Ipo siku Lissu atadondoka na kuumia vibaya sana kwenye Meza anazoandaliwa na CHADEMA atumie kama "Jukwaa"

Utakua shahidi no 1
 
Kwanza kabisa usiniite mjinga kwani maelezo niliyokupa yamejibu swali lako,ni kwa vile akilli yako ni finyu umeshindwa kuliona jibu,huna akili kabisa wewe ni mpumbavu hata hustahili kujibishana na mimi tafuta wapumbavu wenzako.
Tangia lini ndugu yangu umekuwa na akili ya kuelewa mambo mazito yanayohitaji akili kubwa na yenye afya njema? Hivi unaweza kujibu hoja kwa hoja? Mimi nachojuwa ni kuwa wewe hoja zako ni matusi tu ndio kazi ambayo unaiweza
 
Kwanza kabisa usiniite mjinga kwani maelezo niliyokupa yamejibu swali lako,ni kwa vile akilli yako ni finyu umeshindwa kuliona jibu,huna akili kabisa wewe ni mpumbavu hata hustahili kujibishana na mimi tafuta wapumbavu wenzako.
Tangia lini ndugu yangu umekuwa na akili ya kuelewa mambo mazito yanayohitaji akili kubwa na yenye afya njema? Hivi unaweza kujibu hoja kwa hoja? Mimi nachojuwa ni kuwa wewe hoja zako ni matusi tu ndio kazi ambayo unaiweza
 
Tangia lini ndugu yangu umekuwa na akili ya kuelewa mambo mazito yanayohitaji akili kubwa na yenye afya njema? Hivi unaweza kujibu hoja kwa hoja? Mimi nachojuwa ni kuwa wewe hoja zako ni matusi tu ndio kazi ambayo unaiweza
Wewe ulianza kuniita mjinga badala ya kujadili hoja ndiyo nimekuja na hitimisho kuwa wewe ni mpumbavu ambaye unasahau hata neno ulilosema dakika chache tu zilizopita ndiyo nimekushauri utafute wapumbavu wenzako wenye mtindio wa ubongo kama wewe ndiyo mtaelewana. Huna akili za kutosha kufanya debate na mimi bali una akili kiduchu ya kusifia na kutukuza watawala ambao hata hawajui existence yako.
 
Nilichozungumza kuhusu wewe ni sahihi kabisa na wala sijakosea hata kidogo
 
Jinga wewe. Kama yanateua marehemu ipo siku yatateua na zombie. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto liteketee
 
Hii huruma,utu wema na ushauri mwema umeanza lini?πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Wananiheshimu wenye akili timamu. Sasa jifanye jeuri unitolee lugha ya matusi uone. Unajiona wewe ni mtu maalum sana hapa jukwaani wakati ni chawa tu unayebangaiza upate kuteuliwa
Wewe na huyo lucas hamna tofauti kila mmoja ni chawa wa sehemu yake wewe chawa wa Chadema yeye wa CCM
 
Wewe na huyo lucas hamna tofauti kila mmoja ni chawa wa sehemu yake wewe chawa wa Chadema yeye wa CCM
Kuna tofauti kubwa sana mimi na huyo bwege mimi nashabikia chama yeye ni chawa wa watu. Niwekee hata post moja ya kwangu namshabikia na kumsifia kiongozi yoyote wa Chadema. Na mimi naingia humu kama leisure tu tofauti na huyo anayepinda mgongo kuandika mashairi ya kuwasifia watawala kwa malipo au matarajio ya kuteuliwa.
 
Nilishasema wewe una matatizo makubwa sana kichwani mwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…