Ipo sababu moja tuu itakayomfanya mwanaume amsamehe mkewe endapo atamfumania akiwa kwenye tukio

Ipo sababu moja tuu itakayomfanya mwanaume amsamehe mkewe endapo atamfumania akiwa kwenye tukio

Kwa hiyo ndio kusema Hayati Katibu alimzidi nguvu baba mchungaji wake??
 
Huyo Taikon mshamba mmoja tu
Huyu mdau anachukia inaponitokea kufanya kiswanglishi kiuandishi hajataka kujikita kuelewa mantiki yangu ya kuukataa huu utumwa na sumu inayosumbua wanaume kuwa watumwa wa kuitwa hawana nguvu za kiume, wakati nguvu za kiume hazijawahi kuwa uniform Kwa kila mtu.
 
Nguvu za kiume ndo mwanamke acheat? seriously? cheating kwa mwalnamke Haina justification,ameolewa atulie Ana nguvu au Hana ndo wa kwakoo zipo njia nyingi za kuridhishana...
Ni ujinga kutetea cheating

Hatutetei Cheating Ila tunaelezea sababu kuu itakayomfanya mwanaume amsamehe mwanamke aliyecheat.

Kisheria, mwanaume Kama Hana nguvu za kiume ni ruhusa Kwa mwanamke kuomba Talaka,
Ila kinachofanywa na baadhi ya wengi ni mwanaume anaweza kuomba mkewe amvumiilie tuu na kumstiri na fedheha hiyo.
Sasa unafikiri Mwanamke atakaa miaka nenda Rudi bila kujiburudisha kisa kumstahi mumewe, jibu ni hapana,
Sasa ndipo hayo mambo ya kusamehe na kuvumilia yanapojitokeza.
 
Huyu mdau anachukia inaponitokea kufanya kiswanglishi kiuandishi hajataka kujikita kuelewa mantiki yangu ya kuukataa huu utumwa na sumu inayosumbua wanaume kuwa watumwa wa kuitwa hawana nguvu za kiume, wakati nguvu za kiume hazijawahi kuwa uniform Kwa kila mtu.

Mkuu suala la nguvu za kiume ni propaganda kubwa inayoendelea lakini haimaanishi tatizo Hilo halipo katika jamii
 
John nakuomba fanya uchunguzi alafu ukirudi hapa naomba uje unikosoe hata ukiweza unitukane Kwa kuandika Utumbo au Pumba.
Sina sababu ya kufanya hivyo.

Mimi nimekaa na watu wazima WA namna mbalimbali, nimefanya uchunguzi hivyo nilichoeleza ninauhakika nacho.

Hivyo kafanye utafiti au hiyo Hali ikutokee ndio utaelewa andiko langu.
Vinginevyo utake tubishane tuu hapa.
Robert usisahau kusoma observations zangu kisha utie neno, tafakari kisha weka neno.
 
Leo nakupinga kwa 100%.
Msamaha hauna kanuni.
Mwanaume anaweza kumsamehe mke anayecheat kwa sababu mbalimbali kama vile.

1. Kuangalia future ya familia (watoto n.k)
2. Good experience na huyo mke huko nyuma
3. Mazingira yaliyopelekea kucheat
4. Nyadhifa za kijamii ,kiroho, n.k

Sababu ni nyingi mno and they are all so subjective.

Kuna watu kibao wanajua mpaka ‘madanga’ ya wake zao na wameamua kuchill tu. Si kila mtu ana wivu na roho ya fukuza-fukuza.

Kumsamehe mke ambaye amecheat hakukupunguzi uananume.

Burudika na nyimbo kama vile Boss ya Ferooz, Madanga - Major Kunta (I guess) na Roho yangu ya Rich Mavoko.
 
Kwa hiyo ndio kusema Hayati Katibu alimzidi nguvu baba mchungaji wake??

Mwanamke anapocheat haimaanishi anayekucheat ananguvu kukushinda, nop!
Anaweza kuwa anaenda kubadilisha Taste, au kukukomoa, au sababu hiyo uliyoisema(mumewe Hana uwezo).

Ila kinachozungumziwa hapa ni Kumsamehe mchepukaji.
Huo ndio mziki mnene kuliko hata kumfumania
 
Naongezea kuwa yanayoweza fanya mwanaume asemehe mkewe kuliwa mojawapo ni kama ifuatavyo
1.Uzito wa kugawana mali
2.Siri za ndani za mwanaume azijuae Mwanamke ambazo zikitoka zitasababisha rapid Fall kwa mwanaume haswa kiuchumi
3.Mwanaume kukithili kuchepuka mpaka fumanizi kazaa kunaswa hivyo huona kuchepuka kwa mkewe ni kisasi na anastahili.
4.Ongezea yako
 
Sijaona sababu za kimalez ya watoto hapo inawez kuchangia na sababu za kiuchimu kama mwanamke amekuzd kiuchumi

Hizo ni sababu ndogo Kwa mwanaume anayejiweza.
Ingawaje naungana na wewe wapo watu Kwa nje wanaonekana wapo pamoja lakini wakiwa nyumbani wamegawana vyumba
 
Naongezea kuwa yanayoweza fanya mwanaume asemehe mkewe kuliwa mojawapo ni kama ifuatavyo
1.Uzito wa kugawana mali
2.Siri za ndani za mwanaume azijuae Mwanamke ambazo zikitoka zitasababisha rapid Fall kwa mwanaume haswa kiuchumi
3.Mwanaume kukithili kuchepuka mpaka fumanizi kazaa kunaswa hivyo huona kuchepuka kwa mkewe ni kisasi na anastahili.
4.Ongezea yako

Kweli kabisa.
Hivyo watasameheana tuu mbele za watu lakini wakiwa nyumbani wamegawana vyumba Kama nyumba ya kupanga
 
Huyu mdau anachukia inaponitokea kufanya kiswanglishi kiuandishi hajataka kujikita kuelewa mantiki yangu ya kuukataa huu utumwa na sumu inayosumbua wanaume kuwa watumwa wa kuitwa hawana nguvu za kiume, wakati nguvu za kiume hazijawahi kuwa uniform Kwa kila mtu.
Sure
 
Mwanamke anapocheat haimaanishi anayekucheat ananguvu kukushinda, nop!
Anaweza kuwa anaenda kubadilisha Taste, au kukukomoa, au sababu hiyo uliyoisema(mumewe Hana uwezo).

Ila kinachozungumziwa hapa ni Kumsamehe mchepukaji.
Huo ndio mziki mnene kuliko hata kumfumania
Kumsamehe kisa huna uwezo wa kumtosheleza, hapa mfano unaumwa au dosari yoyote, Kwa kuwa maisha si ngono tu ndani ya ndoa basi kumsamehe yaweza kuwa kulinda maslahi mengine zaidi, Kwa hio anaibeba maumivu ya kusalitiwa ili tu alinde maslahi mengine kama Mali, maisha ya watoto, labda anaumwa hivyo kuuguzwa na matunzo. Opportunity cost.
 
Back
Top Bottom