Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 875
- 633
Wanaliita au wewe unawaita kwa sababu ya chuki zako uchwara!!Saa
Sasa kama uho kila mahali kwanin inapotajwa Israel waajemi weupe na weusi wanaliita taifa la mashoga!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaliita au wewe unawaita kwa sababu ya chuki zako uchwara!!Saa
Sasa kama uho kila mahali kwanin inapotajwa Israel waajemi weupe na weusi wanaliita taifa la mashoga!?
Mkuu kumradh mim sijawah watuhum kwa hilo mkuu ila nmeona team Hamas wamelikazania ndo maana niliulza hilo.Wanaliita au wewe unawaita kwa sababu ya chuki zako uchwara!!
Hivi unaelewa ninaposema "hawaamini injili?Au naongea na andazi hapa!!!Vipi kuhusu yesu?
Leo unamsifia myahudi,kesho inasema myahudi asilia siyo huyu,huyu ni mzungu tu katokea ulaya!Hamueleweki kabisa nyie wajaHakuna anayeamini biblia acha kujidanganya na hawamshirikishi mungu kama wakristo ambaye wanamwita yesu ni mungu
Kwa wayahudi ni kosa kubwa kumwita yesu ni mungu
Wakristo wamelishwa matango pori ,wayahudi wapo sahihi mungu ni mmoja na hashirikishwi
Hakuna sehemu nimemsifia ila nakupa kanuni na imani ya wayahudi ,sio kila unayemuona yupo israel ni myahudiLeo unamsifia myahudi,kesho inasema myahudi asilia siyo huyu,huyu ni mzungu tu katokea ulaya!Hamueleweki kabisa nyie waja
Wewe ndo liandazi likubwa kwani yesu kazungumzwa Kwenye injili tu hicho kichwa ni mzigo Kwa mwili wako.Hivi unaelewa ninaposema "hawaamini injili?Au naongea na andazi hapa!!!
Uwezi kutenganisha ushoga na UislamMbona mashoga waislamu wapo wengi sana hapa bongo na zenji na ndio wanaoongoza?!
Je, hio na tafsiri uislamu ni ushoga?
Acha kujifariji mbona kila leo hao wayahudi wananukuu aya za biblia tena agano la kale na jipya na sio hicho kitabu chenu cha vurugu?pamoja na kuwa nyumba zao za ibada mnadai ni misikiti!Hadi leo hujui kwamba jews hawatumii na hawaamini katika biblia wala ukristo ambao hawautaki hata kuusikia?
Waislamu hatujawahi kuwababikia jews hata siku moja kwani tunaamini ni watu wa hovyo tu ,ila nyie ambaye mungu wenu alisulubiwa na hawa jews ndio mmegeuzwa mazombi mkiwaita taifa teule, akili ni nyweleAcha kujifariji mbona kila leo hao wayahudi wananukuu aya za biblia tena agano la kale na jipya na sio hicho kitabu chenu cha vurugu?pamoja na kuwa nyumba zao za ibada mnadai ni misikiti!
QNgoja nikuchambuwe moja moja:
Hapana, Albert Einstein hakuwa wa kwanza kuielezea na kuendeleza nadharia ya uhusiano (relativity), lakini alikuwa wa kwanza kuchapisha kazi yake juu ya mada hiyo:
- Isaac Newton
aliunda nadharia ya mechanics ambayo ilikubaliwa kwa zaidi ya miaka 200 kabla ya nadharia ya Einstein ya uhusiano.
- Qur'an
Baadhi ya aya katika Qur'an zinahusiana na nadharia ya uhusiano, ikiwa ni pamoja na Sura Al-Hajj 47, ambayo inasema, "Hakika siku moja kando ya Mola wako Mlezi ni kama miaka elfu kutoka miaka unayoihesabu."
Sawa wababaikieni walioteka bongo zenu kiimani na kitamaduni.Utumwa ni laana.Waislamu hatujawahi kuwababikia jews hata siku moja kwani tunaamini ni watu wa hovyo tu ,ila nyie ambaye mungu wenu alisulubiwa na hawa jews ndio mmegeuzwa mazombi mkiwaita taifa teule, akili ni nywele
Hatujawahi kuwababaikia race yoyote muhimu wote tuishi kwa kuheshimiana,na kukekemea ukandamizaji wa aina yoyote bila ya upendeleoSawa wababaikieni walioteka bongo zenu kiimani na kitamaduni.Utumwa ni laana.
Kuna jew wa kiethiopia (mwanajeshi) katunikiwa medali ya ujasiri na netanyau baada ya kutoa msaada mkubwa siku ya october 7-23 na kupunguza maafa.. alikimbia kutokea om kwake na rifle yake kilomita 8 hadi eneo la tukio kwenda kutoa tafuMbona Wayahudi wa Ethiopia - Ethiopian Jews- black jews hatuwasikii - au jews wa kizungu tu ndo wana-akili
Kuna jews wa kiarabu - mbona hatuwasikii - au wao sio jews?
Kuna jews wa hapohapo Israel ambao hawakwenda Ulaya - mbona wao hatuwasikii...????
Hao unawataja hapo karibia wote walikua na wapo nchi za watu, wametumia resources za watu wengine, wamefundishwa na watu wa mataifa - wote hapo ni either Germany, Poland, US, Russia n.k.
Mataifa yote yana watu wenye akili tofauti ni marketing na kujiweka mbele na ubinafsi.
Kuna wachina kibao wako US kama wanasayansi lkn hawajitangazi kama wachina wote wanajiita wa US tu..
Kuna picha ilisambaa sana ya timu ya vijana ya Olympic wote ni wa Asia/China au Japan....lkn wanajiita wa- US..wangekuwa Wayahudi wangeongea na kujinasibu na kujitambulisha kama Wayahudi na kujionyesha
Weka aya tukufundishe ulivyo mjinga. Siyo unaleta ujinga iuliojazawa nao kichwani.Q
quran na ujinga wa jua kuzamia matopeni ni ujinga uliopitiliza.
hata ya hitler ni uongo wa mazayuni kwa kiwango kikubwa.Hatujawahi kuwababaikia race yoyote muhimu wote tuishi kwa kuheshimiana,na kukekemea ukandamizaji wa aina yoyote bila ya upendeleo
Wazungu wengi tena wote wakristo na wengine hawana dinj na baadhi ya jews wanapingana na sera za netanyahu, huwezi kuuwa watu wasiokuwa na hatia halafu unamsingizia mungu, mungu gani huyo anaopenda watu wauane?
Hata wao walivyofanyiwa na hitler dunia nzima ilisimama pamoja nao
Weka aya tukufundishe ulivyo mjinga. Siyo unaleta ujinga iuliojazawa nao kichwani.
SAya zingine zina manufaa makubwa kwako kukuondowa ukondoo, lakini hujijuwi, umjazwa ukondoo.
Wajingakondoo ndiyo waliwao
Tulia unaandika utadhani umeshika bomu lile lenye timer,mlivyoona linaishia baharini mkajua kwenye matope?Weka aya tukufundishe ulivyo mjinga. Siyo unaleta ujinga iuliojazawa nao kichwani.
SAya zingine zina manufaa makubwa kwako kukuondowa ukondoo, lakini hujijuwi, umjazwa ukondoo.
Wajingakondoo ndiyo waliwao.