Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Hilo liko wazi na hakuna asiyefahamu kuwa wayahudi waamini mungu mmoja tu,ila bado wana amini kuwa masihi atakuja kuwakomboa so bado wanasubiri masihi.
Ndyo Ni kweli na Kwa Mujibu wao wako sahihi kabisa..

Nataka nikuulize wewe Unamuamini joseph Smith Kuwa Ni Nabii na Mtume wa Mwisho kutoka kwa Mungu na alikutana na Yesu Marekani na Yesu akampa kitabu??

Ambacho ndiyo biblia ya wamormons Mpaka Leo??

Umewahi kuisoma Biblia ya Mormons?
Kama hujawahi kwnini?
Unawa Consider wa Mormons kama ni wakweli?
Na Vipi kuhusu Itikadi yao ya Kidini?

Kama huwaamini wamormons kuhusu Imani mpya walioleta kuhusu Yesu na Vingine kwanini Unataka Wayahudi Waamini Kuhusu Yesu na Bado kwa mujibu wao Hajafit Vigezo walivyokuwa navyo Kwenye Utabiri na Unabii wao..

Kama ambavyo wakristo hawamuaminj Mtume Muhammad Kama Mtume wao na hawaamini Uislmu kadhalika ni sawa kwa wayahudi Kutoamini kuhusu Yesu
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Edward Teller-bomu la Hydrogen
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Baruch Blumberg-Chanjo ya homa ya ini
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner-makundi ya damu
Rothschild family-benki kimataifa
Sigmund Freud-Saikolojia
Leon Trotsky-Namba 2 mapinduzi ya kijamaa Russia 1917
Noam Chomsky
Selman Abraham Waksman-Antibiotics

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Taifa Teule
 
Sina haja ya kusoma hicho kitabu ila tambua halali ya wayahudi no tofauti na halali na haramu ya waislamu,

Nguruwe sio haramu katika uislam anaruhusiwa kuliwa katika codndition ya kama hakuna chakula zaidi ya kitimoto unakula.

Wayahudi wanamiongozo kabisa ya kila aina ya wanyama kwanini waliwe na kwanini wasiliwe.

Ila muslamu ngamia anakula,ila wayahudi hapana,waislam bata halali wayahudi bata ni haramu.

So acha kujilinganisha na uyahudi wakati ni mbingu na ardhi.
Waislamu hatujawahi kujipendekeza kwa wayahudi kama wakristo ambao wanatofatiana nao sana kuliko hata waislamu
Doctrine of necessity sio kitabu ni misingi mkuu
Waislamu nguruwe ni haramu, ila unhefahamu maana ya necessity usingekuwa unabishana hapa, hapo ni tatizo la elimu
 
WAyahudi hawali bata wala ngamia kwao ni halamu,we umeona nguruwe tu kasome mabo ya walawi 11 ndio utajua vyakula vipi ni halali na halamu kwa wayahudi na sababu zao ziku wazi.

Halafu waislamu wanakula nguruwe vizuri tu,ila mpaka kusiwe na chakula chochote,kwahiyo nguruwe haijawahi kuwa haramu katika uislam.
Mkuu acha kuchanganya mambo, sheria wanaoutumia jews kwenye kosher ni ile ile inayotumika kwenye quran , mnyama anatakiwa awe na kwato na acheue
Jews bata wanakula ni halal
 
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
mashoga wapo kila sehem, hapo ni iran
1000299328.jpg
 
Wayahudi wanatoka taifa ambalo automatically limebarikiwa na Mungu mwenyewe, Israel ni taifa teule la MUNGU
 
Nani kawabariki mashoga. Kwaiyo ile sodoma nayo walibarikiwa uyo mungu mnamsingizia kubariki uchafu wenu, izi dini mnadhitumia vibaya mtalaanika ndani ya dunia ata kabla klfo. Tufuate makatazo ya mungu ikiwa tuna iman na mungu.
 
Sasa mkuu mbona unachanganya mambo, hawa hawamuamini yesu tena walifikia hadi kumpa kipondo, na kwao israel wanaamini mungu ni mmoja ,usilazimishe mambo kwa kujipendekeza
to
Wakristo hawajipendekez kwa wayahudi kama unavyodhani.Ndo maana sidhani kama kuna dhehebu lolote la kikristo linalomwomba Mungu kwa lugha ya kiebrania au kuwa na ratiba ya hija kila mwaka .Japokuw ni wazi kabsaa huwezi kuelewa hilo kutokana mtazamo wako siyo kujifunza ila nikuwafundsha watu hicho unachokiamin.
 
Hiv
Nani kawabariki mashoga. Kwaiyo ile sodoma nayo walibarikiwa uyo mungu mnamsingizia kubariki uchafu wenu, izi dini mnadhitumia vibaya mtalaanika ndani ya dunia ata kabla klfo. Tufuate makatazo ya mungu ikiwa tuna iman na mungu.
Hivi kwani ushoga upo kwenye katiba ya Israeli au!?.
 
Ni ukweli usiobishaniwa kwamba Wayahudi ni watu wenye akili sana katika dunia hii, na hii hapa ni mifano michache tu ila wako maelfu,

Albert Einstein-Relativity(E=mc^2)
Neils Bohr- Nuclear,
Oppenheimer-bomu la atomic,
Edward Teller-bomu la Hydrogen
Karl Marx- Nadharia ya Ujamaa,
Boris Rosing-TV,
Paul Baran-Internet
Simcha Blass-Mfumo wa umwagiliaji shambani
William Fox-Movies,
Sergey Brin-Google,
Singer- Cherehani,
Milton Friedman-Uchumi
Waldemar Haffkine- Chanjo ya ukoma,
Jonas Salk- chanjo ya polio
Baruch Blumberg-Chanjo ya homa ya ini
Hedy Lammar- WiFi,
Mark Zuckerberg- Facebook
Levi Strauss- Jeans
Emile Berliner- microphone na helicopter
Ralph Baer- video game
Karl Landsteiner-makundi ya damu
Rothschild family-benki kimataifa
Sigmund Freud-Saikolojia
Leon Trotsky-Namba 2 mapinduzi ya kijamaa Russia 1917
Noam Chomsky
Selman Abraham Waksman-Antibiotics

Bila kusahau 22% ya washindi wa tuzo ya Nobel ni wa asili ya Wayahudi.

Hizo akili ni kwa sababu ya genes, mazingira au ndio kubarikiwa kama wengi wa Wayahudi wa Buza ambavyo wanaamini na kudai?!
Mada kama hii Wafuga Midevu na Majini hawampendi kabisa kusikia mwishowe wataanza kukutukana ovyo tu!! Ungwasifia waarabu hapo wangekupamba ukapambika!!
 
Wayahudi wana akili hizi ni stories mbona hawajawahi kutawala Dunia,mbona ndo jamii pekeee ambayo kila empire kubwa duniani imejaribu kuwafuta kuanzia Assyria,Egypt,babel,Roman's
Isipokua Persians ndo waliwasaidia kurudi kwao na kujenga hekalu Lao upya
 
Hivi kumbe hakuna waislamu mashoga? Ndio nimejua Leo hii NI mpya
Bila shaka wapo lakin katika jamii ya Kinasara(Kikristo)ni kama wameoza maana ipo kuanzia kwenye Mimbari( Madhabahu) za ROME Makasisi wenu ndio waasisi wenu mpaka POPE akaona isiwe shida aanze kuzibariki ndoa za Wasenge ndani ya Kanisa.
 
Bila shaka wapo lakin katika jamii ya Kinasara(Kikristo)ni kama wameoza maana ipo kuanzia kwenye Mimbari( Madhabahu) za ROME Makasisi wenu ndio waasisi wenu mpaka POPE akaona isiwe shida aanze kuzibariki ndoa za Wasenge ndani ya Kanisa.
NI sawa, Waislamu hawana DOA na hawajaoza kabisa, wapi kila wanachofanya kipo sawa kabisa, pia Mimi sidhani kama kuna Waislamu mashoga, hawa watu NI kama malaika hawakosei kabisa aisee 😎
 
mazingira (ubaguzi,chuki,uadui) pia yamewaforce kujiongeza.
 
Sijui kama ni kweli, basi sio wote, wapo pia malofa. Angalia wale mitume wa Yesu, wote isipokuwa Petro, walikuwa malofa. Kila kitu ni kuitikia tu.
 
Back
Top Bottom