Ipo siku Lissu atadondoka na kuumia vibaya sana kwenye Meza anazoandaliwa na CHADEMA atumie kama "Jukwaa"

Ipo siku Lissu atadondoka na kuumia vibaya sana kwenye Meza anazoandaliwa na CHADEMA atumie kama "Jukwaa"

for sure ni muda mrefu wamekua wakifanya mzaha na majukwaa ya kiongozi wao huyu, hembu check kwa mfano jukwaa hili hapa chini dah, ni hatari kabisaaaa. hao walinzi wataokoa nini mjamaa akidondoka apo?🐒
Ila Chadema wanazingua sana 😂 hii nini sasa mbona kama meza za sokoni za kupangia nyanya 😂
 
Narudia kusema kuwa CHADEMA mna matatizo makubwa sana tena sana. Mnahitaji kupata msaada wa kisaikolojia. Mmejaa matusi muda wote utafikiri watu mliochaganyikiwa.
Ukiacha kutumia lugha ya kuudhi tutakwenda sawa,ukivuka mipaka sikuachi,jifunze kuwaheshimu wengine ili nawe uheshimiwe.
 
Nitag kwenye huo uzi wako wa kimataifa nije kusoma madini
Achana naye huyo ephen lazizi wangu.huyo anaumia tu anavyoona tunapendana .si unajuwa jukwaa zima kwa sasa kwa sasa mimi na wewe ndio watu tunaopendana mpaka watu wanaona wivu humu.
 
Back
Top Bottom