Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Edward Teller-bomu la Hydrogen
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Baruch Blumberg-Chanjo ya homa ya ini
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner-makundi ya damu
Rothschild family-benki kimataifa
Sigmund Freud-Saikolojia
Leon Trotsky-Namba 2 mapinduzi ya kijamaa Russia 1917
Noam Chomsky
Selman Abraham Waksman-Antibiotics

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Hao watu Acha kabisa
 
Hivi kumbe hakuna waislamu mashoga? Ndio nimejua Leo hii NI mpya
Akati kule visiwani ambapo wanajinadi kushika dini ya 'Alah' na mtume marehemu mudi ndo wanaongoza kwa ushoga, kiufupi hawa jamaa ndo mashoga hata mudi inasemekana kuwa kumfirah mkewe yule mdogo wa miaka 9
 
Nani aliyesema waisrael Wana akili? Una akili unapigana na mtu mwaka mzima wewe Una Drones yeye ana mawe na humuwezi
umeongea utumbo.
Kwahyo yale mabom elf5 waliyoyarusha tar7 yalikua mawe yale???

wavaa makobazi bwanaa😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
 
Wewe ndiye hujui Biblia. Biblia ina sehemu mbili kubwa. Agano la kale linalohusu Wayahudi na utabiri wa Masihi na Agano Jipya linalomhusu Masihi na wokovu kwa mataifa yote. Baadhi ya Wayahudi walipigwa chenga ktk kuamini kwamba Yesu ndiye Masihi. Hivyo hawaamini Agano Jipya. Lakini wapo wengi wanaoamini.
Hakuna anayeamini biblia acha kujidanganya na hawamshirikishi mungu kama wakristo ambaye wanamwita yesu ni mungu
Kwa wayahudi ni kosa kubwa kumwita yesu ni mungu
Wakristo wamelishwa matango pori ,wayahudi wapo sahihi mungu ni mmoja na hashirikishwi
 
umeongea utumbo.
Kwahyo yale mabom elf5 waliyoyarusha tar7 yalikua mawe yale???

wavaa makobazi bwanaa😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Mjinga uliyeshiba divai, wapalestina wala wakristo hawahusiki kabisa na huu mgogoro Ila wajinga kama wewe? Mtu aliyevamia maeneo ya watu na kujifanya yake muhuni Tu kama. Wewe
 
Nani watalaamu wa dini? Hili ni muhimu kujua, na kwa nini. Dini inajihusisha na roho yaani, inashughulikia "Kweli za kiakili".

Kama mtu hujui vizuri dini, na imani; utaona kuwa wayahudi walimkataa Yesu. Aidha, utaona kwamba wayahudi hawaamini kuwa Yesu ni Mungu.

Lakini swali la msingi la kujiuliza ni hili: Yesu alifundisha nini na wayahudi wanafanya nini?
 
Mungu agano la kale aliwa-ahidi atakuja mesiha
Tofauti ni kwamba wayahudi wana-amini Yesu bado ajaja ila atakuja na wakristo wanaamini Yesu ameshakuja tayari ila atakuja mara ya pili
Hizo ndo tofauti za kimapokeo ila biblia ni ile ile sema kila mtu anatafsiri na mapokeo yake

Nakitu ambacho wengi hamjui ni kwamba Mungu anawasaidia sana wayahudi ni kwa sababu aliingia maagano na kina ibrahimu, isaka yakobo, na daudi lakin ni watu ambao wenye mioyo migomo na wanamchikiza sana
Wayahudi hawamuamini Yesu kwa sababu
Fikiri kwamba yesu sasa hivi arudi lakini arudie pale uyole azaliwe na mzee mwafulani yesu awe pale anauza maparachichi ya mzee wake kama kawaida na unabii unaendelea sasa nani ataweza kumuamini?
Nabii hakubaliki kwao ilianzia kwa Yesu nadhani na ni msemo wa kweli kabisa huu
 
Hamna kitu hapo. Hapa duniani ukiniambia nipange safu ya watu wenye akili wakwanza warusi, Japanese , Indians, hao wazungu na Africans wanakuja mwisho kabisa
 
Ha
KWa hiyo mungu wa wayahudi na wa wakristo ni tofauti au siyo?
yo mambo mengine ya iman za watu nitata saana hasa pale usipokuwa muumini wa imani husika.Lakini Mungu wa wakristo na wayahudi ni mmoja.Tena wakristo wanajua kwanin waisrael hawamwamini Yesu na ni mazingira yepi watakuja kumwamini Yesu.
 
Bila Algebra(muislam huyu),dunia ingekuwa gizani,algebra ndio inatumika katika IT(information technology),na bila IT,dunia ingekuwa gizani.Kila unachokiona kimetengenezwa na binadamu ni kupitia kwa IT,na IT ibatokana na Algebra.
Akili za madrasa hizi,😅😅 mchango wa algebra ni mdogo mno katika it,ni kama negligible kabisa.

Wadanganye wajinga wenzako.

Myahudi ni kama maji usipo mnywa utachambia ukienda kuswali
 
Ha
yo mambo mengine ya iman za watu nitata saana hasa pale usipokuwa muumini wa imani husika.Lakini Mungu wa wakristo na wayahudi ni mmoja.Tena wakristo wanajua kwanin waisrael hawamwamini Yesu na ni mazingira yepi watakuja kumwamini Yesu.
Sasa mkuu mbona unachanganya mambo, hawa hawamuamini yesu tena walifikia hadi kumpa kipondo, na kwao israel wanaamini mungu ni mmoja ,usilazimishe mambo kwa kujipendekeza
 
Kasome doctrine of necessity utaelewa vizuri maana ya haram na halali
Sina haja ya kusoma hicho kitabu ila tambua halali ya wayahudi no tofauti na halali na haramu ya waislamu,

Nguruwe sio haramu katika uislam anaruhusiwa kuliwa katika codndition ya kama hakuna chakula zaidi ya kitimoto unakula.

Wayahudi wanamiongozo kabisa ya kila aina ya wanyama kwanini waliwe na kwanini wasiliwe.

Ila muslamu ngamia anakula,ila wayahudi hapana,waislam bata halali wayahudi bata ni haramu.

So acha kujilinganisha na uyahudi wakati ni mbingu na ardhi.
 
Upande gani Mkuu Maana ukisema Uzoefu bila Kutaka Upande Iko General Sana..
Ila ukitaja Upande tutaenda sawa..

Unaweza ukasema Nipe uzoefu kwenye Upande wa Kusali kwa wayahudi..
Nipe uzoefu kwa Upande wa Ibada..Nipe uzoefu kwa Upande wa Elimu, Nipe uzoefu kwa Upande wa Ukuaji, na Malezi nipe uzoefu kwa Upande wa Mgawanyo wa Madaraka etc..
Nikisema ninarrow down naona sitafahamu mengi hivyo nakupa nafasi ya kufunguka ili niweze kufahamu mengi nisiyoyajua hada katika mafundisho na misingi za dini ya kiyahudi?
 
Hahahah Hapana Huwezi kutahiriwa Tena sasa Ukitahiriwa Tena watakata Nini kichwa 😅😅

Nop huwa inafanyika Ritual moja ambayo Ni symbolic na "Brit milah" (בְּרִית מִילָה) [au kiswahili Kutahiriwa)..

Hiyo symbolic Ritual Huitwa "hatafat dam brit" (הטפת דם ברית.)..

Hii Hutahiriwi In such way.....
ila Damu huwa lazima Imwagike kuonyesha Unaingia Agano la Damu ambalo chimbuko Lake Lilianza kipindi cha Ibrahimu alipopewa Agano hili na Mungu
Kwamba watachuna kidogo dushelele ili damu imwagike😅
 
Hivi hujui kwamba Roma ni taasis iliopo kwenye decline, ivi huoni sign jinsi Papa francis anavyohangaikaa kwendaa sawaa na walimwengu na mambo yao badala ya kukanyaa? Roma yenyee nguvuu ni ilee ya zamani ambayo hata uwe mfalmee unakula jeupee, uliza Anglican ilitokanajee.

Pia tazama kesi za ulawiti zinavyotafuna kanisaa! It almost systematic padre analawiti kijiji A anapelekwaa kijiji B nakoo analawitii. it around the corner the greatest perscution itaanzaa kwa viongozi wa juuu kabisaa wa roma catholic kuhusika kwa namna moja au nyinginee. Haya ya kina diddy na rkelly ni mfumoo unafanyaa mazoezi na kupima Reaction ya watuu.

It over, endapo among the greatest bishop wameoa wangeweza kuwa guide nzurii but now no guidance. It hell
Hakuna ufalme au taaisi itakayodumu milele hilo sikupingi,ila still roma ya ukatoliki imendelea kutumu kwa muda mrefu hadi sasa bado ina ushawaishi sehemu nyingi ulimwenguni hilo halipingiki.

Nadhani moja ya misingi imara ni kwasababu ya kutoruhusu mapadre waowe,mwanaume ukiwa na familia unakua weak katika masuala mengine hasa ya usimamizi lazima tu maslahi ya familoa yako yataingilia kati.
 
Nikisema ninarrow down naona sitafahamu mengi hivyo nakupa nafasi ya kufunguka ili niweze kufahamu mengi nisiyoyajua hada katika mafundisho na misingi za dini ya kiyahudi?
Mafundisho ya Kiyahudi Yako mengi huenda Kuliko hata Ukristo au Uislamu..

Wana mafunzo ambayo Ili kuyasoma Na Kuweza kuyaelewa Angalau upate kibali cha kuonekana unafaa Kuendelea Kuaminiwa angalau Usome mwaka mmoja hivi na hapo ni Basic..

So mafunzo ya Mwaka mmoja na zaidi Nikueleze Ndani ya Sentensi Moja...

Duh Hiyo Ni ngumu sana Hata Wafanya Summary maarufu sidhani kama wanaweza..

Ukitaja Labda Niambie upande w Imani, Au ipande w Sheria au upande wa vyakula au upande kitu gani...

Maana Bila Kutaja Upande au Eneo ni ngumu sana unajua Jews ni tofauti na Ukristo kwamba Nitasema kuna Madhebu kadhaa walokole wako hivi wanafanya hivi wana maji ya upako wasabato hivi na Waroma hivi...

But Judaism is another level meehn ni kama Unaingia Kwenye Another Mystery kabisa...
 
Sasa mkuu mbona unachanganya mambo, hawa hawamuamini yesu tena walifikia hadi kumpa kipondo, na kwao israel wanaamini mungu ni mmoja ,usilazimishe mambo kwa kujipendekeza
Hilo liko wazi na hakuna asiyefahamu kuwa wayahudi waamini mungu mmoja tu,ila bado wana amini kuwa masihi atakuja kuwakomboa so bado wanasubiri masihi.
 
Kwamba watachuna kidogo dushelele ili damu imwagike😅
😅😅😅 Nop sio Kuchuna Actually...
Yaani yule "mohel (מוֹהֵל)" au Kiswahili huwa Mnasema Ngariba huwa Yuko Trained kwenye Sheria za Kidini za Kiyahudi as well as Medical..

Anachukua Kisindano kidogo sana (Ambako hata hakiumizi sana) Huko wanaita "makhat" (מחט) halafu unachomwa..

Damu ikitoka Bhasi unakuwa umeshafanya Agano la Mungu na Vizazi vya Israel tangu Agano la kwanza la Ibrahimu..Na unaweza kuendelea na Process zingine kama Za Kufanya Kogo la Lazima ambalo huitwa mikveh..

Au Umesahau Mungu alitaka Kumuua Mtoto wa Musa Kisa hajatajiriwa Mkewe Musa zippora akachukua Jiwe akakwangua Govi la Mtoto wake damu Zikatoka Mungu akamuacha?

Kutoka 4:24-26

"24 Ilikuwa walipokuwa njiani mahali pa kulala, Bwana akakutana naye akataka kumwua.

25 Ndipo Sipora akashika jiwe gumu na kuikata govi ya zunga la mwanawe, na kuibwaga miguuni pake akasema. Hakika wewe u bwana arusi wa damu kwangu mimi.

26 Basi akamwacha. Ndipo huyo mkewe akanena, U bwana arusi wa damu wewe, kwa ajili ya kutahiri."
 
Back
Top Bottom