Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Hongera kwa kukiri hadharani msema kweli mpenzi wa Mungu, tubu haraka kwa kufanya uchafu huo kabla hujaondoka hapa duniani. Kha ajuza lini mbili zipo active umri huo?
Je, wewe ni shoga?
 
Wayahudi wanatukuzwa sana tuu ila sio kwamba wana akili peke yao. Biblia inasema kupitia
1korintho 1:22
"Kwa sababu Wayahudi wanataka ishara, na Wayunani wanatafuta hekima" kwa muktadha huu unaona wayunani ndio jamii iliyokua na akili na nikweli ndio jamii iliostaarabika na kugundua vitu vingi kuliko wayahudi.
 
Aisee umeandika kitu cha maana sana .. hiyo utumwa mpaka tuje kuumaliza kichwani mwa wa Tanzania ni shida. Mbaya zaidi ..kila siku walokole wanaeneza hizi propaganda za ukibariki isrel na ww utabarikiwa .cha kushangaza pamoja na kubeba bendaera yao unakutwa wamepauka kushinda mihogo ya kuchom
 
Mkuu ndugu zetu si ndo hawa wanaompelekea Mwamposa na kiboko ya wachawi pesa huku wao wakiendelea kutaabika? Bado ujinga ni tatizo kubwa kusini mwa jangwa la sahara.
Watakuja kusema mwamposa anachembe za kiyahudi ndo maana ana akili ya kuwarubuni watu
 
Hawana chochote, wanajituma sana na wana family support system. Sisi tunapwaya kwenye hayo.
 
Kwa nini unateseka ili hali ndo ukweli
 
Jamaaa wanqcheza na akili za watu ukiwa tajili unapewa uzayuni ata ww tafuta ela utakuwa zayuni ukitaka. Zayuni OG awakuwa wazungu tafuta ukweli, au baki zwazwa
 
Wengi huwa SI wayahudi ila walifanya jambo wazee wa propaganda huwa wanawanasibisha na uyahudi hata kunakipindi walijaribu kumnasibisha Bilgate na uyahudi lakini ikagoma
 
H
Hoja yako ya makuhani kutozalisha wanawake napinga mana ukitazama kanisa katoliki la roma ndio.taasisi kubwa ya kidini duniani yanye mfumo imara wa kiuongozi na kiuchumi na ni taasisi yenye infuence kubwa kwenye masuala mbalimbali ya kijamii na kisiasa maeneo mengi ulimwenguni.
 
Acha kudinganya wao wanaamini katika mungu mmoja ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa, wewe unaamini miungu mitatu na mungu wako wewe ni yesu ambao wao hawamuamini na walimsulubu
Unasema; wanaamini Mungu watatu,alafu unasema mungu wao ni yesu.
itakuwaje mtu aamini mungu watatu at the same time awe na mungu mmoja ambaye ni Yesu tu,na hao wengine watakuwa wamekwenda wapi sasa?.
Bure kabisa
 
Suala la kula nguruwe nayo sio hoja,hivi kuna nchi zinakula nguruwe kama uchina,japani ulaya na usa?


Na ndio nchi zenye nguvu kiuchumi na kiteknolojia,hili suala la kutokula nguruwe wala sio hoja.
 
Kitendo cha kutengeneza hizo unazozita internal confusions,ndio akili zenyewe sasa,kuna jamii ngapi duniani mbona wao wameweza kufanya hivyo?
 
Wayahudi wanaamini torati tu, na hata mungu wao sio yesu kama wakristo ,hata chakula chao wanakula halaal food kama waislamu ,wao wanaita kosher, na kwao nguruwr ni haram
WAyahudi hawali bata wala ngamia kwao ni halamu,we umeona nguruwe tu kasome mabo ya walawi 11 ndio utajua vyakula vipi ni halali na halamu kwa wayahudi na sababu zao ziku wazi.

Halafu waislamu wanakula nguruwe vizuri tu,ila mpaka kusiwe na chakula chochote,kwahiyo nguruwe haijawahi kuwa haramu katika uislam.
 
Bila shaka hao ni wafuasi wa pedophile
 
Nipe uzoefu wako katika imani hiyo ya kiyahudi.
 
Unamchukia Myahudi wakati umechomwa ndui yao
Akili za wavaakobazi ni akili zakushikiwa na pedophile,aliyeshindwa vita na wayahudi na kuikataa dini yake ya mchongo ndio akajenga chuki nao,wavaakobazi nao bila kuelewa hilo wameridhi adui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…