winnerian
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 379
- 603
Kama ipo sheria inayomnyima haki mtumishi wa umma kumiliki kampuni na biashara inayofanana na ile anayoitumikia umma ifutwe mara moja. Katika ulimwengu wa sasa huwezi kumnyima binadamu kujiendeleza kiuchumi kwasababu tu ya mgongano wa kimaslahi.
Sheria zinazotakiwa kuwepo ni za kulinda mgongano wa maslahi usitokee katika eneo la kazi (conflict of interest) na sio kumfunga mtu pingu za maisha kwamba hawezi kufanya shughuli flani. Madaktari wana miliki hosipitali, maduka ya dawa, zahanati na hawafanywi chochote. Wabunge walitizame hili.
Watumishi Serikalini wapigwa marufuku kumiliki kampuni sawa na kazi wanazofanya
“Mtu huwezi kujichukulia hatua mwenyewe hivyo kwa yeyote mwenye kampuni binafsi ya ujenzi ajichunguze itamletea mgogoro mkubwa na sisi kama Serikali hatuwezi kumvumilia Mtumishi wetu ambaye anakiuka kwa makusudi sheria ya maadili ya utumishi wa umma,”
“kuwa na kampuni binafsi inasababisha mgongano wa kimaslahi hivyo ni ngumu sana kufanya kazi kwa ufanisi na kuzingata mkataba kwani wewe ndio kila kitu hilo halivumiliki na unakwamisha malengo ya serikali kuwafikishia wananchi maendeleo,”
Hizi ni baadhi ya statement za Mh. Kairuki ambazo zinadidimisha juhudi za Mtanzania kujikomboa na umaskini. Sheria zirekebishwe.
Sheria zinazotakiwa kuwepo ni za kulinda mgongano wa maslahi usitokee katika eneo la kazi (conflict of interest) na sio kumfunga mtu pingu za maisha kwamba hawezi kufanya shughuli flani. Madaktari wana miliki hosipitali, maduka ya dawa, zahanati na hawafanywi chochote. Wabunge walitizame hili.
Watumishi Serikalini wapigwa marufuku kumiliki kampuni sawa na kazi wanazofanya
“Mtu huwezi kujichukulia hatua mwenyewe hivyo kwa yeyote mwenye kampuni binafsi ya ujenzi ajichunguze itamletea mgogoro mkubwa na sisi kama Serikali hatuwezi kumvumilia Mtumishi wetu ambaye anakiuka kwa makusudi sheria ya maadili ya utumishi wa umma,”
“kuwa na kampuni binafsi inasababisha mgongano wa kimaslahi hivyo ni ngumu sana kufanya kazi kwa ufanisi na kuzingata mkataba kwani wewe ndio kila kitu hilo halivumiliki na unakwamisha malengo ya serikali kuwafikishia wananchi maendeleo,”
Hizi ni baadhi ya statement za Mh. Kairuki ambazo zinadidimisha juhudi za Mtanzania kujikomboa na umaskini. Sheria zirekebishwe.