L Lucas Mwashambwa JF-Expert Member Joined Jul 28, 2022 Posts 28,722 Reaction score 20,610 Jun 8, 2024 Thread starter #181 Moisemusajiografii said: Manyanza kakuandikia uzi.Kajisomee.Ni kama kioo kwako. Click to expand... Uzi wake nimeuona ambao unadhihirisha tatizo lile lile la uvivu wa kutumia akili na kutafuta majibu mepesi na marahisi tu. Si unaona badala ya kujadili ukweli na usahihi wa hoja yangu yeye amekimbilia kusema mimi nina chuki?
Moisemusajiografii said: Manyanza kakuandikia uzi.Kajisomee.Ni kama kioo kwako. Click to expand... Uzi wake nimeuona ambao unadhihirisha tatizo lile lile la uvivu wa kutumia akili na kutafuta majibu mepesi na marahisi tu. Si unaona badala ya kujadili ukweli na usahihi wa hoja yangu yeye amekimbilia kusema mimi nina chuki?