Ipo sababu moja tuu itakayomfanya mwanaume amsamehe mkewe endapo atamfumania akiwa kwenye tukio

Ipo sababu moja tuu itakayomfanya mwanaume amsamehe mkewe endapo atamfumania akiwa kwenye tukio

Mpaka nimeandika hapa ujue nimeshafanya huo utafiti/uchunguzi.
Ndio nikasema nawe kafanye uchunguzi/utafiti au jifanyie utafiti wewe mwenyewe alafu ukiona majibu yanakuja tofauti na nilivyosema nimekuruhusu nitukane utakavyoweza wala sitokushtaki na wala hutokuwa na hatia nami.

Mihemko yako haitaondoa ukweli wowote
Ulichoandika ni ukweli, umesema sababu sahihi kabisa, kama husimamishi sasa una hiyari kumwacha mkeo au ukae nae ila lazima achepuke. Hivyo utakaa nae kama msaidizi tuu na siyo sexmate. Si unaona mfano wa yule viti maalum na "vp"? Jamaa Kazaa nae 2 na bado yuko kwa mumewe sababu mume hasimamushi.
Kuna sababu nyingine za kusamehe ila uliyosema ndo main reason.
 
Kumsamehe kisa huna uwezo wa kumtosheleza, hapa mfano unaumwa au dosari yoyote, Kwa kuwa maisha si ngono tu ndani ya ndoa basi kumsamehe yaweza kuwa kulinda maslahi mengine zaidi, Kwa hio anaibeba maumivu ya kusalitiwa ili tu alinde maslahi mengine kama Mali, maisha ya watoto, labda anaumwa hivyo kuuguzwa na matunzo. Opportunity cost.

Hiyo ni Sawa ujifanye umemsamehe mtu ambaye amekupiga na humuwezi hivyo itakubidi tuu. Huo sio Msamaha, na ndio hicho ninachokizungumzia hapa
 
Mwanamke anapocheat haimaanishi anayekucheat ananguvu kukushinda, nop!
Anaweza kuwa anaenda kubadilisha Taste, au kukukomoa, au sababu hiyo uliyoisema(mumewe Hana uwezo).

Ila kinachozungumziwa hapa ni Kumsamehe mchepukaji.
Huo ndio mziki mnene kuliko hata kumfumania
Yataka moyo sana hata kama ulikuwa haumkazi vizuri,kuna wivu fulani hv utakujia tu na utashangaa kasauti cha sheitwan kinakuja hapo hapo kinakuambia kimoyomoyo 'usiwe boya wewe mtie kilema cha maisha',unajikuta umefanya jambo hadi jamii nzima inakushangaaaa
 
Ulichoandika ni ukweli, umesema sababu sahihi kabisa, kama husimamishi sasa una hiyari kumwacha mkeo au ukae nae ila lazima achepuke. Hivyo utakaa nae kama msaidizi tuu na siyo sexmate. Si unaona mfano wa yule viti maalum na "vp"? Jamaa Kazaa nae 2 na bado yuko kwa mumewe sababu mume hasimamushi.
Kuna sababu nyingine za kusamehe ila uliyosema ndo main reason.

Na ukisema umfukuze, unaogopa kuoa mwingine Kwa maana aibu yako itakuwa dhahiri na mashahidi WAWILI.
Ni Bora uwe na huyohuyo Mkeo hata pakiwa na Skendo bado ushahidi wa mtu mmoja ni ngumu kuaminika. Tofauti wanawake zaidi ya wawili waseme Jambo hilohilo
 
Kwa hiyo ndio kusema Hayati Katibu alimzidi nguvu baba mchungaji wake??
Heriel kasema kweli, kama mchungaji nguvu hamna atasamehe ila atagongewa tuu baadae, sasa unategemea Monica akae na nyege maisha yote yaliyobakia?
 
Kwa uchunguzi wangu wa kiintelijensia inaonyesha Mchungaji ni dhaifu (hapeleki moto)
 
Ujinga ni huu unaoanika upumbavu wako hapa... kwamba watu waachane bila kujali consequence kwa familia na jamii... idiot unaedhani bilblia ndio mwongozo wa maisha kwa kila mtu
Naona kichwa yako ishaanza kuchemka mapema asubuhi!
Pole!
 
Hiyo ni Sawa ujifanye umemsamehe mtu ambaye amekupiga na humuwezi hivyo itakubidi tuu. Huo sio Msamaha, na ndio hicho ninachokizungumzia hapa
Kwa asili nikianza na mimi kuchapiwa sina msamaha kabisa ni never, nikipretend ujue ntamuua kwa sumu au kama ni Gari nalegeza nati. Kama tuna Mali na ananicheat ntamuua tuu kmya kmya kwa long-term strategy, au medium potassium strategy, potassium naikubali haina mzaha
 

Attachments

  • IMG-20221007-WA0011.jpg
    IMG-20221007-WA0011.jpg
    32.1 KB · Views: 13
Yataka moyo sana hata kama ulikuwa haumkazi vizuri,kuna wivu fulani hv utakujia tu na utashangaa kasauti cha sheitwan kinakuja hapo hapo kinakuambia kimoyomoyo 'usiwe boya wewe mtie kilema cha maisha',unajikuta umefanya jambo hadi jamii nzima inakushangaaaa

NDIO maana hata Sheria za nchi zikaruhusu Talaka ikiwa sababu ni ugoni.
Kumvumilia Msaliti Mungu mwenyewe ilimshinda😂😂
 
Na ukisema umfukuze, unaogopa kuoa mwingine Kwa maana aibu yako itakuwa dhahiri na mashahidi WAWILI.
Ni Bora uwe na huyohuyo Mkeo hata pakiwa na Skendo bado ushahidi wa mtu mmoja ni ngumu kuaminika. Tofauti wanawake zaidi ya wawili waseme Jambo hilohilo
Wanaume wafundishwe kujikubali regardless of the situation. Maisha ndio haya haya. Hasira haifai unasimamisha na unakojoa haipaswi kuwa mnyonge siku hizi vitombo vya elfu2, 3 vipo tu ache aende utanunua maisha yaendelee.
 
Sasa taikoni, kwaio unataka kusema yule kaka mchungaji wa fili-firii chachi ana kasoro ndo maana kasamehe lile tunda kumegwa?🤔
Tafuta msumari ugongelee mwnyew 🔨 , Taikon amemaliza kila kitu.

Huo ni ukweli mchungu.
 
Kwa asili nikianza na mimi kuchapiwa sina msamaha kabisa ni never, nikipretend ujue ntamuua kwa sumu au kama ni Gari nalegeza nati. Kama tuna Mali na ananicheat ntamuua tuu kmya kmya kwa long-term strategy, au medium potassium strategy, potassium naikubali haina mzaha

Ndio maana hata dini na sheria za nchi zikatoa mlango wa kutokea kupitia Talaka.
Unafikiri kuishi na Msaliti mchezo,

Ogopa kitu ambacho kilimshinda MUNGU MKUU.
Kama Mungu alishindwa kuishi na Wasaliti wewe binadamu utaweza?
 
Ulichoandika ni ukweli, umesema sababu sahihi kabisa, kama husimamishi sasa una hiyari kumwacha mkeo au ukae nae ila lazima achepuke. Hivyo utakaa nae kama msaidizi tuu na siyo sexmate. Si unaona mfano wa yule viti maalum na "vp"? Jamaa Kazaa nae 2 na bado yuko kwa mumewe sababu mume hasimamushi.
Kuna sababu nyingine za kusamehe ila uliyosema ndo main reason.
But I think it's also automatic kama nimepoteza hisia au kusimamisha mashine nadhani hata hisia za wivu hamna tena huwezi kuumia Kwa sababu utakuwa umejikubali na unaacha mke aendelee na raha zake maisha mengine yaendelee. Inapaswa kuwa hivyo.
 
Ndio maana hata dini na sheria za nchi zikatoa mlango wa kutokea kupitia Talaka.
Unafikiri kuishi na Msaliti mchezo,

Ogopa kitu ambacho kilimshinda MUNGU MKUU.
Kama Mungu alishindwa kuishi na Wasaliti wewe binadamu utaweza?
Haya maisha hayataki hasira imagine wewe ujigambe unajua kupiga shoo, na mimi vivyo hivyo, na wakati huo hatuna kipimo ila sote twajigamba, na judges ni wanawake ila tunajisifu sisi, hivi demu akidanganya unaweza ili hali anajua humtoshei si bado tutajigamba. Wallahi mi hasira na K sinaga tena najilia vyangu kimpango wangu naendelea na maisha.
 
Kwa asili nikianza na mimi kuchapiwa sina msamaha kabisa ni never, nikipretend ujue ntamuua kwa sumu au kama ni Gari nalegeza nati. Kama tuna Mali na ananicheat ntamuua tuu kmya kmya kwa long-term strategy, au medium potassium strategy, potassium naikubali haina mzaha
Embu ongezea nyama hapa kwenye potassium[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Haya maisha hayataki hasira imagine wewe ujigambe unajua kupiga shoo, na mimi vivyo hivyo, na wakati huo hatuna kipimo ila sote twajigamba, na judges ni wanawake ila tunajisifu sisi, hivi demu akidanganya unaweza ili hali anajua humtoshei si bado tutajigamba. Wallahi mi hasira na K sinaga tena najilia vyangu kimpango wangu naendelea na maisha.

Kipimo kikubwa ya kupiga shoo ni kumkojoza mwanamke, vingine vyote ni mbwembwe.

Na ili umkojoze mwanamke zipo Factors nyingi lakini factor kuu ni uume kusimama vyema na muda wa mwanaume kukojoa.
Mwanaume anayechelewa kukojoa anaposibiliti ya kumkojoza mwanamke tofauti na Yule wa dakika moja.
Ingawaje itampasa mwanamke awe na Hisia na wewe, hiyo ni factor muhumu pia
 
Kwa mchepuko si atatumia madawa Sheikhe!😊😊
Na hakutani naye mara Kwa Mara.
Mke utatumia hizo dawa kila siku?
Mkeo anaweza kukukurupusha usiku anataka alafu hujatumia dawa itakuwaje?
Robert sex performances are so linked and connected, also carries with the type of a woman you have believe it.

Sijui nisemeje ila nimefanya lab experiment kwangu mwenyewe, nikiwa na Neema, Pili, Naomi, Mkibosho, Msagara, Mjita, Mzaramo, Mkaguru, Mluguru, Myao, Mromboo, Another Mkaguru, Mzigua, Mngoni, Msambaa, Mbondei, Mkunya, Mjikenda, Mhehe. Performance hazikufanana na mrejesho wa utamu varried across these women.
 
Back
Top Bottom