Ipo sababu moja tuu itakayomfanya mwanaume amsamehe mkewe endapo atamfumania akiwa kwenye tukio

mbona huu uzi kama umekaa kikukandamizakandamizaaaaji hiviii , duh haya ngoja wenye CV zao waje kwenye uzi nadhani mtawaelewa tu vyema
 
Ukitaka kuenjoi life, tafuta mwanaume goigoi, alafu Ajue kabisa hakuwezi kitandani nakuambia utampeleka vyovyote utakavyo, hata ukimuambia aoshe vyombo ataosha.
Limbwata litasingiziwa tuu Ila tuliosoma Cuba tunaelewa hiyo Scene
Mi nataka aniweze....
 
Sex is like a multiple linear equation
 
Ni ujinga mkubwa Sana kuishi na mwanamke/Mwanaume msaliti kwa Sababu kama ukisamegw mwisho wake mtakuja kuuana .Hata Rais mtaafu wa south Africa marehemu Mandela alimpa talaka Winie Mandela kisa usaliti.
 
Ni ujinga mkubwa Sana kuishi na mwanamke/Mwanaume msaliti kwa Sababu kama ukisamegw mwisho wake mtakuja kuuana .Hata Rais mtaafu wa south Africa marehemu Mandela alimpa talaka Winie Mandela kisa usaliti.


😂😂😂
Jamaa aliwasamehe makaburu lakini akashindwa kusamehe Mke.
Noma Sana
 
wanaume wanaotegemea pesa kutoka kwa wake zao au wapenzi wao umesahau na hyo mkuu.
 
Wasio na nguvu za kiume watakuja kukushambulia huwa wana hasira sana
 
Wewe jamaa inatakiwa jamii ikutumie kurudisha tumaini kwa vijana au wanaume waliojikatia tamaa. Unafaa sana
 
Wewe jamaa inatakiwa jamii ikutumie kurudisha tumaini kwa vijana au wanaume waliojikatia tamaa. Unafaa sana
Kamanda haijawa safari rahisi kufikia hatua hii ya ufahamu na ukomavu, there is no winning for a man against a woman. Japo ni swala rahisi sana kwa sasa kumjenga mtu kystahimili hostile circumstances za mapenzi na mahusiano katika jamii za ulimwengu wetu wa sasa.
 
Nakubaliana na hoja yako.binafsi siwezi kumsamehe mke wangu eti kisa nna shida ya nguvu za kiume.utafiti wa huyo kijana ni wa siku nyingi siku hizi uchumi ni ndio kichocheo kikubwa cha usaliti na kusameheana pia wanawake wamejifichs kwenye issue ya nguvu za kiume .utasikia nachepuka kwa kuwa mume wangu hana nguvu za kiume lakini hapo ana wanaume kama sita hivi.
 
Sawia Mkuu inahitaji akili sana na utulivu na simple logic. Adhabu ya kaburi kila ataibeba mwenyewe, dhambi hufanywa na nafsi ya mtu. Sasa utasikia Mke kasababishiwa umalya, kuchepuka, inaingia akilini Mume Abebe dhambi za mkewe, Kama wanaweka ni mazombi hawana akili na hawaamini katika kiapo Cha ndoa sawa. Hekalu jema haliwezi kuchafuka kisa kulipiza, The experienced and legends who had stopped for a while in the course of marriage ndio hufanya hizo mambo.

Kila mtu Abebe dhambi zake sote tuna akili na utashi sawa.

Reciprocal actions have never fixed couples challenges.

Kuachana ni njia sahihi.
 
Sihafiki hoja zako kabisa.. kila mtu Ana sababu zake binafsi. Yawezekana mtu akasamehe kwa kuhofia malezi ya watoto wake, kuna mwingine kuhofia mali zake, kuna mwingine kuhofia madhaifu yake, na mwingine kwa kuamini binadamu anakosea
 
Ujinga ni huu unaoanika upumbavu wako hapa... kwamba watu waachane bila kujali consequence kwa familia na jamii... idiot unaedhani bilblia ndio mwongozo wa maisha kwa kila mtu
Kwa ulichokiandika hapa inaonesha na wewe huna nguvu za kiume pia
 
Mm siwezi wasemea wengine maana naheshimu kuwa hatufanani.Ila nikithibitisha mke ametoa nje hata yesu hana ubavu wa kulinda hiyo ndoa ni TALAKA .Kuliko niue binti ambaye sijamzaa .ana kaka na wadogo .ndugu jamaa na marfiki wanaompenda .Kuu siwezi ua mama wa wanangu .Mm sitopunguza kumlea ila hatokaa anaione uchi wala mm nimuone mpaka tutapoenda maisha baada ya kifo.
imagine nikiwa form 4 nilimkuta mhuni anamla mate demu wangu kwa kisingizio cha walilewa kwenye graduation nkapiga chini .Demu akanywa sumu wakamuwah akaja omba msamaha nkakaza hadi leo kaolewa bado anaomba walau game nikimuona huwa namchukia kama Mzee makamba wa ccm.Na kinachomuuma yule muhun mpaka na leo huwa ni rafiki yangu siweki kinyongo kwa masela .
Sasa huyu mke naishi nae namuombea asijichanganye yaan mm hata nkamate sms ulienda kutana na mwanaume hapo hapo nakuona kama mwanachama wa ccm ndani ya kamati kuu ya chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…