Ipo siku CHADEMA itamkumbuka Mbowe but itakuwa very late

mbowe ni tajiri kabla hata hajaingia chadema, huyo huyo ndo amempa gari uyo mropokaji wenu
 
kwani mbowe hawezi kukisaidia chama mpaka awe mwenyekiti? matako yako. mbowe ni mhuni tu. anahubiri asichokitenda. bora tu tuendelee kufirigiswa na ma ccm.
#lissu for life
 
kwani mbowe hawezi kukisaidia chama mpaka awe mwenyekiti? matako yako. mbowe ni mhuni tu. anahubiri asichokitenda. bora tu tuendelee kufirigiswa na ma ccm.
#lissu for life
mtamkumbuka mbowe
 
mbowe ni tajiri kabla hata hajaingia chadema, huyo huyo ndo amempa gari uyo mropokaji wenu
Kwa hiyo hilo gari ndio noni?
Wewe no masikini kichakuro kabisa.
Kama amempa gari ili asigombew au asipingwe?
Toa akili zako za kingese hapa
 
Kwahiyo mwongo na tapeli wamekutana sio?
 
Kwa hiyo hilo gari ndio noni?
Wewe no masikini kichakuro kabisa.
Kama amempa gari ili asigombew au asipingwe?
Toa akili zako za kingese hapa
asingekua maskini angekua na gari mda mrefu
 
kwamba ulisahau alivokimbilia ubalozini wakati wa maandamano

Wakati huo wewe ulikuwa wapi? Ulikuwa kwenye maandamano?

Alikimbilia ubalozi Kwa ajili ya kitu gani?

Why ubalozi wakampeleka airport?

Hii ni forum ya greathinkers so usiongee mambo juu juu tu
 
Mashetani ccm wa jf leo mmekuwa watetez wa mbowe
 
Wakati huo wewe ulikuwa wapi? Ulikuwa kwenye maandamano?

Alikimbilia ubalozi Kwa ajili ya kitu gani?

Why ubalozi wakampeleka airport?

Hii ni forum ya greathinkers so usiongee mambo juu juu tu
tukio unalijua amna haja ya kuzunguka mada
 
hakuenda checkup alikimbia Maandamano kila mtu anajua
Alikwishapata uzoefu wa risasi. Angebaki kujifanya shujaa kwenye maandamano, mungerudia risasi safari hii msingekosea shabaha. Hata baada ya 2020 election aliamua kukimbilia ubalozi wa Ujerumani kuokoa maisha yake .Bora kukimbia ubaki ukipambana kuliko kujifanya shujaa kwa watu waliodhamiria kuua.
 
unajaribu kupindisha swali point apa ni kipindi kile maandamano yanaendelea alikimbilia ubalozini akapata ndege ya nje ya nchi
Unachouliza wewe siyo kilichoulizwa, mimi nimejibu kilichoulizwa.
Kama wewe hilo ndiyo swali lako uliza.
 
Hoja yako hasa ni Uongo, hayo mengine hayaeleweki!!!
Je, Mbowe ni mkweli? Kati ya Mbowe na Lissu nani mkweli?
Kwa hoja yako bado Lissu ni afadhali kuliko mbowe. Lakini pia unapaswa kujua kuwa lengo la chama chochote cha siasa ni kuchukua madaraka na kwa hali ya siasa zetu afrika huwezi kuchukua madaraka au kuwatetemesha watawala kama utaendelea kulamba viatu vyao kama afanyavyo Mbowe so kwa hilo tu Mbowe hatoshi kuwa kiongozi wa Chama kikuu cha upinzani kwa mazingira ya sasa lakini pia kwa chama kinachohubiri demokrasia ni doa kubwa kuwa na mwenyekiti aliyeshikilia uongozi kwa miaka 20+ na bado akawa na nguvu za kuikosoa CCM kwa ubakaji wa demokrasia.
 
lissu hana ujasiri kila akibanwa anaenda amsterdam anaawaacha kwenye mataa
Bora huyo anayewakimbia watesi kuliko yule anayekimbilia jumba jeupe (kwa watesi) kulamba chochote kitu.
 
Hawa jobless young youth leo mnawatukana shauri ya huyu Mzee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…