Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

baadhi ya watu wanaomjua in person wanasema ni muongo muongo, kuna sehem mbowe aligusia pia jamaa ni muongo so nkaunganisha dots
Mbowe ndiyo muongo muongo pia mwizi na mchoyo balaa, sasa chawa watamkumbuka kwa kula pesa zote alizoiba chadema baada ya kupelekeshwa na pressure ya Lisu
 
Chadema ni saccos ni Duka la Mbowe ndiyo maana idara ya pesa hataki hata katibu mkuu wa chama awe na mamlaka, Mbowe kashikiria pesa za chama kama waleti yake huzichezea atakavyo na sasa anazitumia kumunua uenyekiti hataki kusitaafu kwa hofu kuwa akiingia mwenyekiti mpya ataibua madudu yake yote zikiwemo kashifa za Rushwa ya ngono kwa wabunge viti maalum
 
Mbowe atakumbukwa kwa maovu yake hususani alivyowafanyia marehemu wangwe na pia zito na wengineo
 
Mbowe ndiyo muongo muongo pia mwizi na mchoyo balaa, sasa chawa watamkumbuka kwa kula pesa zote alizoiba chadema baada ya kupelekeshwa na pressure ya Lisu
mbowe katoa ela zake kukisukuma chama na amesema antipas hajawahi kutoa ata senti
 
lisu Kakimbia amsterdam kawaacha kwenye mataa mbowe kakomaa na nyie mpaka mwisho leo lissu ndo anaonekana shujaa, kwel minyoo pombe
 
kwann tuende barabaran wakati yeye mwenyewe hua anakimbiliaga amsterdam

na kuhusu kupush hio agenda anshindwa nn kupush mpaka awe mwenyekiti?
 
Kwani Mbowe amekuja Chadema na ni lazima yeye tu ndiye awe mwenyekiti? Kama kweli ana nia njema basi Mbowe abaki kuwa mlezi badala ya kuwaombea mabaya watu ambao yeye mwenyewe ndiye kawafundisha uongozi
nani kaombewa mabaya?
 
Mbona jk alikuwa anaenda nje ya inchi kila week
kwenda nje kwa lengo gan? mbna nmeelezea vizuri apo kwamba lissu akiwekwaga mtu kati lazima akimbie nchi awaache mtajua wenyewe pakipoa ndo anarudi na kauli zake tena, apo watu washakufa
 
He will not last forever and eternal as God.
 
mbna amesema kabisa kama una ushahidi peleka ofisini ama unaropoka kama mzee wenu antipas
 
Mbowe atakumbukwa kwa mengi ikiwemo masimango kwani mbowe akikupa hata kiberiti kina njiti moja husimanga kuwa alikusaidia hata kama pesa ni za chama, Mbowe anayo mengi ya hovyo ya kukumbukwa
lissu atakumbukwa kwa kukimbia nje ya nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…