Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Hadi leo hujui kwamba jews hawatumii na hawaamini katika biblia wala ukristo ambao hawautaki hata kuusikia?
Tunashida sana watanzania sijui aliyewekeza Mwenye hili eno Alifsnya home yake vizuri Ila walokole ndo wametufikisha hapa kudhani Jew na christin ni vitu Vinavyofanana
 
Ndo elim yetu imefika hapa ya kuwatukuza wa Israeli wee na eu Nani Mwenye kuwatambua vyema hao watu mpaka ujiitie ienda wazimu hivyo eti taifa la mungu
 
Ndo elim yetu imefika hapa ya kuwatukuza wa Israeli wee na eu Nani Mwenye kuwatambua vyema hao watu mpaka ujiitie ienda wazimu hivyo eti taifa la mungu
 
😂😂😂😂😂😂
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
😂😂😂😂😂😂
 
Waislam wakianza kusoma Quran na hadithi vizuri na wakiacha kukaririshwa tafsiri na "Scholars" wao ndio watajua dini yao, kinyume na hapo wataendelea kukariri vitu vya juu juu tu.
Hivi unajua kwenye uislamu anaheshimiwa sana mtu mwenye elimu kubwa ya dini hata kama hana cheo chochote kwenye dini au hasomeshi elimu ya dini?
 
Akili kwenye uovu TU, kuua, kudhulumu ardhi, kugombanisha watu kuharibu utamaduni na mazingira ya wengine yaani sijawahi ona Hawa jamaa Wana jambo la maana zaidi ya ushoga mpaka jeshini
 
unakuwa na akili kisha unakuwa shoga vipi wewe unatamani mtoto wako awe kama Waisrael awe na akili kisha anatafunwa hiyo lost uliyokweka ni mashoga watupu.
Actualy hakuna relation between ushoga na smartness (genius).
Most of scientist hapo anzia akina einstein na wengine hawakuwa mashoga, na walikuwa na ndoa zao kabisa
 
Leon Trotsky wa urusi. Huyu muanzilishi wa dawa/sindano ya ganzi. Wako tu million 17 duniani lakini wanawajambisha kobaaz billion 2.
 
Wanaakili kama Wanyaturu
 
Hivi unajua kwenye uislamu anaheshimiwa sana mtu mwenye elimu kubwa ya dini hata kama hana cheo chochote kwenye dini au hasomeshi elimu ya dini?
Bado wapo zama za mawe hao wakianza kuhoji maandiko yao wao wenyewe bila kusubiri kufafanuliwa ndio wataona hiyo heshima wanayotoa haina maana.
 
Wana akili lakini wanashindwa kuwa konvisi akina takbiiiiri waishi kwa amani
 
Wana akili lakini wanashindwa kuwa konvisi akina takbiiiiri waishi kwa amani
Wanatukia akili hizo kwa ustawi wa taifa lao, mataifa mengine yanaruhusiwa ku iga lakini culture inq nguvu sana. Kuna mataifa wao culture za vurugu , visasi, kuto kuwa na amani ndio maisha yao. Huwezi badilisha jamii za aina hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…