Why, Cuz they just fabres things and They want you to beleive that Wayahudi wako powerfull Japani aliwahi kuchapwa Na nyuklia Mpaka leo ana athali ya Hiroshima..
So Hata Palestina na Israel those are just Message they want you to see that They are powerfull wakati Huenda Si kweli..
Ukitaka Kujua Israel is not israel as We think Just angalia Utetezi wanaopata kwa Nchi kwenye vikao vya UN..
Kuna Vitu hupandikizwa Vichwani vyetu ambavyo Unaweza ukajiuliza kwanini Tunaambiwa au tunaonheshwa hivyo..
Mwaka 1996 Kulifanyika Peer Traditional Experiments iliyohusisha nyani (Nitakuwekea hapo chini Kwa ajili ya kuweka Records Sawa) na mwaka 2008 kulifanyika pia experiments hiyo hiyo ila ilikuwa ya watu japo.ilikuwa Kwenye sense tofaufyi nikipata nitakuwekea pia..
Hii Ndo experiments
View attachment 3135064
So Kitu kitakachotusaidia ni Only kuchange mindsets Yetu kuweka akili zetu sawa na Ku"Unlearn kila kitu walichotupandikiza na kutufundisha Hiyo ndo njia sahihi ya Kuchomoka""
This was All a mind sets Games to us
Hapo ulipo unatumia kipi cha myahudiHivi mchinaa ana akili gani, kila sikuu kucopy vituu vya watuuu
Na wamefanikiwa hasa si unaona hata comment za wtu humu ..mtu anamsifia myahudi ilihali kuanzia nguo ya ndani mpaka tooth pick anatumia ni from chinaWaAfrika sijui ametuloga Nani aisee wazungu kwa propaganda wapo poa Sana aisee
Watakuja kusema mwamposa anachembe za kiyahudi ndo maana ana akili ya kuwarubuni watuMkuu ndugu zetu si ndo hawa wanaompelekea Mwamposa na kiboko ya wachawi pesa huku wao wakiendelea kutaabika? Bado ujinga ni tatizo kubwa kusini mwa jangwa la sahara.
Kwa nini unateseka ili hali ndo ukweliHuu uongo na hizi propoganda sijui mnazisimbaza kwa faida ipi, Wayahudi hawaamini katika Agano jipya, ni uongo mkubwa kusema hawataki kuusikia Ukristo, Israel kuna makanisa na misikiti tele, Israel ndio taifa lenye mchanganyiko wa dini nyingi zaidi mashariki ya kati kwa uhuru mkubwa.
Mkuu kama unacho kitabu share pdf yakeSiri ya akili za wayahudi ni Tanakh au kudecode kanuni na siri za maisha zinazofundishwa katika biblia.
Soma kitabu kinaitwa Unlocking Jewish code.
Hoja yako ya makuhani kutozalisha wanawake napinga mana ukitazama kanisa katoliki la roma ndio.taasisi kubwa ya kidini duniani yanye mfumo imara wa kiuongozi na kiuchumi na ni taasisi yenye infuence kubwa kwenye masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa maeneo mengi ulimwenguni.Mkuu
Nilishawahii kufwatilia hili swala
Kuna baadhi ya mambo niliambulia
Kama hawa Wayahudi wameanzaa kusoma kitamboo sana tena sana.
Pili hawa jamaa kwenye utamaduni wao toka enzi makuhani walikuwa wanaoa na kuzalisha wanawakee. ( hapo zamamni kujua kusoma wewe ni genius ukilinganisha na wazungu wao walikataza mapadre kuoa hivyoo vizazi vyao vyenye akili nyingii sana vikiishia chooni na kwenye ndoto nyevu)
Hawa jamaa toka enzi hawali Nguruwe, believe it or not kila nyama unayokula jua unapokea sifa za huyo mnyama kwa namna moja au nyingine wewe na kizazi chako. Ningefafanua zaidi ila naishia hapa.
Kwa kufunga ukiachilia akili ukija kwenye Ukwasi utashanga jinsi vizazi vyao vilivyobarikiwa mpaka kero.
Unasema; wanaamini Mungu watatu,alafu unasema mungu wao ni yesu.Acha kudinganya wao wanaamini katika mungu mmoja ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa, wewe unaamini miungu mitatu na mungu wako wewe ni yesu ambao wao hawamuamini na walimsulubu
Suala la kula nguruwe nayo sio hoja,hivi kuna nchi zinakula nguruwe kama uchina,japani ulaya na usa?Mkuu
Nilishawahii kufwatilia hili swala
Kuna baadhi ya mambo niliambulia
Kama hawa Wayahudi wameanzaa kusoma kitamboo sana tena sana.
Pili hawa jamaa kwenye utamaduni wao toka enzi makuhani walikuwa wanaoa na kuzalisha wanawakee. ( hapo zamamni kujua kusoma wewe ni genius ukilinganisha na wazungu wao walikataza mapadre kuoa hivyoo vizazi vyao vyenye akili nyingii sana vikiishia chooni na kwenye ndoto nyevu)
Hawa jamaa toka enzi hawali Nguruwe, believe it or not kila nyama unayokula jua unapokea sifa za huyo mnyama kwa namna moja au nyingine wewe na kizazi chako. Ningefafanua zaidi ila naishia hapa.
Kwa kufunga ukiachilia akili ukija kwenye Ukwasi utashanga jinsi vizazi vyao vilivyobarikiwa mpaka kero.
Kitendo cha kutengeneza hizo unazozita internal confusions,ndio akili zenyewe sasa,kuna jamii ngapi duniani mbona wao wameweza kufanya hivyo?Hahaha 🤣🤣
Mkuu kuhusu Wayahudi Hakuna historic Facts Ni kwamba Wao wametuzidi Akili na ndo wanaotawala Dunia yote Kiakili,Kijeshi na Hata Kimtazamo..
Wameweza kututawala Mpaka Kifikra na Kuingiza Historia yao kwenye Kila Mtu Duniani..
Kwenye watu Bilion 8 Duniani Watu Bilion 3 karibia na Nne ni Wakristo na Watu Bilion 2 Ni Waislamu na watu Karibia Bilion 1 Ni wayahudi wote hawa wanatukuza Historia ya Wayahudi na Kusifu miungu ya wayahudi...
Hii inafnya Watu Bilion 6 au Bilion 5 kati ya Bilion 8 Kuwa wafuasi wa Wayahudi bila Kujua..
Je Tumewahi kujiuliza kwanini wanatawala kwa sababu wakristo wanaamini wao wamebarikiwa, Na waislam wanaamini Pia kuwa Wayahudi walikuwa Taifa la Mungu..
Je ipi siku ambayo Sisi kama Binadamu tutakuwa Juu ya wayahudi?
Ni siku ambayo tutaacha kuwaweka juu kuliko Sisi..
"Cognitive Distortions" au Inferiority complex tuliyonayo bado Sana kuwazidi wayahudi..
Kuna kipindi Watu walikuwa wanaamini Mw alimu wa Shule hakosei na anajua kila kitu miaka ya 80 na 90 hiyo Until watu walipokuja kujua ni mtu wa kawaida na Huenda Ni mtu aliyefail matokeo yake Darasani..
Baada ya Jamii kumdunisha Mwalimu ilionekana mtu akisoma Ualimu ni mtu Duni katika jamii (Japo sikubaliani na Hoja hiyo)
Ni hivyo hivyo zamani watu waliamini Askofu au Padre hakosei hivyo ukisikia kakosea utapinga hata kupigana ukimtetea..
Sasa Tumeaminishwa na wayahudi kuwa wana akili kuliko wengine je hiyo dhana ni ya kweli??
Naongea mengi But huu Mfano wa Mwisho.
Umewahi kusikia Chochote kuhusu Dogon of Mali wale waliokuwa Mamajusi wa kutumia Nyota kuliko Watu wote Dunia Nzima ila ghafla utaambiwa Mamajuzi imeanza Mashariki ya Mbali..
Na mifano mingi inayofanana na hayo kwa sababu lengo ni kutengeneza Uoga, Inferior Thinking kwamba Huwezi kuliko mimi (Its a Mind game) ili ujione wao ndo wanaweza kuliko Sisi..
Na hili kufanikisha hilo Walizuia Vyuo vyao Vyote miaka hiyo Kuweka Watu wengine isipokuwa wao tu..
Lengo ni kufanya wao waone ni bora kuliko wengine na sisi na watoto wetu tujione hatuna ubora..
But Trust me Hata tuzo za Nobel na Tuzo zingine miaka hiyo ilitolewa kwa kuangalia Impacts ya Baadaye..
Kila Idara nyeti Myahudi kashika mpaka Freemason na Illuminati ilianzishwa na Myahudi...
Bila Kusahau hata Dhehebu la Shia Waislm lilianzishwa na Myahudi..
So ndo lengo lao hilo kucreate Internal Confusion among us And so tuwaone wao ni Bora kuliko yoyote..
I rest my case (BUT THATS THE TRUTHS) Its a Mind Game rather than Intelligence Game
WAyahudi hawali bata wala ngamia kwao ni halamu,we umeona nguruwe tu kasome mabo ya walawi 11 ndio utajua vyakula vipi ni halali na halamu kwa wayahudi na sababu zao ziku wazi.Wayahudi wanaamini torati tu, na hata mungu wao sio yesu kama wakristo ,hata chakula chao wanakula halaal food kama waislamu ,wao wanaita kosher, na kwao nguruwr ni haram
Bila shaka hao ni wafuasi wa pedophileNiliwahi kuambiwa kuwa wakati Wayahudi wakifanya gunduzi nyingi mbalimbali za Kisayansi na tekinolojia, kuna jamii fulani, kikubwa kabisa walichowahi kugundua ni biashara ya utumwa. Biashara ya kuwauza watu wenye ngozi nyeusi. Baada ya hiyo biashara kufutwa Duniani, sasa hivi wamegundua biashara ya kuuza viungo vya binadamu weusi, kama figo, moyo na ini. Wanawadanganya hao watu weusi kuwa kuna kazi. Hao watu weusi wakifika huko wanakaa na kufanya kazi ndogo ndogo, wanalishwa na kulala bure, huku wakipewa pesa ndogo ndogo ya kutuma nyumbani, wakiambiwa pesa yao ya mshahara watalipwa yote siku wanarudi nyumbani. Wanaishi bila ya kutambua kuwa hapo ni duka la viungo vya binadamu, na wao ndiyo bidhaa yenyewe. Akipatikana tu mteja, mmoja wa hawa watu weusi atapewa kitu cha kumfanya baadaye ajisikie kuumwa. Akisema tu anajisikia kuumwa, wenyeji wake wanajifanya watu wema sana, wanamchukua na kumfikisha hospitali kubwa ya kifahari, anapewa dawa, analala usingizi, wanatoa kiungo wanachokitaka, ndugu wanataarifiwa kuwa kijana wao amefariki akiwa anapokea matibabu. Ndugu wanapewa pesa nzuri kama pole. Kumbe ni asilimia ndogo sana ya aliyoipata kwenye mauzo. Unaambiwa bei ya figo moja ni kati ya dola 250,000 na 350,000. Kwa hiyo ndugu hata wakipewa pole ya dola 5,000 (TZS 12m), watabaki wanasifia wema wa waajiri wa ndugu yao aliyepotezewa uhai bila ya kujua ndugu yao amefanyiwa ushetani!!
Nipe uzoefu wako katika imani hiyo ya kiyahudi.Nakubaliana Na wewe Kabisa Hata ukiataka Kuwa Myahudi inakupasa Kukaa Mwaka mmoja au zaidi kupata Imani yao (Kugain Trust) Japo hutapata Full trust ila lazma uingie darasani Usome Upate trust then Uchunguzwe Mwishi ndo uwe myahudi..
Naelewa kwa sababu I was Once A Judaism so i know the strugle
Katika ukristo wote wasio mkr kristo kama bwana na mwokozi wao ni wapinga kristo.EWaaa sasa kwa maneno yako tunakubaliana kwamba wayahudi ni wapinga kristo?
Akili za wavaakobazi ni akili zakushikiwa na pedophile,aliyeshindwa vita na wayahudi na kuikataa dini yake ya mchongo ndio akajenga chuki nao,wavaakobazi nao bila kuelewa hilo wameridhi aduiUnamchukia Myahudi wakati umechomwa ndui yao