Uchaguzi 2020 Ipo mifano hai kuwa Lissu atashinda Urais 2020, CCM tusijipe matumaini nawaambieni

Mkuu una ushahidi na haya uyasemayo juu ya lissu???
 
Uchaguzi huu ni mgumu sana kwa CCM...naona JPM akitangazwa na Tume yake ya uchaguzi kwamba ni Mshindi ...na Lissu akitambuliwa na mataifa yote makubwa duniani kama ni mshindi.

Hapa ndipo tutakapoanza kuheshimiana.
 
CCM wamehamia kwenye hoja ya wakala wa Mabeberu ila imeshapatiwa majibu hapa 👇


Dhana ya Ubeberu na Siasa za Tanzania
CCM wamejichanganya wenywe hii mitano wametengeneza maadui wengi kuliko marafiki Serekali tangu wameingia hawalipi madeni kuazia mifuko ya kijamii tenda za serekali wakandalasi wakulima wafanyakazi miaka mitano wanahakiki madeni wanajipa matumaini ya kumshinda Lisu endelea kuhakiki madeni hapa kazi tu .
 
Hakuna aliye zaliwa na uzoefu wa jambo lolote bali ujifunzia hapa hapa duniani.

Hivyo hilo suala la uzoefu halina nafasi
Huu ndio ushabiki sasa ambao tunaupinga hapa.

Ni nani utamueleza kwamba experience doesn't matter???
 
Umetoa facts tupu kwa asilimia 100

Waache hao CCM wajipe matumaini makubwa, wakati katika hali halisi nafsini mwao wanajua wazi kuwa wataangukia pua!
Labda kama hio tume iliandaliwa toka Ufipa
 
Be blessed
 
Mbona magufuli ana experience kubwa tu kwenye kushindwa,hawezi hata siku moja kushindana
 
Umeeleza vema kabisa ahadi mambo niliyokuwa siyajui.

Inaonekana Madiwani wa Lissu wako kama Lissu tu. Hawana bei.
Nyumba imara inatokana na msingi wake. Nina imani kugombea Lissu urais utampa wakati mgumu sana Nchemba. Wanasingida wataitisa CCM kumbariki ndugu yao. Hata Nchemba mwenyewe angetegemea Wanasingida wampigie kura kama angepata nafasi ya kugombea. Halafu siwezi kuamini kama Nchemba kweli hakuenda kumuangalia ndugu yake alipolazwa! Atalipa 28/10/2020.
 
Kitendo cha Lisu kurudi Bongo na akaachwa watu wampokee kwa Mikusanyiko ya watu wengi na maandamano pale Airport ni ishara tosha kuwa hata watu wa kitengo wanataka kumkabidhi nchi. Na mgombea yeyote akishakubalika na hiki kitengo huwa biashara imeisha.

Pia kuna viashiria vingi vinavyoonyesha kuwa utawala wa serekali ya Magu unamapungufu mengi ya kiutawala na kupelekea nchi kutoeleweka inaelekea wapi.

Tukiacha propoganda pembeni. Ukimuondoa Hayati Nyerere, Kiukweli Lisu ana sifa nyingi bora, murua na stahiki kuliko marais wote waliowahi kiongoza nchi hii. Hata Kikwete aliwahi kusema wakati wa kampeni kuwa ni heri W. Slaa awe Rais kuliko Lisu kuchaguliwa kuwa Mbunge maana huyu jamaa ni kichwa hasa.
 
Kwa uchaguzi wa Oktoba, Magufuli akishinda ni kwa hisani ya tume yao tu na sio zaidi ya hapo.

Watanzania hawapendi ubabe na Magufuli ana hulka ya ubabe na sio mtu reasonable na pia ana unafiki mwingi sana pamoja na usanii wa kupika takwimu.

Kwa kweli hana lolote na hana karama ya uongozi. He is just a political opportunist.
 


Plus Tito Magoti.😭😭😭
 
Haya kalie hiyo 7000 yako kivulini...
 
Tutaendelea kusoma tu kwa jinsi gani mnavyojifariji. Uchaguzi wa uraisi hamtashinda, Kule kwenye ubunge ndio pa kuweka nguvu.....
HUna tofauti ya kimawzo na mabibi na mabubu waliokuwepo enzi za chama kimoja, duka la kijiji nk. Mambo yamebadilika mkuu wapiga kura wengi mwaka huu si wale wa enzi za chama kimoja, wengi wamezaliwa ama kukulia katika mfumo wa dot com na vyama vingi. Hebu fikiri ITV wakizima sauti,kwenye mitandao ya kijamii sauti inapatikana vizuri tu. TBC ikigeuzwa mali ya ccm lakini kwenye social media tunapata taarifa nyingi zaidi zikicover vyama vyote kuliko hizo ta tbc-ccm
 
Hakuna uchaguzi rahisi kwa CCM kama mwaka huu! Uchaguzi mgumu ulikuwa 95 ya kina mrema na 2015 ya Edo! TL wala hatishi kwa Magu
mdharau mwiba.....,sihesabii Kama 95 ulikuwa mgumu coz Yule alikuwa pandikizi na huku wananchi wakiwa wameichoka kweli ccm,so let's see awamu hii mfugaji kamua kuchunga mwenyewe mifugo yake kuelekea machungani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…