MR. IBU
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 1,380
- 2,965
tatizo mnaongea saana
Sasa wewe utaongea nini wakati huna chakuongea..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo mnaongea saana
Wewe unaishi Mars au?kama hujawahi kuona watu wanafanya kampeni uku wanazomewa ndo cdm sasa mwaka huu, wananchi hatuwataki
Sasa wewe utaongea nini wakati huna chakuongea..
Wananchi wa wapi Mars au?Maana watanzania wote tegemeo lao ni Lissu.wananchi hatuwataki baba
Wananchi wa wapi Mars au?Maana watanzania wote tegemeo lao ni Lissu.
Wale vijakazi wa uvcmm mbona walishtukiwa mapema mpaka picha zao ziliwekwa mitandaoni nakuuliza tena wewe unaishi sayari gani mbona kama mgeni duniani.baba ile video hujaona mbowe kaenda jimbon watu wote wanashangilia magufuli jamaa kazomewa anabaki kusema tulieni jaman, sasa sjui wananchi gan hao! kwa kifupi hatuwataki thats all
unaumwa wewe kampe mwenyewe kura magu alaaa!!Chadema bado ni wanaharakati siku mkiwa wanasiasa tutawapa nchi ila kwasasa tunachama kimoja makini nacho ni ccm na Magufuri ndio baba lao
2020 wananchi twende tukawaanyooshe hawa wanaharakati wanaopenda.shali kuliko maendeleo ya wananchi.
Mtatutaka tu octoberhatuwataki msilazimishe
usituhusishe wananchi, sema wewe humtakiwananchi hatuwataki baba,
Yes sababu Hana mtaji wa wananchi Bali dola,nchi haichukuliwi na dola Bali nguvu ya umma.Check Lipumba anamiliki chama amekufa nacho Maalimu ana mtaji wa watu ACT imara visiwani na Cuf ni historia.Sioni namna Magufuli atamshinda Lissu mwaka huu
Hahaa na wazalendo wa WbCLisu ndie mzalendo halisi kwa kupigwa kwake risasi watz tunapona, achana na wazalendo wa tbc
Magufuli atavuna jeuri yake ya kupiga mashagazi na kubomoa nyumba za watu kisa hawakumpigia kura. sasa kama alifikiri mtu mzima anatishwa kwa kufokewa mwaka huu watu wazima watamwambia kuwa wanataka kuongozwa na sio kutawaliwa. kama ni kutawaliwa tulisha tawaliwa na wakoloni. sasa tunataka kuongozwa kwa kushirikishwa katika maamuzi yote ya maisha yetu.
Lissu hakuwa Ubelgiji kushangaa maghorofa. Inafact ile ilimpa muda mrefu wa kujipanga kwa utulivu kuliko angekuwa hapa akishinda mahakamani.Umetoa facts tupu kwa asilimia 100
Waache hao CCM wajipe matumaini makubwa, wakati katika hali halisi nafsini mwao wanajua wazi kuwa wataangukia pua!
Atunywi pombe tena yatoshaHahaa na wazalendo wa WbC