Ipo sababu moja tuu itakayomfanya mwanaume amsamehe mkewe endapo atamfumania akiwa kwenye tukio

Kwa hiyo inawezekana Bishop naye ana matatizo tajwa hapo juu? maana alisema hata akimkuta red handed atamsamehe
Kauli ya Masanja ni kuwaziba mdomo wachambawima washika bango wa mambo ya watu.

Masanja anaweza kuja kumuacha Mke wake baadaye kwa kosa lingine na wala siyo la uzinzi.

Masanja kumuacha Mke wake Sasa hivi ilikuwa ni kuwapa ushindi wa goli 3 na point 3 wanafki na vizabina waliojaa roho mbaya kazi kufuatilia maisha ya watu.
 
Una uhakika tunaweza? Mbona unatusemea.
 
Nenda shule ujifunze zaidi. Huwezi kuelimisha jamii kwa vitu usivyovielewa kiundani na bila tafiti.

Kuna mahala uliambiwa mapenzi hayafanyiwi tafiti? Very insane
 
Wewe ni Taikoni Ma tako. Muulize baba yako kamsamehe mama yako mara ngapi kabla ya kuandika huu ushuzi wako. Ndoa sio kitu rahisi kama unavyodhani... mwanamke anaweza kugongwa kwa sababu ndogo sana. Siku ya harusi karibu kila mtoa nasaha husema ndoa ni uvumilivu unadhani ni kwa bahati mbaya? Futa huu ushuzi ulioandika
 
Una uhakika tunaweza? Mbona unatusemea.

Yaani wewe utoe Draw na Mumeo?
Hiyo haitokaa itokee maisha yako yote.

Kitendo cha kusema umetoa Draw na Mumeo tafsiri yake Kwa Wakubwa ni kuwa umemshinda Mumeo,

Sijui Kama unaelewa mantiki ya kinachozungumzwa hapa,
Yaani ni Sawa Timi ya Mpira ya wanawake icheze na timu ya Mpira ya wanaume. Alafu matokeo yatoke 1-1. Hapo automatically hiyo sio Draw Bali Tiny ya wanawake ndio imeshinda.
 

Sasa hasira zako za nini?

Kwani nimesema mwanamke hagongwi?
Nimeeleza kingine unatoa hoja zingine.

Hasira zako zinataka kuelezea Jambo ambalo Sisi hatutaki kulifahamu kutoka kwako
 
Nenda shule ujifunze zaidi. Huwezi kuelimisha jamii kwa vitu usivyovielewa kiundani na bila tafiti.

Kuna mahala uliambiwa mapenzi hayafanyiwi tafiti? Very insane

Mpaka nimeandika hapa ujue nimeshafanya huo utafiti/uchunguzi.
Ndio nikasema nawe kafanye uchunguzi/utafiti au jifanyie utafiti wewe mwenyewe alafu ukiona majibu yanakuja tofauti na nilivyosema nimekuruhusu nitukane utakavyoweza wala sitokushtaki na wala hutokuwa na hatia nami.

Mihemko yako haitaondoa ukweli wowote
 
Uko vizuri asante Kwa ushuhuda wa kiume haswaa. Niweke angalizo kidogo nguvu za kiume ni relative term Hazina one to one dimension, nawakumbusha wanaume kuridhika na kushiba ni mapokeo nafsi ya mtu na Radha yake, sex ni blind folded game, sio pre participatory with prior satisfying indicators, Please I urge men kujikubali, anaejua kuridhika ni mlaji, mpokeaje, na ndimi hazifanani, unless customers tell their needs that when you can be sure of satisfying them, the production is preditermined by the customers' needs. The why aspects of life inaonekana ni tatizo Kwa watu wengi. Most men we date women that don't naturally love or attracted to us, hisia na utayari wa mwili Kwa ushiriki na mshirika ni hoja sana. Women wako wazi wanakwambia nikiwa kimapenzi hata hug na busu na mpapaso nakojoa, bila hisia na sikupendi hata uwe na boro refu na utumie madakika haina, sex for money, mood, love, need for sex, preferences during sex, stress.

If we agree commonly that women are naturally objects for men sexual satisfaction hio pia ni agenda yake.

Wanawake wanawajibu wa kujiandaa kushiba na kuridhika wao kama wao kimwili kiakili na kiroho ndipo mwanaume ajazie.

Women are skillful and intelligent kusema uongo ili ajitetee, ajisafishe, amdhalilishe mwanaume ni kawaida sana, they know what to say inorder to win the public defence or public sympathy.

Tendo la ndoa sio kila kitu katika maisha, siwezi kuogopa aibu kisa pressure, kisukali, sijui ugonjwa gani, Bora uishi mwenyewe kuliko kudhalilika.

Life is an enroute to hell or heaven, thus there is always a destiny for every step.

Kuridhika kingono kunaanza na nafsi,roho, na mwili wa kila mshiriki,na ni wajibu wa kila mshiriki kuwa na utayari wa hilo vigezo vya shine na kuridhika view sehemu ya maongezi kiutamaduni.

"A man's self-imposed prison is trying to compete with the infinity horizon" This my own created, quote Mwanamwaiche whenever used by anybody.
 
Sijaona sababu za kimalez ya watoto hapo inawez kuchangia na sababu za kiuchimu kama mwanamke amekuzd kiuchumi
 
Mimi "nimeupenda" uandishi wako.Kwa sababu:-
-haujui lugha ipi utumie(iwe moja nyoofu),
-mbwembwe nyingi hadi unatoka relini,
-hoja za taikon zimekusisimua hadi ukadhani unapiga naye soga uso kwa macho,
-ukasahau kuja na "dikshonare"!
-πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hapana Robert,

Hapana mahala nimekutukana personally na siwezi asilani. Nilichofanya ni kushambulia hoja yako ambayo naiona ina mapungufu makubwa.

Kuwa mwandishi bora ni pamoja na ku-integrate mambo mbalimbali kwenye thinking. Hata Mwenyezi Mungu alitambua kwamba wanadamu wote hawawezi kuwa wake kwa sababu ya free will ya binadamu.

Kukubali makosa ya kiuandishi na kuweka utayari wa improvement humfanya mwandishi kuwa very exceptional.

Jf ni forum ambayo ni very diverse, kwa kujumuisha watu wenye skills mbalimbali. The point here ni jinsi ya kuufanya uandishi kuwa credible, sound, and reliable.
 

Wewe unaakili Sana.

Amejibu vizuri, hata hivyo waliotarajia Masanja atamuacha mkewe sasa hivi walikuwa hawajafikiri vizuri.

Kingine huwezi muacha Mkeo Kwa maneno ya kuambiwa au Kwa meseji za kwenye simu ambazo hazionyeshe moja Kwa moja Pasi na Shaka kuwa Mkeo anacheat.
 
🀣🀣🀣
Ukweli mchungu
 
Huyo Taikon mshamba mmoja tu
 
Ni maoni yako nayapokea itahitajika miaka mingi kuelewa kwa nini nimeongeza mawanda katika ujumbe wa Robert. Self-imposed slavery and syndromic closure of mind, stereotype ni adui wa uelewa.
 

John nakuomba fanya uchunguzi alafu ukirudi hapa naomba uje unikosoe hata ukiweza unitukane Kwa kuandika Utumbo au Pumba.
Sina sababu ya kufanya hivyo.

Mimi nimekaa na watu wazima WA namna mbalimbali, nimefanya uchunguzi hivyo nilichoeleza ninauhakika nacho.

Hivyo kafanye utafiti au hiyo Hali ikutokee ndio utaelewa andiko langu.
Vinginevyo utake tubishane tuu hapa.
 
Kuna siku unaandika madini then nyingine mautumbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…