Ipi tofauti ya Ibilisi, Mnyama na nabii wa uongo?

Msaada jamani kwa mwenye uzoefu ama ufahamu wa kutosha naomba nisaidie kujibu hili swali.

Je nitamjuaje nabii wa uongo?

Natanguliza shukrani.
Nabii wa uwongo ni yule anaye toa unabii wa uwongo simple as that
 
manabii wa ukweli ni wale waliolisha chakula watu wengi na wakashiba, inje ya hapo hamna nabii ila ni viinimacho
 
Biblia Imeandika Haya yote vizuri mno.

UKITAKA kujua ni kusoma Tena vitabu viwili tu.

DANIEL.

UFUNUO WA YOHANA.

HATA SIO MAMBO YA KUUMIZA KICHWA AU MAGUMU. UKISOMA LAZIMA UTAELEWA TU .

TATIZO ndio hivyo hamtaki kusoma
 
Ibilisi ni sheytwan/lucifer, mnyama ni ukatoliki na nabii wa uongo ni Muhamad
Una ushahidi gani wakujustify kauli yako au jaribu kufafanua tafadhali.

Pili kuna utofauti gani kati ya mohamedanism na popery?
 
Biblia Imeandika Haya yote vizuri mno.

UKITAKA kujua ni kusoma Tena vitabu viwili tu.

DANIEL.

UFUNUO WA YOHANA.

HATA SIO MAMBO YA KUUMIZA KICHWA AU MAGUMU. UKISOMA LAZIMA UTAELEWA TU .

TATIZO ndio hivyo hamtaki kusoma

Kwa kuwa unajua unaonaje ukitutegulia kitendawili cha uzi wetu juu ya nani hasa ni walengwa wa majina haya kama biblia ilivyowapa uhusika wa mnyama, nyoka na nabii wa uongo?
 
Ibilisi ni Shetani.

Mnyama ni UTAWALA WA kiselikali, UFALME.

NABII WA UONGO ni MWAMED.
Hapo kwa ibilisi na mnyama kulingana na sources kadhaa inaonekana ni kweli, ila hapo kwa Muhammed bado sikubaliani napo kwanini yeye na si Yesu?
 
no Alie mwongo, huongopa. sio ya kidunia.. Ipo hivi, wa Mungu atakuelekeza kwa Mungu bali wa uongo atakudanganya ili akupeleke kwa shetani
Swali ni kuwa unawatambua vipi ikiwa wote wanapayuka kwa jina la Yesu na wanaonesha kwa dhati kuwa wanaifuata njia iliyo ya haki?
 

Kwani neno "Nabii" lina maana gani?

Je, Yesu alijitambulisha kama nani kati ya majina haya; Mchungaji, mtume, nabii au mwalimu?
 
Utamtambua kupitia matunda yake. Je baada ya kuhubiri matunda yake ni yapi? Ni uzima au ni mauti.

Nabii wa kweli huongea neema na uzima kwa wana wa Mungu kwa imani ya Kristo.
Nabii wa uongo huongea habari za hukumu na mauti.

Karibu kwa swali lolote

Kwahiyo wale wanaotuhubiria kuwa tukitenda dhambi tutaishia kwenye hukumu ya moto ndiyo manabii wa uongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…