Ipi ‘style’ ya kushangilia goli inayokuvutia kwenye soka?

Ile ya kufumba macho kwa nguvu,kuachia mdomo wazi,kukaza makalio na kunyoosha miguu...
 
aaah hiyo style hatari.Siku Antonio anashangilia ukumbi mzima ulicheka.
 
P.Dyabala nyumbani watoto wanaikubaki hadi mm wakaniambukiza. Luis nani sarakasi yake ile. Cavani niliikubaki kpind yuko Napoli . Bafetimbi gomes staili yake ilkuwa inatisha watt sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…