Ipo siku Lissu atadondoka na kuumia vibaya sana kwenye Meza anazoandaliwa na CHADEMA atumie kama "Jukwaa"

ati huyo ni kiongozi wa kitaifa mwenye kupewa ulinzi mkali pembeni, lakini usalama wa majukwaa ya kufanyia mikutano ni mdogo sana. hii si sawa hata kidogo πŸ’
Yaani wanatoka wamepakia walinzi kwenye gari halafu wanakwenda kumpandisha kwenye jukwaa ambalo usalama wake ni mdogo sana
 
Hayo ni matusi makubwa sana na udhalilishaji mkubwa kwangu kusema niwe mwana CHADEMA au mfuasi wake.hiyo haiwezekani wala kutokea
Sasa CHADEMA ikishika Dola, utabaki CCM kufanya nn ilhali KAZI Yako ni uchawa?
 
Jikite kwenye KAZI Yako ya Kutoa Tabasamu na kububujikwa machozi ya mamba,

Kuhusu jinsi Gani CDM watashika Dola, waachie wao na wananchi wenye final say.
Futa na ondoa hizo ndoto zako za mchana. Jikite katika kuokoa chama kutumbukia shimoni
 
Reactions: Tui
Sasa hapo akianguka watasema n tikiti maji limeanguka au mtu ameanguka.? πŸ˜‚
nadhani kwa uzoefu na mazoea yake ya kuomba achangiwe vitu mbalimbali, mara kwa mara,

kuna haja aombe achangiwe jukwaa la kutumia kwenye mikutano yake, ambalo atakua anatembea nalo kila aendapo mikutanoni. hii itasaidia kidogo πŸ’
 
Kwanza mtu mwenyewe mbovu. Akianguka na kuvunja miguu watasema tena ni magufuli kamvunja miguu baada ya risasi. Hawakawii uongo hawa maana wao uongo ndio itikadi yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…