Ipi siri ya Wayahudi kuwa na akili sana?

Wachina wana kula nguruwe sana tu
 
Haha Kuna msemo unasema ujanja kuwahi,
Wayahudi Wana umoja wa kufundishana elimu za siri (sihri) wao Kwa wao TU,

Na mafanikio Yako sirini
 
Eistein aliwahi kutam
Ka yeye mwenyewe binafsi kuwa ta gu Ulimwengu uumbwe, yeye ni mtu wa pili kwa akili baada ya Sir Isack Newton, LAKINI baada ya miaka 10 baadaye, timu ya wanasayansi maarufu Duniani, hawakukubakaiana naye. Wao walisema kuwa tangu Ulimwengu uwepo, Eistein ni mtu wa kwanza kwa akili. Na Sir Isack Newton ni wa pili.
 
Haha mkuu,
Ukifuatilia history ya kale utangundua wayahudi na Arab waliokuwa ni Wala nguruwe wakubwa sana, .

Sema during civilization na muingiliano ya jamii mbalimbali palizuka magonjwa mengi sana yakauwa jamii hizi za watu, .

Ndio wakamua kuachana na kula baadhi ya wanyama ambao wanashabisha magonjwa kama nguruwe,

Siuna waona wamaasai wao ni ngombe TU, hata ngiri hawataki kumgusa, wanahifia maradhi ya wanyama
 
Wayahudi wanaamini biblia bna usidanganye.Kuanzia kitabu cha mwanzo hadi Malaki hiyo wanaamini na kuvifuata pasi na kuacha hata nukta moja.Wao hawaamini injili tu.
Wayahudi wanaamini torati tu, na hata mungu wao sio yesu kama wakristo ,hata chakula chao wanakula halaal food kama waislamu ,wao wanaita kosher, na kwao nguruwr ni haram
 
Uyahudi ni Imani,huwezi kuwa na akili kwa kuwa mfuasi wa Imani Fulani au kutoka kabila Fulani,wayahudi wengi kiasili ni waturuki,wanasayansi wa kale na watu walioweka msingi wa elimu tuijuayi Leo hawakuwa wayahudi
 
Niliwahi kuambiwa kuwa wakati Wayahudi wakifanya gunduzi nyingi mbalimbali za Kisayansi na tekinolojia, kuna jamii fulani, kikubwa kabisa walichowahi kugundua ni biashara ya utumwa. Biashara ya kuwauza watu wenye ngozi nyeusi. Baada ya hiyo biashara kufutwa Duniani, sasa hivi wamegundua biashara ya kuuza viungo vya binadamu weusi, kama figo, moyo na ini. Wanawadanganya hao watu weusi kuwa kuna kazi. Hao watu weusi wakifika huko wanakaa na kufanya kazi ndogo ndogo, wanalishwa na kulala bure, huku wakipewa pesa ndogo ndogo ya kutuma nyumbani, wakiambiwa pesa yao ya mshahara watalipwa yote siku wanarudi nyumbani. Wanaishi bila ya kutambua kuwa hapo ni duka la viungo vya binadamu, na wao ndiyo bidhaa yenyewe. Akipatikana tu mteja, mmoja wa hawa watu weusi atapewa kitu cha kumfanya baadaye ajisikie kuumwa. Akisema tu anajisikia kuumwa, wenyeji wake wanajifanya watu wema sana, wanamchukua na kumfikisha hospitali kubwa ya kifahari, anapewa dawa, analala usingizi, wanatoa kiungo wanachokitaka, ndugu wanataarifiwa kuwa kijana wao amefariki akiwa anapokea matibabu. Ndugu wanapewa pesa nzuri kama pole. Kumbe ni asilimia ndogo sana ya aliyoipata kwenye mauzo. Unaambiwa bei ya figo moja ni kati ya dola 250,000 na 350,000. Kwa hiyo ndugu hata wakipewa pole ya dola 5,000 (TZS 12m), watabaki wanasifia wema wa waajiri wa ndugu yao aliyepotezewa uhai bila ya kujua ndugu yao amefanyiwa ushetani!!
 

Kwani hukuwahi kusikia binadamu wote ni sawa?

Kuwa na watu wenye mawazo kama yako ni hasara kubwa na hasa wasipokuwa CCM!
 
Hujajibu ulichoquote. Umejibu hisia zako juu ya ninachoamini.
Twende taratibu ,
wakristo wanamuona yesu ni mungu kweli si kweli?
Wayahaudi wanaamini mungu mmoja na yesu sio mungu ,kweli si kweli?
Wayahudi wanaamini kitabu ya torati, na wakristo biblia, kweli si kweli?
Wayahudi wanakula halaal food na nguruwe kwao ni haram ,kweli si kweli?
Sasa jijibu mwenyewe na angalia wakristo na wayahudi walivyokuwa tofauti kama mbingu ma ardhi
 

Mawazo duni kama haya yabakie CCM huko huko.

Mawazo duni kama haya ni laana!
 
Mbona mashoga waislamu wapo wengi sana hapa bongo na zenji na ndio wanaoongoza?!
Je, hio na tafsiri uislamu ni ushoga?
Kwa Tanzania, ushoga umeshamiri maeneo ya pwani na visiwani. Na haya maeneo inajulikana ni jamii gani inaishi.

Hata Kenya ushoga umeshamiri Mombasa. Inajulikana ni watu gani ni wakazi asilia wa Mombasa.

Pale Morogoro, wakati wa mfungo wa ramadhani, wachomaji wa kitimoto huwa wanalalamika sana. Utawasikia wanasema, sasa hivi biashara ni mbaya kwa sababu ya ramadhani! Yaani ina maana wateja wakubwa ni hao wanaofunga ramadhani kuliko sisi wengine?
 
Tena inapiga ile nyimbo ya 'Nionyeshe ugai gai utaahira'😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…