Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Hakuna anayeamini biblia acha kujidanganya na hawamshirikishi mungu kama wakristo ambaye wanamwita yesu ni mungu
Kwa wayahudi ni kosa kubwa kumwita yesu ni mungu
Wakristo wamelishwa matango pori ,wayahudi wapo sahihi mungu ni mmoja na hashirikishwi
Leo unamsifia myahudi,kesho inasema myahudi asilia siyo huyu,huyu ni mzungu tu katokea ulaya!Hamueleweki kabisa nyie waja
 
Leo unamsifia myahudi,kesho inasema myahudi asilia siyo huyu,huyu ni mzungu tu katokea ulaya!Hamueleweki kabisa nyie waja
Hakuna sehemu nimemsifia ila nakupa kanuni na imani ya wayahudi ,sio kila unayemuona yupo israel ni myahudi
 
Hivi unaelewa ninaposema "hawaamini injili?Au naongea na andazi hapa!!!
Wewe ndo liandazi likubwa kwani yesu kazungumzwa Kwenye injili tu hicho kichwa ni mzigo Kwa mwili wako.
 
Mbona Wayahudi wa Ethiopia - Ethiopian Jews- black jews hatuwasikii - au jews wa kizungu tu ndo wana-akili
Kuna jews wa kiarabu - mbona hatuwasikii - au wao sio jews?
Kuna jews wa hapohapo Israel ambao hawakwenda Ulaya - mbona wao hatuwasikii...????
Hao unawataja hapo karibia wote walikua na wapo nchi za watu, wametumia resources za watu wengine, wamefundishwa na watu wa mataifa - wote hapo ni either Germany, Poland, US, Russia n.k.
Mataifa yote yana watu wenye akili tofauti ni marketing na kujiweka mbele na ubinafsi.
Kuna wachina kibao wako US kama wanasayansi lkn hawajitangazi kama wachina wote wanajiita wa US tu..
Kuna picha ilisambaa sana ya timu ya vijana ya Olympic wote ni wa Asia/China au Japan....lkn wanajiita wa- US..wangekuwa Wayahudi wangeongea na kujinasibu na kujitambulisha kama Wayahudi na kujionyesha jinsi walivyohodari.
Nenda timu ya taifa ya Ufaransa..blacks wa kutosha..lkn huwaskii wakinasibu kama blacks kivilee au kijitajataja mataifa yao..Wangekuwa hao ni Wayahudi mngeleta nyuzi hapa kuonyesha jinsi walivyo genious wa mpira...
Leo hii Lionel Messi angekuwa Myahudi sipatii picha jinsi ambavyo angepambwa na kuwa mashuhuri kuliko hata alivyosasa..n.k.
Hao watu ni wakawaida tu - Sema ni wabinafsi sana wanaishi kimkakati -
 
Najua unaumia sana unaposikia tu Israel lakini acha tu ikuume maana huwezi kubadiri chochote kuhusu Israel na mafanikio yao makubwa waliyoyapata kama watu binafsi na kama nchi hawa watu huwezi linganisha na wewe Mmatumbi mwenzangu au nchi zetu hizi wao wako tofauti sana!! Nchi yao ni ndogo sana lakini wanatetemesha mataifa kwa ujuzi na utaalamu walionao iwe kiuchumi,Kijeshi au kwa teknolojia ni mjinga tu ambaye hatawatambua Israel katika nyanja za kiuchumi,Kijeshi na Tkenolojia. Duniani Kijeshi Iko vizuri sana ki teknolojia wako mawinguni juzi wametuonyesha kuwa Pager,Radio-call zinaweza na ziliweza kuwaangamiza mamia ya magaidi wa Hezboullah walipoanzisha “Operetion Beeper” huko Lebanon hiyo ni teknolojia Kijeshi hakuna Jeshi lolote duniani linaloweza kupigana na pande saba “Seven-Fronts” Israel wanaweza na wemeweza kuwapiga na wanaendelea kuwapiga magaidi wa Hamas,Hezboullah,Houthi,Syria,Iraq na Bwana wao Iran bila wasiwasi wowote na wote wanapigwa na wanakubali kuwa kweli wametandikwa. Kuna maneno na vineno waarabu wanavisema sana eti Israel bila marekani si kitu wanasahau kusema Hezboullah,Hamas,Houthi iraq na syria bila Iran si kitu pia. Hapa duniani hakuna Jeshi linaloweza kushinda bila msaada wa mwingine mfano Russia kwenye vita vyake na Ukraine pamoja na U- SUPAPAWA wake wa michongo anapewa misaada na Iran,China na Korea ya kiduku lakini hata hivyo bado tu anahangaika na Ukraine. Vivyo hivyo na marekani hawezi kupigana vita peke yake na kushinda vita.. kwa hiyo hivyo ni visingizio vya Sungura SIZITAKI MBICHI HIZO. Ukweli unabaki palepale Israel wako tofauti kabisa pamoja na kwamba dunia iko kinyume nao lakini uzuri Mungu yuko pamoja nao kwa hiyo wenye wivu acha tu wajinyonge!!!!!!
 

Attachments

  • IMG_0466.jpeg
    IMG_0466.jpeg
    181.2 KB · Views: 3
Hadi leo hujui kwamba jews hawatumii na hawaamini katika biblia wala ukristo ambao hawautaki hata kuusikia?
Acha kujifariji mbona kila leo hao wayahudi wananukuu aya za biblia tena agano la kale na jipya na sio hicho kitabu chenu cha vurugu?pamoja na kuwa nyumba zao za ibada mnadai ni misikiti!
 
Acha kujifariji mbona kila leo hao wayahudi wananukuu aya za biblia tena agano la kale na jipya na sio hicho kitabu chenu cha vurugu?pamoja na kuwa nyumba zao za ibada mnadai ni misikiti!
Waislamu hatujawahi kuwababikia jews hata siku moja kwani tunaamini ni watu wa hovyo tu ,ila nyie ambaye mungu wenu alisulubiwa na hawa jews ndio mmegeuzwa mazombi mkiwaita taifa teule, akili ni nywele
 
Ngoja nikuchambuwe moja moja:


Hapana, Albert Einstein hakuwa wa kwanza kuielezea na kuendeleza nadharia ya uhusiano (relativity), lakini alikuwa wa kwanza kuchapisha kazi yake juu ya mada hiyo:


  • Isaac Newton
    aliunda nadharia ya mechanics ambayo ilikubaliwa kwa zaidi ya miaka 200 kabla ya nadharia ya Einstein ya uhusiano.


  • Qur'an
    Baadhi ya aya katika Qur'an zinahusiana na nadharia ya uhusiano, ikiwa ni pamoja na Sura Al-Hajj 47, ambayo inasema, "Hakika siku moja kando ya Mola wako Mlezi ni kama miaka elfu kutoka miaka unayoihesabu."
Q
quran na ujinga wa jua kuzamia matopeni ni ujinga uliopitiliza.
 
Waislamu hatujawahi kuwababikia jews hata siku moja kwani tunaamini ni watu wa hovyo tu ,ila nyie ambaye mungu wenu alisulubiwa na hawa jews ndio mmegeuzwa mazombi mkiwaita taifa teule, akili ni nywele
Sawa wababaikieni walioteka bongo zenu kiimani na kitamaduni.Utumwa ni laana.
 
Sawa wababaikieni walioteka bongo zenu kiimani na kitamaduni.Utumwa ni laana.
Hatujawahi kuwababaikia race yoyote muhimu wote tuishi kwa kuheshimiana,na kukekemea ukandamizaji wa aina yoyote bila ya upendeleo
Wazungu wengi tena wote wakristo na wengine hawana dinj na baadhi ya jews wanapingana na sera za netanyahu, huwezi kuuwa watu wasiokuwa na hatia halafu unamsingizia mungu, mungu gani huyo anaopenda watu wauane?
Hata wao walivyofanyiwa na hitler dunia nzima ilisimama pamoja nao
 
Mbona Wayahudi wa Ethiopia - Ethiopian Jews- black jews hatuwasikii - au jews wa kizungu tu ndo wana-akili
Kuna jews wa kiarabu - mbona hatuwasikii - au wao sio jews?
Kuna jews wa hapohapo Israel ambao hawakwenda Ulaya - mbona wao hatuwasikii...????
Hao unawataja hapo karibia wote walikua na wapo nchi za watu, wametumia resources za watu wengine, wamefundishwa na watu wa mataifa - wote hapo ni either Germany, Poland, US, Russia n.k.
Mataifa yote yana watu wenye akili tofauti ni marketing na kujiweka mbele na ubinafsi.
Kuna wachina kibao wako US kama wanasayansi lkn hawajitangazi kama wachina wote wanajiita wa US tu..
Kuna picha ilisambaa sana ya timu ya vijana ya Olympic wote ni wa Asia/China au Japan....lkn wanajiita wa- US..wangekuwa Wayahudi wangeongea na kujinasibu na kujitambulisha kama Wayahudi na kujionyesha
Kuna jew wa kiethiopia (mwanajeshi) katunikiwa medali ya ujasiri na netanyau baada ya kutoa msaada mkubwa siku ya october 7-23 na kupunguza maafa.. alikimbia kutokea om kwake na rifle yake kilomita 8 hadi eneo la tukio kwenda kutoa tafu
 
Q
quran na ujinga wa jua kuzamia matopeni ni ujinga uliopitiliza.
Weka aya tukufundishe ulivyo mjinga. Siyo unaleta ujinga iuliojazawa nao kichwani.

SAya zingine zina manufaa makubwa kwako kukuondowa ukondoo, lakini hujijuwi, umjazwa ukondoo.

Wajinga kondoo ndiyo waliwao.
 
Hatujawahi kuwababaikia race yoyote muhimu wote tuishi kwa kuheshimiana,na kukekemea ukandamizaji wa aina yoyote bila ya upendeleo
Wazungu wengi tena wote wakristo na wengine hawana dinj na baadhi ya jews wanapingana na sera za netanyahu, huwezi kuuwa watu wasiokuwa na hatia halafu unamsingizia mungu, mungu gani huyo anaopenda watu wauane?
Hata wao walivyofanyiwa na hitler dunia nzima ilisimama pamoja nao
hata ya hitler ni uongo wa mazayuni kwa kiwango kikubwa.
 
Weka aya tukufundishe ulivyo mjinga. Siyo unaleta ujinga iuliojazawa nao kichwani.

SAya zingine zina manufaa makubwa kwako kukuondowa ukondoo, lakini hujijuwi, umjazwa ukondoo.

Wajinga kondoo ndiyo waliwao

Weka aya tukufundishe ulivyo mjinga. Siyo unaleta ujinga iuliojazawa nao kichwani.

SAya zingine zina manufaa makubwa kwako kukuondowa ukondoo, lakini hujijuwi, umjazwa ukondoo.

Wajinga kondoo ndiyo waliwao.
Tulia unaandika utadhani umeshika bomu lile lenye timer,mlivyoona linaishia baharini mkajua kwenye matope?
 
Watu wote tunaakil sawa ata wafrika tuna akil kuliko wazungu wasinge tutawala tungekuwa mbal sana
 
Back
Top Bottom